Local Bulletins

regional updates and news

Serikali ya kaunti ya Marsabit yakana madai ya unyakuzi wa ardhi na kutenga jamii ya Sakuye katika harakati ya kufunguliwa kwa mgodi wa Dabel.

Na Carol Waforo Serikali ya kaunti ya Marsabit imekana madai ya unyakuzi wa ardhi inayokaliwa na migodi ya hillo iliyoko katika lokesheni ya Dabel eneo bunge la Moyale kaunti ya Marsabit pamoja na madai ya kutenga jamii ya Sakuye katika mazungumzo ya kufunguliwa kwa migodi hiyo. Akizungumza na wanabari siku[Read More…]

Read More

Hali ya jua na ukavu kuzidi kushudiwa Marsabit na sehemu nyingi za nchi

Idara ya utabiri wa hali ya hewa hapa Marsabit imesema kuwa hali ya kiangazi itazidi kushuhudiwa mwezi huu Mkurugenzi wa utabiri wa hali ya hewa kaunti ya Marsabit Abdi Dokata amesema kuwa kiangazi itaendelea kwa sasa hadi wakati utabiri utakapobadilika. Ameshauri wananchi wa Marsabit kuepuka kutembea kwenye jua na kunywa maji mengi msimu huu[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter