County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

WACHIMBA MADINI WATAKIWA KUREJESHA MABOMU IWAPO WALISALIA NAYO, MOYALE

Na Caroline Waforo Wachimba madini katika eneo la Heillu eneobunge la Moyale kaunti ya Marsabit wametakiwa kurejesha mabomu iwapo walisalia nayo. Hii ni baada ya idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit kuibua hofu kuwa huenda kuna wachimba madini ambao hawakurejesha mabomu yaliyopatikana siku ya Jumamosi. Akizungumza na shajara ya[Read More…]

Read More

WAKAAZI WA MARSABIT WAPINGA PENDEKEZO LA KUPUNGUZWA KWA IDADI ZA KAUNTI NCHINI.

  Na Samuel Kosgei Baadhi ya wakaazi wa Marsabit wamepinga mapendekezo ya seneta wa kaunti ya Marsabit Moses Kajwang aliyependekeza kaunti nchini zipunguzwe hadi 13 kutokana mzigo ambao taifa haliwezi kulibeba. Wananchi waliosema nasi kwenye kipndi cha Amkia Jangwani hii leo wamesema kuwa kupunguza kaunti itamaanisha kuwa huduma kwa mwananchi[Read More…]

Read More

BARABARA YA SOUTH HORR KUELEKEA KURUNGU YAHARIBIWA NA MVUA HUKU SHUGHULI ZA USAFIRI ZIKISITISHWA.

Na Sabalua Moses Kufuatia mvua kubwa iliyonyesha  hivi maajuzi wakaazi  katika eneo la South Horr wamelalamikia uharabifu wa barabara ya South Horr kuelekea Kurungu eneobunge la Laisamis wakiomba serikali kuleta msaada wa haraka ili kuendeleza shughuli za usafiri. Akizungumza na shajara ya radio jangwani kupitia njia ya simu chifu wa [Read More…]

Read More

VIJANA KAUNTI YA MARSABIT WASHAURIWA KUSHIRIKI KATIKA HALFA AMBAZO ZINAANGAZIA NENO LA MUNGU.

Na JB Nateleng, Vijana wa kanisa Katoliki hapa jimboni Marsabit wameshauriwa kuwa na mazoea ya kushiriki katika ibada pamoja na halfa ambazo zinaangazia neno la Mungu. Ni ushauri ambao umetolewa na mwenyekiti wa vijana wa katoliki eneo la Sagante, Parokia ya Cathedrali, jimboni Marsabit, Gabriel Galgallo Boru ambaye amesema kuwa[Read More…]

Read More

WAKAAZI WA KAUNTI YA MARSABIT WATAKIWA KUKUMBATIA CHANJO MBALIBALI ZINAZOTOLEWA NA IDARA YA AFYA HAPA JIMBONI.

Na Isaac Waihenya. Wito umetolewa kwa wakaazi wa kaunti ya Marsabit kukumbatia chanjo mbalibali zinazotolewa na idara ya afya hapa jimboni. Kwa mujibu wa afisa mkuu wa afya katika kaunti ndogo ya Laisamis Yussuf Galmogle ni kuwa chanjo hizo ambazo zinatolewa haswa kwa watoto zinamanufaa mengi kiafya. Akizungumza na meza[Read More…]

Read More

WITO UMETOLEWA KWA WASICHANA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT KUJIUNGA NA UTAWA ILI KUINDELEZA INJILI.

Na Moses Sabalua,   Wito umetolewa kwa wasichana hapa jimboni Marsabit kujiunga na mashirika mbalimbali ya watawa na baadea kutumika kuendeleza ijili. Akizungumza na idhaa hii mtawa kutoka shirika la Fransiscan Sisters of St Joseph, mtawa Monica Anastacia amesema kuwa shirika hilo lipo tayari kuwakaribisha  wasichana wote ambao wangetaka kujiunga na[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter