Watahiniwa wa mitihani ya kitaifa mwaka huu watakiwa kujiamini na kujiandaa ipasavyo
September 1, 2025
regional updates and news
Huku wanafunzi wa gredi ya 6, gredi ya 9 na wale wa kidato cha nne wakitarajiwa kufanya mtihani wao wa kitaifa muhula huu, wito umetolewa kwao kujiamini na kuwa na imani kuwa watahitimu. Wito huu umetolewa na mmoja wa Wasomi kutoka shirika la Commonwealth Scholarships Alumni Association of Kenya (CSAAK)[Read More…]
Naibu kamishna wa Marsabit ya kati David Saruni ametoa wito kwa wazazi kuwarejesha watoto wao shuleni wakati huu shule zinafumguliwa kwa muhula wa tatu. Akizungumza na shajara ya redio Jangwani Saruni amesema kuwa usalama umeimarishwa kikamilifu mjini marsabit ya kati kama njia moja ya kufanikisha masomo kwa njia ya utulivu.[Read More…]
Visa vya watoto kujihusisha na matumizi ya dawa za kulevya katika kaunti ndogo ya Marsabit Central, eneobunge la Saku kaunti ya Marsabit vinaendelea kuongezeka haswa wakati huu wa likizo ndefu ya mwezi Agosti. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani afisa wa watoto katika kaunti ndogo hiyo, Mukanzi Leakey amesema[Read More…]
Huku ubabe wa kisiasa ukiendelea kati ya serikali na upande wa upinzani kuhusu na ni nani mtetezi wa mwananchi,wakazi wa kaunti ya Marsabit wametoa hisia mseto kuhusiana na ukomavu wa demokrasia yetu katika ulingo wa kisiasa. Wakizungumza na shajara ya Redio Jangwani, baadhi ya wakazi hao wanahisi kuwa hata licha[Read More…]
Na Caroline Waforo Mahakama ya Marsabit imeipa muda zaidi idara ya kushughulikia maswala ya uhamiaji ili kuwasilisha ripoti ya ombi la wahamiaji 33 raia wa Eritea waliotaka kupewa hifadhi humu nchini Kenya, baada ya kukamatwa wakiwa nchini kinyume na sheria. Wahamiaji hao walikamatwa tarehe 4 mwezi huu wa Agosti katika[Read More…]
Na Nyabande Orwa Siku moja baada ya rais William Ruto kuisuta bunge la kitaifa na idara ya mahakama kwa ongezeko la visa vya ufisadi nchini,wakazi wa kaunti ya Marsabit wamesema hawana Imani kuwa kero hilo litakwisha. Wakizungumza na shajara ya Redio Jangwani wakazi hao wanadai kuwa ulegevu katika idara ya[Read More…]
Na Johnbosco Nateleng Mwenyeketi wa shirikisho la soka (FKF) tawi la Marsabit Godana Roba, ameendelea kusifia ushirikiano kati ya serekali ya kaunti ya Marsabit, shirika lisilokuwa la kiserikali la One world sport na FIFA connect, katika kuhakikisha kwamba hadhi ya michezo inainuka katika kaunti hii. Akirejelea mafunzo ya makocha 30[Read More…]
Na Nyabande Orwa Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kudhibiti Ukame Katika kaunti ya Marsabit Guyo Golicha amepinga madai yanayo enezwa katika vyombo vya habari kuwa pesa zilizotengewa Hunger Safety Net Marsabit zimetumika kwa miradi tofauti. Akizungumza na meza yetu ya habari Golicha amesema kuwa pesa zilizotumika katika ununuzi wa[Read More…]
Baadhi ya wakaazi katika lokesheni ya Jirime eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wamefanya maandamano ya amani leo Jumatatu hadi katika afisi ya kamishana wa Jimbo hili James Kamau kulalamikia kile wanadai ni hatua ya mamlaka ya ujenzi wa barabara nchini KENHA kukataa kutimiza ahadi ya maendeleo katika lokesheni[Read More…]
Mbunge wa Moyale Profesa Guyo Jaldesa ameisuta serikali ya kaunti ya Marsabit kwa kile anadai ni kulemaza huduma za afya jimboni. Mbunge huyo amezungumza wakati wa hafla ya kuwezesha makundi ya akina mama katika eneo la Mata Arba eneobunge la Saku leo Ijumaa akisema kuwa wananchi wanahangaika kupata matibabu kutokana[Read More…]