The Duke, Duchess Of Sussex Reportedly Won’t Be Invited To Duke Of Westminster’s Wedding.
March 12, 2024
sport bulletins
Na Isaac Waihenya Vijana wa klabu ya Soka ya Samba Boyz hapa mjini Marsabit wameirai jamii ya Marsabit pamoja na vilabu vingine kuwa katika mstari wa mbele kutoa damu ili kuokoa maisha ya wale wanaohitaji damu hiyo. Wakiongozwa na nahodha wao Siba Burcha vijana hao wametaja kwamba wamechukua jukumu la[Read More…]
Na Samuel Kosgei Klabu ya Paris St-Germain iko tayari kumuuza Kylian Mbappe msimu huu wa joto badala ya hatari ya kumpoteza bila malipo katika muda wa mwaka mmoja, baada ya kuiambia klabu hiyo ya Ufaransa kuwa hataongeza mkataba wake. Mkataba wa sasa wa mchezaji huyo wa Ufaransa unamalizika mwishoni[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Klabu ya Chelsea inatarajiwa kufanya maamuzi magumu kuhusu kumpa kazi menaja wa zamani wa Tottenham Hotspur Mauricio Pochettino. Pochettino amepigiwa upato kupata nafasi hiyo baada ya Makocha Luis Enrique na Julian Nagelsmann kujiondoa katika kinyanganyiro hicho. Pochettino amewahi kuvinoa vilabu vingine kama vile Southampton na Paris Saint[Read More…]
Na Isaac Waihenya. Klabu ya Gor Mahia imemtambulisha kocha wao mpya Jonathan McKinstry kuchukua nafasi ya Mjerumani Andres Spiers ambaye aliigura klabu klabu hiyo mwezi uliopita. McKinstry raia wa Ireland ametambulishwa hii leo kwa umaa na mwenyekiti wa Gor Mahia Ambrose Rachier huku akisaini mkataba wa miaka miwili. Meneja huyo[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Klabu ya Liverpool imemsajili kiungo wa FC Porto ya Ureno Luis Diaz kwa kima cha Euro milioni 60. Raia huyo wa Colombia ametia sahihi mkataba wa miaka mitano unusu na wekundu wa Anfield. Kupitia ukurasa wao wa Twitter Liverpool imetaja kukamilika kwa uhamisho huo kama jambo lililosubiriwa[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Mchuano wa kuwania kombe la ligi kuu nchini Uingereza kati ya Manchester United dhidi ya Brentford imeahirishwa kutokana na mkurupuko wa visa vya korona katika kambi ya Man United. Kupitia Kurasa zao za kijamii vilabu vyote viwili vimedhibitisha kuahirishwa kwa mechi hiyo iliyotarajiwa kusakatwa hii leo usiku[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Aliyekuwa nahodha wa timu ya Taifa Harambe Stars Mcdonald Mariga amekosoa kauli ya rais wa FKF Nick Mwendwa kuwa Kenya haina vipaji vya kutosha kuiwakilisha katika soka ya kimataifa. Mchezaji huyo wa zamani wa Inter Milan ya Italia ameyataja matamshi ya Mwendwa kama matusi kwa vijana ibukia[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Cristiano Ronaldo anaripotiwa kutaka kukatiza hatma yake na Juventus na kuwa huru kurejea Manchester United. Mreno huyo anakumbana na hatma finyu na miamba hao wa Italia na amekuwa akihusishwa na kutaka kuondoka jijini Turin. Inaarifiw akuwa mshabuliazi huyo anawazia kuungana tena na Mashetani Wekundu huku akiwa yuko[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Shirikisho la Raga Duniani limetangaza ratiba ya mechi za Kombe la Bara Afrika zitakazotumiwa kama mashindano ya kufuzu kushiriki Kombe la Dunia mwaka 2023. Timu ya taifa ya Kenya ya raga ya wachezaji 15 kila upande maarufu kama Simbas itaanza kampeni yake dhidi ya Senegal Julai 3[Read More…]
By Waihenya Isaac, Nyota wa klabu ya Westham United,Jesse Lingard amesema kuwa hana mpango wa kurejea kwenye klabu yake ya Manchester United. Lingard ambaye kwa sasa anachezea klabu ya Westham kwa mkopo tangu mwezi Januari mwaka huu akitokea Klabu ya Manchester United yupo kwenye fomu nzuri kwa sasa, huku akitaja[Read More…]