Wazazi na walezi ndio wenye jukumu la kulipia chakula cha wanafunzi katika shule za msingi na upili- waziri Machogu
June 8, 2023
County updates, notifications, news from the Marsabit County
Na Silvio Nangori Mshukiwa wa wizi wa piki piki karibu na Shemeji inn katika eneo bunge la saku amefikishwa katika mahakama ya Marsabit. Inadaiwa kwamba Isaak Hussein Guracha alihusika katika wizi wa piki piki aina ya Skygo yenye nambari ya usajili KMGG 787P inayogharimu Sh 241,645 tarehe 5 Juni,2023 mali[Read More…]
Na Samuel Kosgei WAWAKILISHI wadi kaunti ya Marsabit walijiunga na wenzao kote nchini kugoma kwa kususia majukumu yao kama MCAs baada ya serikali kupuuza malalamishi yao kadhaa ikiwemo nyongeza ya mishahara na kunyimwa hazina ya wadi. Kiongozi wa wengi katika bunge la Marsabit Bernard Leakono akizungumza na Shajara ya Jangwani[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Ni afueni kubwa sasa kwa wakaazi wa Bubisa eneobunge la North Horr kaunti ya Marsabit baada ya mashine ya kusafisha maji kwa kutoa madini ya chumvi kuzinduliwa rasmi na shirika la PACIDA na washirika wake mjini humo. Afisa mkuu mtendaji wa shirika la PACIDA Marsabit, Patrick Katelo[Read More…]
Na Isaac Waihenya na John Bosco, Wito unazidi kutolewa kwa wakaazi wa eneo bunge la Laisamis kufuata maagizo ya wizara ya afya ili kujizuia dhidi ya ugonjwa wa malaria baada ya kubainika kwa aina mpya ya mbu wanaoaminika kuwa wabaya. Kwa mujibu wa chifu wa eneo la Laisamis Agostino Supeer[Read More…]
Na Isaac Waihenya na John Bosco, Shule 26 katika kaunti ya Marsabit zitanufaika na mradi unaoendeshwa na wizara ya elimu wa kuboresha shule mbambali hapa nchini (SEQIP). Kwa mujibu wa msimamizi wa kiwango cha ubora wa elimu katika kaunti ya Marsabit Mumas Wanyama ni kuwa shule 14 kutoka eneo bunge[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Waziri wa afya kaunti ya Marsabit Grace Galmo amesema kuwa wizara yake bado inasubiri ripoti kamili kuhusiana na aina mpya ya mbu hatari waliotambulika katika maeneobunge ya Saku na Laisamis na taasisi ya utafiti wa matibabu chini KEMRI ili waweze kuchukua hatua inayofaa baada ya kushauriwa na[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Huenda sasa ikawa afueni kwa wagonjwa katika hospitali za rufaa za Marsabit baada ya serikali kupokea dawa kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa nchini KEMSA. Akizungumza baada ya kupokea dawa hizo katika hospitali ya rufaa ya Marsabit, waziri wa afya Grace Galmo amesema kuwa dawa hizo zimegharimu[Read More…]
Na Samuel Kosgei, WAWAKILISHI wadi kaunti ya Marsabit wamesema kuwa wako tayari kufanya kazi pamoja na gavana wa sasa Mohamud Ali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi. Wawakilishi wadi hao wakiongozwa na MCA wa Marsabit Central Jack Elisha wamesema kuwa wakati wa siasa umeisha na kwa ajili ya kufaidi wananchi[Read More…]
Na Samuel Kosgei, MRATIBU mkuu wa mamlaka ya kudhibiti athari za ukame NDMA tawi la Marsabit Mustafa Parkolwa amesema zaidi ya mifugo elfu 300 kaunti ya Marsabit wamekufa kutokana na kiangazi kikali kinachoshuhudiwa kutokana na ukosefu wa mvua kutonyesha kwa misimu mitano. Akizungumza na shajara kwenye kikao cha pamoja cha[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Mtoto mmoja kati ya umri wa miaka 5 na 6 ameaga dunia baada ya kuliwa na fisi katika kijiji cha Tirgamo eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho Chifu wa eneo hilo Agostino Supeer ametaja kuwa msichana huyo alitoka nje kujisaidia mida ya usiku[Read More…]