MTOTO WA MIAKA 7 AFARIKI SONGA BAADA YA KUUMWA NA NYOKA.
September 3, 2024
King Charles has been diagnosed with cancer. The 75-year-old monarch recently underwent a corrective procedure for an enlarged prostate and doctors noticed a “separate issue of concern” that has ultimately led to his cancer diagnosis. The Buckingham Palace issued a statement that read, “During The King’s recent hospital procedure for[Read More…]
JOB ADVERTISEMENT! Radio Jangwani 106.3fm is owned by the Catholic Diocese of Marsabit registered as Diocese of Marsabit registered trustees, which has transformed lives through radio programs by evangelizing, informing, educating, and entertaining since 2016. We’re seeking a multi-talented individual to join our team as a News Reporter! Position:[Read More…]
Na Samwel Kosgei, Wizara ya afya kaunti ya Marsabit imetangaza uwepo wa visa 10 vya ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) ambao mwezi jana ulitangazwa kuwepo kaunti ya Mombasa. Wizara hiyo ikiongozwa na waziri wa afya Grace Galmo imesema kuwa dalili ya ugonjwa huo ni ikiwemo kuhisi uchungu machoni, kufura[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali imetakiwa kutwa silaha haramu zinazomilikiwa na wenyeji katika eneo la Keiyo Valley linalokumbwa na changamoto ya wizi wa mifugo ili Amani idumu katika sehemu hiyo. Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa katoliki katika dayosisi ya Eldoret Dominic Kimengich. Akizungunza na vyombo vya habari Askofu Kimengich[Read More…]
Pope Francis issues an urgent appeal for a halt to violence in Israel and Palestine reiterating his belief that wars are always a defeat, and he invites all believers to join the Church in the Holy Land next Tuesday for a Day of Prayer and Fasting. By Linda Bordoni[Read More…]
Cardinal Secretary of State Pietro Parolin speaks to Vatican Media about the outbreak of war in the Holy Land, saying the priority is the release of hostages and affirming that the Holy See is willing to mediate. By Andrea Tornielli & Roberto Cetera (Vatican News) “The Holy See is ready[Read More…]
By Silvio Nangaori and Dennson Machuki Marsabit central has plunged again the dark with power outage expected to continue for more days following an unprecedented breakdown of the only generator that was brought from Moyale. The generator broke down on Wednesday evening but Kenya Power statement said it broke down[Read More…]
By Machuki Dennson The King and Queen of the United Kingdom have honoured President William Ruto’s invite to visit Kenya this year as the country prepares to celebrate 60 years of independence. A statement from the monarch has stated that King Charles III and the Queen Camilla will therefore undertake[Read More…]
Na JB Nateleng, Kufuatia makubaliano ya kurejea kazini kati ya chama cha walimu wa shule za upili na vyuo va kadri nchini (KUPPET) na tume ya kuwajiri walimu (TSC), walimu sasa wanatarajiwa kurejea shuleni kuendeleza kalenda ya masomo. Akizungumza na wanahabari mjini Marsabit,katibu mtendaji wa KUPPET tawi la Marsabit Sarr[Read More…]
By Adelaide, Ahmed the elephant also known as the Marsabit elephant was a majestic and iconic creature that roamed the Marsabit national park in Kenya. Today, Google honored Ahmed by featuring him in their Google Doodle, thus bringing global attention to this remarkable animal. Ahmed’s recognition as a Google Doodle[Read More…]
http://https://www.youtube.com/watch?v=wFV2KoE1GSw The late Bishop Ravasi was led to rest on 6th November 2020. He was the Emeritus Bishop of Marsabit Diocese. This Video was produced by Radio Jangwani / Baragumu ya Faraja.
