WAKAAZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI MSIMU HUU WA MVUA
April 23, 2025
County updates, notifications, news from the Marsabit County
Na Joseph Muchai Wakaazi katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa waangalifu ili kuepukana na maafa yanayotokana na mvua kubwa. Akiongea na kituo hiki kamanda wa polisi wa Marsabit Leonald Kimaiyo amewataka walio kwenye nyanda za chini kutafuta usalama kwenye nyanda za juu sawa na walio kwenye mikondo ya maji almaarufu[Read More…]
NA Isaac Waihenya Wakaazi wa eneo la Mado Adi katika lokesheni ya Waiye, eneo bunge la Moyale kauti ya Marsabit, wamelalamikia kile wamekitaja kuwa ni kusaulika na serekali ya kaunti ya Marsabit. Wakizumgumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu, wakaazi hao wakiongozwa na mzee wa kijiji Wako[Read More…]
Na Caroline Waforo Wachimba madini katika eneo la Heillu eneobunge la Moyale kaunti ya Marsabit wametakiwa kurejesha mabomu iwapo walisalia nayo. Hii ni baada ya idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit kuibua hofu kuwa huenda kuna wachimba madini ambao hawakurejesha mabomu yaliyopatikana siku ya Jumamosi. Akizungumza na shajara ya[Read More…]
Na Samuel Kosgei Baadhi ya wakaazi wa Marsabit wamepinga mapendekezo ya seneta wa kaunti ya Marsabit Moses Kajwang aliyependekeza kaunti nchini zipunguzwe hadi 13 kutokana mzigo ambao taifa haliwezi kulibeba. Wananchi waliosema nasi kwenye kipndi cha Amkia Jangwani hii leo wamesema kuwa kupunguza kaunti itamaanisha kuwa huduma kwa mwananchi[Read More…]
Na Samuel Kosgei Bunge la kaunti ya Marsabit hii leo limepiga msasa na kulihoji jopo la watu watano litakaochagua wanachama wa bodi ya uajiri ya kaunti Marsabit (Marsabit Public Service Board). Jopo hilo la uteuzi lilifika mbele ya kamati ya upigaji msasa ya bunge leo jumanne likiongozwa na spika Edin Wario[Read More…]
Na Sabalua Moses Kufuatia mvua kubwa iliyonyesha hivi maajuzi wakaazi katika eneo la South Horr wamelalamikia uharabifu wa barabara ya South Horr kuelekea Kurungu eneobunge la Laisamis wakiomba serikali kuleta msaada wa haraka ili kuendeleza shughuli za usafiri. Akizungumza na shajara ya radio jangwani kupitia njia ya simu chifu wa [Read More…]
Na JB Nateleng, Vijana wa kanisa Katoliki hapa jimboni Marsabit wameshauriwa kuwa na mazoea ya kushiriki katika ibada pamoja na halfa ambazo zinaangazia neno la Mungu. Ni ushauri ambao umetolewa na mwenyekiti wa vijana wa katoliki eneo la Sagante, Parokia ya Cathedrali, jimboni Marsabit, Gabriel Galgallo Boru ambaye amesema kuwa[Read More…]
Na Caroline Waforo Wazazi ambao wanao bado hawajapokea chanjo dhidi ya ugonjwa wa Polio wametakiwa kutembelea vituo vya afya vilivyo karibu nao ili kuhakikisha kuwa wanao wanapata chanjo hiyo muhimu. Ni wito ambao umtolewa na mratibu wa utoaji chanjo katika kaunti ya Marsabit Abdub Boru. Wito huu unajiri baada ya[Read More…]
Na Isaac Waihenya. Wito umetolewa kwa wakaazi wa kaunti ya Marsabit kukumbatia chanjo mbalibali zinazotolewa na idara ya afya hapa jimboni. Kwa mujibu wa afisa mkuu wa afya katika kaunti ndogo ya Laisamis Yussuf Galmogle ni kuwa chanjo hizo ambazo zinatolewa haswa kwa watoto zinamanufaa mengi kiafya. Akizungumza na meza[Read More…]
Na Moses Sabalua, Wito umetolewa kwa wasichana hapa jimboni Marsabit kujiunga na mashirika mbalimbali ya watawa na baadea kutumika kuendeleza ijili. Akizungumza na idhaa hii mtawa kutoka shirika la Fransiscan Sisters of St Joseph, mtawa Monica Anastacia amesema kuwa shirika hilo lipo tayari kuwakaribisha wasichana wote ambao wangetaka kujiunga na[Read More…]