Vijana Marsabit watakiwa kushiriki jitihada za kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi.
July 10, 2025
County updates, notifications, news from the Marsabit County
Na JB Nateleng’ Watengenezaji wengi wa gundi inayopatikana mtini katika kaunti ya Marsabit ni wafugaji ambao kwa kiwango kikubwa hawana maarifa kuhusu njia sahihi ya kuchuna na kutengeneza gundi hiyo iwasaidie. Haya ni wa mujibu wa mkufunzi kutoka taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori (WRTI) Richard Soi. Soi ameelezea[Read More…]
Na Abdiaziz Yusuf, Maafisa wa polisi wakishirikiana na maafisa wa akiba NPR wamefanikiwa kunasa bangi yenye dhamana ya shilingi milioni 10.5 katika eneo la Elebor eneobunge la Sololo kaunti ya Marsabit. Akithibitisha tukio hilo OCPD wa Sololo Joseph Nthiga amesema kuwa bangi hiyo ilikuwa imefichwa ndani ya gari aina ya[Read More…]
Na JB Nateleng, Serekali ipo tayari kushirikiana na washikadau mbalimbali katika kuboresha na kuinua hadhi ya elimu katika kaunti ya Marsabit. Haya ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Elimu kaunti ya Marsabit Peter Magiri. Kwenye hotuba yake iliyosomwa na mkurugenzi wa elimu kaunti ndogo ya North Horr Mamo Gutu ambaye[Read More…]
Na Mwandishi Wetu WAKAAZI wa Leyai, wadi ya Karare kaunti ya Marsabit wameonesha masikitiko makubwa kutokana na kukosa huduma za hospitali karibu nao. Wakaazi hao wa Leyai wamekosoa pakubwa serikali ya Marsabit kupitia idara ya afya kutokana na kusahaulika na kupuuzwa kwa zahanati ya Leyai iliyojengwa mwaka wa 2016. Wananchi[Read More…]
Na JB Nateleng, Kamishna wa kaunti ya Marsabit James Kamau amesifia shule zinazofadhiliwa na kumilikiwa na kanisa Katoliki akisema kuwa zinakuza nidhamu na maadili mema. Kamau aliyekuwa akiazungumza wakati wa sherehe za kuadhimisha siku ya elimu hapa jimboni, iliyoandaliwa katika ukumbi wa kanisa Katoliki, ameelezea kwamba, shule hizi ambazo zilianzishwa[Read More…]
Na Abdiaziz Yusuf, Sasa ni afueni kwa wanafunzi wanaofadhiliwa na serekali ya kaunti ya Marsabit baada ya baraza la magavana nchini COG kukubalina na wizara ya elimu kutatua tatizo lililokuwepo kuhusu ufadhili huo. Kwa mujibu wa gavana wa kaunti ya Marsabit Mohamed Ali ni kuwa fedha za kufadhili wanafunzi hao[Read More…]
Na Moses Sabalua, Kufuatia mauaji ya viongozi wa kidini hivi maaujuzi, viongozi katika kaunti ya Marsabit wamekashifu tendo hilo huku wakitaka jamii pamoja na viongozi kuwa mstari wa mbele katika kulinda maisha yao. Akizungumza na kituo cha Radio Jangwani mjini Marsabit Askofu wa kanisa la kianglikana kaunti ya Marsabit Daniel[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Mali ya dhamani isiyojulikana imeteketea baada ya lori lililokuwa likisafirisha bidhaa za duka kuteketea moto katika eneo la Lderedei kilomita 6 kutoka eneo la kibiashara la Log Logo kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa chifu wa eneo la Log Logo Henry Korole ni kuwa lori hilo lilikuwa[Read More…]
Na Samuel Kosgei ZAIDI ya vyama vya ushirika 40 kutoka Moyale kaunti hii ya Marsabit yameshirikiana kuunda muungano mmoja mkubwa ili kushughukulia maslahi yao katika harakati za kuchimba migodi eneo la Hillo. Kulingana na mwenyekiti mpya wa muungano huo wa wachimba migodi Moyale Rashid Karayu ni kuwa kuanzishwa kwa muungano[Read More…]
JB Nateleng, Mshauri wa Rais katika masuala ya jinsia na haki za wanawake, Harriette Chiggai amesema kuwa idadi ya wajane na akinamama wanaowalea wanao pekee yao nchini inazidi kuongozeka kutokana na jamii na mashirika ya serekali kuangazia zaidi wanawake na wasichana huku wakisahau kuhusu haki za mtoto wa kiume. Chiggai[Read More…]