Na Grace Gumato Mtoto mmoja mwenye umri wa miaka saba amefariki hii leo katika eneo la Songa baada ya kuumwa na nyoka hapo jana. Afisa mtendaji katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Kusu Abduba amesema kuwa mtoto huyo alifikishwa katika hospitali hiyo akiwa amefariki saa za usiku. Aidha amesema kuwa[Read More…]
Na Caroline Waforo Wakaazi jimboni Marsabit wametakiwa kujiepusha na dhana potovu zinaoenezwa kuhusu maambukizi ya ugonjwa wa nyani Mpox. Haya ni kutokana na madai kuwa baadhi ya wakaazi jimboni wanawaua mbwa kwa dhana kuwa wanahusika na maambukizi ya mpox. Tahadhari hii imetolewa na afisa anayefuatilia magonjwa jimboni Marsabit Qabale Duba.[Read More…]
Na Caroline Waforo Visa vya ugonjwa wa Surua au measles vimethibitishwa kuongeza kutoka 7 hadi 11 katika kaunti hii ya Marsabit. Akizungumza na shajara ya radio jangwani kwa njia ya kipekee afisa anayefuatilia magonjwa jimboni Marsabit Qabale Duba amesema kuwa visa hivyo vimerekodiwa katika maeneo bunge ya Moyale na North Horr.[Read More…]
Na JB Nateleng, Kufuatia makubaliano ya kurejea kazini kati ya chama cha walimu wa shule za upili na vyuo va kadri nchini (KUPPET) na tume ya kuwajiri walimu (TSC), walimu sasa wanatarajiwa kurejea shuleni kuendeleza kalenda ya masomo. Akizungumza na wanahabari mjini Marsabit,katibu mtendaji wa KUPPET tawi la Marsabit Sarr[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wito umetolewa kwa jamii ya Marsabit kutowatenga watu wanaoishi na matatizo ya afya ya akili. Kwa mujibu wa mwazilishi wa shirika la Open Minds Community Focus (OMCF) linashughulikia maswala ya afya ya akili hapa jimboni Marsabit Bi. Mariam Abduba ni kuwa jamii imekuwa ikikosa kuwaelewa na hata[Read More…]
Na JB Nateleng, Serekali ya kaunti ya Marsabit ni sharti ihakikishe ya kwamba watu wanaoishi na ulemavu wamewakilishwa katika idara zote kiukamilifu. Hayao yamekaririwa na mwenyekiti wa muungano wawatu wanaishi na ulemavu wa Saku United Disabled Group John Boru Galgallo. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipee Boru amesema[Read More…]
Na Caroline Waforo, Mbunge wa eneo la Northhorr kaunti ya Marsabit Wario Guyo Adhe ni kati ya wabunge kadhaa humu nchini ambao wanaohusishwa na matumizi mabaya ya fedha za hazina ya ustawi wa maeneobunge nchini (NG-CDF). Hii ni kulingana na ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za serikali Nancy Gathungu. Kulinga[Read More…]
Na Caroline Waforo. Idara ya afya kaunti ya Marsabit itaanza kuwafanyia uchunguzi wa homa ya nyani ya MPOX wasafiri wote wanaoingia jimboni. Hii ni kutokana na kuendelea kurekodiwa kwa ugonjwa huo wa MPOX humu nchini pamoja na kisa kinachoendelea kufanyia uchunguzi katika kaunti jirani ya Isiolo. Kulingana na afisa wa[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kutunza miche ambayo imepandwa ili kuongezea kiwango cha miti hapa jimboni. Kulingana wa afisa mkuu katika idara ya misitu na mali asili kaunti ya Marsabit Pauline Marleni aliyeongea na Radio Jangwani kwa njia ya kipekee,ni kwamba iwapo jamii haitatunza miche iliyopandwa[Read More…]
Na Talaso Huka Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametoa hisia mseto kuhusu pendekezo la kuundwa kwa afisi rasmi ya kiongozi wa upinzani. Baadhi ya waliozungumza na Radio Jangwani wameunga mkono pendekezo hilo wakisema kuwa kuundwa kwa ofisi rasmi ya upinzani itasaidia katika kuwajibisha serikali Hata hivyo mmoja wa mkaazi ameonekana kupinga[Read More…]