The Duke, Duchess Of Sussex Reportedly Won’t Be Invited To Duke Of Westminster’s Wedding.
March 12, 2024
regional updates and news
Na Samwel Kosgei, Wizara ya afya kaunti ya Marsabit imetangaza uwepo wa visa 10 vya ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) ambao mwezi jana ulitangazwa kuwepo kaunti ya Mombasa. Wizara hiyo ikiongozwa na waziri wa afya Grace Galmo imesema kuwa dalili ya ugonjwa huo ni ikiwemo kuhisi uchungu machoni, kufura[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali imetakiwa kutwa silaha haramu zinazomilikiwa na wenyeji katika eneo la Keiyo Valley linalokumbwa na changamoto ya wizi wa mifugo ili Amani idumu katika sehemu hiyo. Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa katoliki katika dayosisi ya Eldoret Dominic Kimengich. Akizungunza na vyombo vya habari Askofu Kimengich[Read More…]
By Machuki Dennson The King and Queen of the United Kingdom have honoured President William Ruto’s invite to visit Kenya this year as the country prepares to celebrate 60 years of independence. A statement from the monarch has stated that King Charles III and the Queen Camilla will therefore undertake[Read More…]
In his homily during the Consistory for the creation of 21 new Cardinals, Pope Francis reflects on unity and diversity in the Church, highlighting the importance of synodality under the guidance of the Holy Spirit, the “master of walking together.” By Lisa Zengarini “The College of Cardinals is called to[Read More…]
Na Samuel Kosgei Ni afueni kubwa kwa wakaazi Oltorot lokesheni ya Mt. Kulal baada ya Kampuni ya kuzalisha nishati kutokana na upepo wa Lake Turkana Wind Power kuikabidhi rasmi wakaazi wa eneo hilo chumba kipya cha akina mama kujifungulia. Kulingana na muuguzi wa kituo cha matibabu cha Olturot Brenda Akoth alisema kuwa[Read More…]
Na Silvio Nang’ori Maonyesho ya kwanza ya biashara kaunti ya Marsabit yamefunguliwa rasmi hapa mjini Marsabit. Wafanyibiashara mbalimbali na mashirika ya serikali na yale yasiyo ya kiserikali walijumuika katika uwanja wa Marsabit kuonyesha bidhaa na huduma zao kwa umma. Wakizungumza na idhaa hii baadhi ya washiriki walielezea matumaini kwamba maonyesho[Read More…]
Na Isaac Waihenya Wakaazi wa kijiji cha El-Ghadhe eneo bunge la NorthHorr wamewataka viongozi eneo hilo kuingilia kati na kuwasaidia kusafirisha chakula cha msaada ambacho wanasema kimekwama katika eneo la Maikona. Wakizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu wakaazi hao walisema kuwa wamefahamishwa na DCC wa Maikona[Read More…]
Na Silvio Nangori Kaunti ya Marsabit inatazamiwa kuandaa maonyesho yake ya kwanza kabisa ya biashara kuanzia wiki hi Alhamisi katika uwanja wa Marsabit. Hafla hiyo ya siku tatu itafunguliwa rasmi na Gavana Mohamud Ali mnamo Alhamisi, Septemba 14 na kufungwa na naibu wake Solomon Gubo Jumamosi, Septemba 16. Angalau waonyeshaji[Read More…]
Na Samuel Kosgei Washukiwa watatu wamekamatwa katika wadi ya Korr eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit baada ya kupatikana na misokoto 600 ya bangi na kilo nyingine mbili katika mkoba. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani chifu wa Lokesheni ya Korr Jeremiah Ntimo alisema kuwa kukamatwa kwa washukiwa hao[Read More…]
Na Isaac Waihenya Mgawanyiko kati ya wanachama wa kundi la Saku Forum for Disabled wanaomiliki duka la maji lililopo karibu na shule ya msingi ya St Theresa hapa mjini Marsabit umezidi baada ya kundi hilo kumuondoa Waqo Kumbi kama wawakilishi wa kundi hilo kwenye kamati ya idara ya maji jimboni[Read More…]