The Duke, Duchess Of Sussex Reportedly Won’t Be Invited To Duke Of Westminster’s Wedding.
March 12, 2024
County updates, notifications, news from the Marsabit County
Na Samwel Kosgei, Wizara ya afya kaunti ya Marsabit imetangaza uwepo wa visa 10 vya ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) ambao mwezi jana ulitangazwa kuwepo kaunti ya Mombasa. Wizara hiyo ikiongozwa na waziri wa afya Grace Galmo imesema kuwa dalili ya ugonjwa huo ni ikiwemo kuhisi uchungu machoni, kufura[Read More…]
Na Isaac Waihenya Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 15 ameaga dunia siku ya Jumapili baada ya kusombwa na maji ya mto Kargi katika eneo la Kargi katika kaunti ya Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho MCA wa wadi ya Kargi Christopher Ogom amesema kwamba msichana huyo alikuwa akichunga mbuzi karibu na[Read More…]
By Silvio Nangaori and Dennson Machuki Marsabit central has plunged again the dark with power outage expected to continue for more days following an unprecedented breakdown of the only generator that was brought from Moyale. The generator broke down on Wednesday evening but Kenya Power statement said it broke down[Read More…]
Na Isaac Waihenya Kampuni ya maji katika kaunti ya Marsabit MARWASCO imewataka wakaazi wa mji wa Marsabit kuwa na subira inapoendeleza zoezi la kurekebisha mifereji ya maji iliyoharibiwa wakati wa ujenzi wa barabara katika maeneo mbalimbali hapa mjini. Akizungumza wakati wa mkao na wateja wa MARWASCO uliolenga kusikiliza lalama za[Read More…]
Na Isaac Waihenya Wito umezidi kutolewa kwa wakaazi mjini Marsabit kujitokeza kutoa damu ili kusaidia walionamahitaji ya damu hapa jimboni Marsabit. Kwa mujibu wa afisa kwenye idara ya kutoa damu katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Daniel Ngacha ni kuwa utoaji damu una manufaa mengi kwa mwili wa binadamu na[Read More…]
Na Samuel Kosgei WAZIRI wa Ardhi na Ukuaji wa Miji kaunti ya Marsabit Amina Challa Abdi ametoa onyo kwa wanyakuzi wa ardhi ya umma kuwa chuma chao ki motoni kwani wizara yake inaweka mikakati mwafaka ya kuhakikisha kuwa ardhi zote zilizo mikononi mwa wanyakuzi zinarejeshwa kwa serikali ya jimbo. Akizungumza na kituo[Read More…]
Na Samuel Kosgei BUNGE la kaunti ya Marsabit imemhoji Wario Boru ambaye alipendekezwa na gavana Mohamud Ali kuwa mwenyekiti wa Manispaa ya Marsabit baada ya nafasi hiyo kuwa wazi kwa muda sasa. Iwapo kamati hiyo ya bunge itamwidhinisha basi Wario atatwaa nafasi hiyo iliyokuwa ikishikiliwa Roba Sereka ambaye alitoweka mapema[Read More…]
Na Samuel Kosgei Washukiwa watatu wamekamatwa katika wadi ya Korr eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit baada ya kupatikana na misokoto 600 ya bangi na kilo nyingine mbili katika mkoba. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani chifu wa Lokesheni ya Korr Jeremiah Ntimo alisema kuwa kukamatwa kwa washukiwa hao[Read More…]
Na Isaac Waihenya Mgawanyiko kati ya wanachama wa kundi la Saku Forum for Disabled wanaomiliki duka la maji lililopo karibu na shule ya msingi ya St Theresa hapa mjini Marsabit umezidi baada ya kundi hilo kumuondoa Waqo Kumbi kama wawakilishi wa kundi hilo kwenye kamati ya idara ya maji jimboni[Read More…]
Na James Wanyonyi Mwanaume mmoja wa umri wa makamao amefikishwa leo hii katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la kumnajisi msichana wa umri wa miaka 16. Badake Yattani alishtakiwa kuwa mnamo tarehe 21 mwezi wa Januari mwaka huu pamoja na wenzake ambao hawakuwa mahakamani wanadaiwa kutekeleza kosa hilo lokesheni ya[Read More…]