Local Bulletins

regional updates and news

Pokonya Wananchi Wote Silaha Haramu – Askofu Dominic Kimengich Atoa Wito Kwa Serekali.

Na Isaac Waihenya, Serekali imetakiwa kutwa silaha haramu zinazomilikiwa na wenyeji katika eneo la Keiyo Valley linalokumbwa na changamoto ya wizi wa mifugo ili Amani idumu katika sehemu hiyo. Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa katoliki katika dayosisi ya Eldoret Dominic Kimengich. Akizungunza na vyombo vya habari Askofu Kimengich[Read More…]

Read More

Wakaazi wa El Gadhe Wataka Viongozi Kuwasaidia Kusafirisha Chakula cha Msaada kilichokwama Maikona

Na Isaac Waihenya Wakaazi wa kijiji cha El-Ghadhe eneo bunge la NorthHorr wamewataka viongozi eneo hilo kuingilia kati na kuwasaidia kusafirisha chakula cha msaada ambacho wanasema kimekwama katika eneo la Maikona. Wakizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu wakaazi hao walisema kuwa wamefahamishwa na DCC wa Maikona[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter