Serikali ya jimbo la Marsabit latakiwa kuongeza vifaa vya kuzoa takataka mjini na viunga vyake.
June 17, 2025
regional updates and news
Na Ebinet Apiyo Ombi limetolewa kwa serikali ya kaunti ya Marsabit kuongeza idadi ya vizoa uchafu mtaani Marsabit ili kuhakikisha usafi wa mazingira ndani na nje ya mitaa. Akizungumza na idhaa hii ofisini mwake Mkurugenzi wa mazingira katika shirika la NEMA, Naphtali Osoro ameomba serikali ya kaunti ya Marsabit kuongeza[Read More…]
Na Carol Waforo Eneobunge la North Horr kaunti ya Marsabit ndilo lililoathirika zaidi na kiangazi pamoja na mafuriko. Idadi kubwa ya wakaazi katika eneo hilo bado wanahitaji misaada ya kiutu na sasa wanaitaka serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali kuzindua miradi itakayowawezesha katika kurejelea maisha yao kabla ya majanga.[Read More…]
Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia idara ya usajili wa watu imekana madai kuwa raia wasio wakenya wanapewa vitambulisho vya taifa. Akizungumza na radio jangwani, mkuu wa ofisi ya usajili wa raia kaunti ya Marsabit Isaac Kibet, amesema kuwa hatua zote za kisheria zinafuatwa na wakuu wote wa usajili wa watu[Read More…]
Na Joseph Muchai, Kujiondoa kwa naibu inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat sio suluhu la kupata haki kwa mauaji ya Mwalimu Albert Ojwang. Haya ni kwa mujibu wa baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Marsabit. Wakizungumza na Shjara Ya Radio Jangwani wakaazi hao wanahisi kuwa naibu jenerali wa polisi Eliud[Read More…]
NA ISAAC WAIHENYA Mila Potovu kama vile ukeketaji, na ndoa za mapema zimetajwa kama changamoto kuu zizoadhiri elimu ya mtoto wa kike hapa jimboni Marsabit. Kwa mujibu wa Rahma Wako mkuregenzi katika shirika shirika la Peace and Prosperity Initiative (PPI) katika kaunti ya Marsabit ni kuwa mila hizo pia huchangia[Read More…]
Na Joseph Muchai, Siku moja bada ya ulimwengu kusherehekea siku ya kimataifa ya akina baba maarufu Father’s Day wakaazi wa Marsabit mjini wametoa maoni yao kuhusu siku hiyo. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani wameelezea kuwa wanaume wengi hawakuhisi kutambuliwa kama baba katika siku hiyo. Aidha wengine wao wanahisi kuwa[Read More…]
Na Caroline Waforo, Tahadhari imetolewa kwa wakaazi jimboni Marsabit dhidi ya kuhadaiwa katika ununuzi wa mbao na kuni kutoka kwa watu wanaodai kuwa maafisa wa idara ya misitu jimboni KFS. Ni tahadhari ambayo imetolewa na mhifadhi wa misitu katika ukanda wa kaskazini ya juu Mark Leng’uro na ambaye alikuwa mlinzi[Read More…]
Na Mwandishi Wetu, Mwanamke moja ameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la kuuza vileo bila leseni kinyume cha sheria. Mahakama imearifiwa kuwa mnamo tarehe 14 mwezi huu wa Juni,mjini Marsabit katika kaunti ndogo ya Marsabit mshukiwa Hawo Galgallo Jillo alikamatwa na lita 20 za changaa. Mshukiwa amefikishwa mahakamani leo[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wakaazi wa Marsabit wametakiwa kukumbatia mbinu ya maelewano yaani Mediation kusuluhisha kesi ndogo ndogo mashinani kuliko kuzipeleka mahakamani. Kwa mujibu wa mpatanishi katika shirika la Idua Dada Mashinani katika kaunti ya Marsabit, Sisae Bogalla ni kuwa mbinu hiyo ni rahisi na itachukua muda mfupi ikilinganishwa na mahakama ambapo muda[Read More…]
NA SAMUEL KOSGEI Mbunge wa Moyale Prof. Guyo Waqo Jaldesa ametoa wito kwa viongozi na wakazi wa eneo hilo kuweka tofauti zao kando na kushirikiana kuinua maendeleo ya eneo hilo. Akizungumza katika Shule ya Upili ya Wavulana ya Moyale wakati wa uzinduzi wa pesa za basari ya shilingi milioni 73,[Read More…]