Radio Advertisement

Advertise with us
 

World wide news

The Holy See Press Office informs journalists that Pope Francis had a peaceful sixth night in the Rome\'s Gemelli hospital where he is being treated for double pneumonia and ate breakfast in an armchair.\n Read all\n  
U.S. President Trump’s executive order halting congressionally appropriated foreign assistance effectively shut down the work of the U.S. Agency for International Development. The archbishop of Chicago reflects on this decision and on how it will jeopardize essential service for hundreds of millions of people.\n Read all\n  
The Holy See Press Office in its update on Wednesday evening reports that Pope Francis\' clinical condition is stationary, while today he was able to meet with his closest collaborators and receive a visit from Italy\'s Prime Minister Giorgia Meloni.\n Read all\n  
During the first session of the national priests gathering of the three dioceses of the Catholic Church of Liberia, the clergy addressed safeguarding and policy guidelines for handling sexual abuse cases.\n Read all\n  
Italy’s Prime Minister visits Pope Francis as he undergoes treatment in hospital and conveys wishes for a speedy recovery on behalf of the Italian Government and the Nation.\n Read all\n  
The John Paul II Foundation for the Sahel meets in Dakar, Senegal, to discuss its ongoing development projects in the troubled African region in light of Pope Francis’ recent reform of the Roman Curia. \n Read all\n  
As violence surges in the Democratic Republic of Congo, more than one and a half million children are out of school in the eastern part of the country, with UNICEF warning the situation is “desperate”.\n Read all\n  
The UN Children\'s Agency Representative in Haiti calls on the international community to take action against the growing attacks on children, calling them “an attack on humanity itself.”\n Read all\n  
The Superior General of the Congregation of Holy Cross has announced a “missionary year” for the religious order, calling on Holy Cross priests and brothers to step forward in faith to bring “Hope Beyond Borders” to the people of God.\n Read all\n  
Pope Francis releases the catechesis prepared for his Wednesday General Audience, as he remains in the hospital to receive treatment for double pneumonia, and reflects on the visit of the Three Kings to the Child Jesus.\n Read all\n  
 

Featured Stories / News

WANACHAMA WA RANGELANDS SACCO WAPOKEA DIVIDENDS YA SHILLINGI MILLIONI SITA

NA CAROLINE WAFORO Wanachama wa chama cha akiba na mikopo cha Rangelands Sacco chini ya shirika lisilo la kiserikali la NRT wamepata faida ukipenda dividends ya shilingi milioni 6 baada ya kuwekeza katika chama hicho. Mwanachama aliyepata dividends za juu zaidi akipata zaidi ya shilingi 200,000. Haya yalibainika Jumanne wakati wa mkutano[Read More…]

Shughuli ya kuwahesabu  wanyamapori kuanza mwezi ujao katika kaunti ya marsabit,Mandera na wajir

Msimamizi mkuu kwenye mbuga ya wanyama katika kaunti ya marsabit  Augustine Ajuoga amesema kuwa  shughuli ya kuwahesabu wanyama pori unaendelea  na shughuli  hiyo imekua ikifanyika tangu mwaka jana Vile vile amesema kuwa shughuli hiyo itaaanza  mwezi ujao katika kaunti ya marsabit,Mandera na wajir kwa minajili ya  kujua hali ya wanyama[Read More…]

Mwakilishi wa wanawake wa Marsabit Naomi Waqo ataka pesa za Equalization Fund kutumika kutatua shida za wananchi.

Na Samuel Kosgei MWAKILISHI wa wanawake kaunti ya Marsabit Naomi Jillo Waqo ameelezea haja ya kuimarisha hazina ya pesa za kusawazisha maendeleo (equalization fund) katika kaunti za maeneo kame na zilizobaki nyuma. Naomi akiunga mkono mjadala wa mswada huo bungeni amesema kuwa kuna haja ya kaunti zilizosalia nyuma kupewa pesa hizo ya[Read More…]

Wakaazi wa Marsabit Central walalamikia ahadi hewa wakati wa vikao vya Public Participation

Na Samuel Kosgei Wananchi wanaoishi katika lokesheni ya Mountain wadi ya Marsabit Central eneobunge la Saku wameonesha masikitiko yao kutokana na kutopewa stakabadhi ya kumiliki ardhi (tittle deeds) mwezi wa tisa mwaka jana kama walivyokuwa wameahidiwa na viongozi wao wakiongozwa na MCA wa eneo hilo. Wakazi hao wakiongozwa na mwanaharakati wa[Read More…]

Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit Malicha Boru amekariri kujitolea kwa idara hiyo kukabiliana na ugonjwa wa Kalazaar hapa jimboni.

Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit Malicha Boru amekariri kujitolea kwa idara hiyo kukabiliana na ugonjwa wa Kalazaar hapa jimboni. Akizungumza na Shajara na Radio Jangwani kwa njia ya simu,waziri Malicha amesema kwamba idara hiyo inaweka mikakati ya kunyunyizia dawa maeneo ambayo wadudu wanaoeneza ugonjwa huo wapo. Japo ameahidi[Read More…]

Mwenyekiti wa NCCK, tawi la Marsabit mchungaji Saido Diba, awaraia wanaMarsabit kuasi mila potovu na zilizopitwa na muda……

NA ISAAC WAIHENYA Wakaazi wa kaunti ya Marsabit wameshauriwa kuasi mila potovu na zilizopitwa na muda na badala yake kuangazia mila zinazofaa. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa baraza la makanisa mbalimbali nchini NCCK, tawi la Marsabit mchungaji Saido Diba, ni kuwa ni jambo la kuhuzunisha mno kuona kwamba bado kuna[Read More…]

Mji wa Moyale wapandishwa hadhi kuwa Manispaa

Gavana wa kaunti ya Marsabit Mohamed Ali amesema kuwa kaunti ya Marsabit inazidi kupiga hatua kimaendeleo. Akizungumza alipozindua manispaa ya Moyale, Gavana Ali amesema kuwa serikali yake inazidi kuwekeza zaidi katika masuala ya maendeleo jimboni huku akitaja hatua ya kufanya Moyale kuwa manispaa kuwa ni mfano tosha kuwa serekali inajali[Read More…]

Matayarisho ya  siku ya wanyamapori yafanyika marsabit

Msimazi mkuu kwenye mbuga ya wanyama Marsabit national park  Augustine  Ajuoga amesema k.w.s katika kaunti ya Marsabit wanajiandaa vyema kwa siku ya kusherekea wanyama pori itakayofanyika mechi 3 mwezi ujao huku akihamasisha  jamii kujua umuhimu wa kulinda  wanyamapori pamoja na  mazingira kwa manufaa yao.  Akizungumza na shajara ya radio Jangwani[Read More…]

Subscribe to eNewsletter