Local Bulletins

regional updates and news

Eneobunge la North Horr kaunti ya Marsabit iliathirika zaidi na kiangazi pamoja na mafuriko hapo awali.

Na Carol Waforo Eneobunge la North Horr kaunti ya Marsabit ndilo lililoathirika zaidi na kiangazi pamoja na mafuriko. Idadi kubwa ya wakaazi katika eneo hilo bado wanahitaji misaada ya kiutu na sasa wanaitaka serikali pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali kuzindua miradi itakayowawezesha katika kurejelea maisha yao kabla ya majanga.[Read More…]

Read More

Kujiondoa kwa naibu inspekta jenereli wa polisi Eliud Lagat hakutaleta haki kwa familia ya Ojwang wasema baadhi ya wakaazi wa Marsabit.

Na Joseph Muchai, Kujiondoa kwa naibu inspekta mkuu wa polisi Eliud Lagat sio suluhu la kupata haki kwa mauaji ya Mwalimu Albert Ojwang. Haya ni kwa mujibu wa baadhi ya wakaazi wa kaunti ya Marsabit. Wakizungumza na Shjara Ya Radio Jangwani wakaazi hao wanahisi kuwa naibu jenerali wa polisi Eliud[Read More…]

Read More

MILA POTOVU KAMA VILE UKEKETAJI, NA NDOA ZA MAPEMA ZIMETAJWA KAMA CHANGAMOTO KUU ZIZOADHIRI ELIMU YA MTOTO WA KIKE HAPA JIMBONI MARSABIT.

NA ISAAC WAIHENYA Mila Potovu kama vile ukeketaji, na ndoa za mapema zimetajwa kama changamoto kuu zizoadhiri elimu ya mtoto wa kike hapa jimboni Marsabit. Kwa mujibu wa Rahma Wako mkuregenzi katika shirika shirika la Peace and Prosperity Initiative (PPI) katika kaunti ya Marsabit ni kuwa mila hizo pia huchangia[Read More…]

Read More

Wanaume Marsabit walalama kusahaulika siku ya kimataifa ya akina Baba

Na Joseph Muchai, Siku moja bada ya ulimwengu kusherehekea siku ya kimataifa ya akina baba maarufu Father’s Day wakaazi wa Marsabit mjini wametoa maoni yao kuhusu siku hiyo. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani wameelezea kuwa wanaume wengi hawakuhisi kutambuliwa kama baba katika siku hiyo. Aidha wengine wao wanahisi kuwa[Read More…]

Read More

Wakaazi wa Marsabit watakiwa kukumbatia mbinu ya kutatua kesi nje ya mahakama.

Na Isaac Waihenya, Wakaazi wa Marsabit wametakiwa kukumbatia mbinu ya maelewano yaani Mediation kusuluhisha kesi ndogo ndogo mashinani kuliko kuzipeleka mahakamani. Kwa mujibu wa mpatanishi katika shirika la Idua Dada Mashinani katika kaunti ya Marsabit, Sisae Bogalla ni kuwa mbinu hiyo ni rahisi na itachukua muda mfupi ikilinganishwa na mahakama ambapo muda[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter