County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

WITO WATOLEWA KWA WAZAZI KUWAPELEKA WANAWAO HOSPITALINI IWAPO WATARIPOTI VISA VYOVYOTE VYA KUUMWA NA MACHO.

Wito umetolewa kwa wazazi kuwapeleka wanawao hospitalini iwapo wataripoti visa vyovyote vya kuumwa na macho. Haya yamekaririwa na mtaalam wa macho katika kliniki ya Macho, katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Amina Duba. Akizungumza na idhaa hii afisini mwake, Amina amesema kuwa kuna magonjwa ya macho ambayo yanaweza yakatibika iwapo[Read More…]

Read More

HUKU ULIMWENGU UKIADHIMISHA MWEZI WA KUTOA HAMASA KUHUSIANA NA SARATANI YA MATITI DUNIANI, WITO UMETOLEWA KWA AKINAMAMA KUJITOKEZA KUFANYIWA UKAGUZI KUHUSIANA NA UGONJWA HU

 Huku ulimwengu ukiadhimisha mwezi wa kutoa hamasa kuhusiana na saratani ya matiti duniani wito umetolewa kwa akinamama kujitokeza kufanyiwa ukaguzi kuhusiana na ugonjwa huo. Kwa mujibu ya muunguzi kwenye kituo cha saratani katika hospitali ya rufaa ya Marsabit, Joyce Mokuro asilimia 16.2 ya watu hapa nchini wameadhirika na ugonjwa huo. Akizungumza[Read More…]

Read More

HIFADHI YA MELAKO IMETAJA KWAMBA KAMWE HAIMUJUI JAMAA ALIYEUWAWA AKIWA AMEVALIA JAKETI YA ZAMANI YA HIFADHI HIYO MNAMO SIKU YA IJUMAA WIKI ILIYOPITA KATIKA ENEO LA BADASA ENEO BUNGE LA SAKU KAUNTI YA MARSABIT.

 Hifadhi ya Melako imetaja kwamba kamwe haimujui jamaa aliyeuwawa akiwa amevalia jaketi ya zamani ya hifadhi hiyo mnamo siku ya ijumaa wiki iliyopita katika eneo la Badasa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia simu Meneja wa hifadhi ya Melako Satim Eydimole ni kuwa[Read More…]

Read More

WAAKAZI WA MARSABIT WATOA HISIA ZAO KUHUSIANA NA MAPENDEKEZO YA BAADHI YA VIONGOZI WA KIDINI NCHINI KUTAKA MIRAA IPIGWE MARUFUKU.

Waakazi wa Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na mapendekezo ya baadhi ya viongozi wa kidini ya kupigwa marufuku utumiaji wa miraa hapa nchini. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia kipekee wameitaja hatua ya kupiga marufuku zao hilo kama itakayo wakandamiza wanaotegemea biashara ya miraa kama kitega[Read More…]

Read More

SIKU MOJA BAADA YA NAIBU WA RAIS RIGATHI GACHAGUA KUMUOMBA MSAMAHA RAIS WILIAM RUTO KUHUSIANA NA IWAPO AMEKOSEA, WAKAAZI WA MARSABIT WAMETOA MAONI YAO KUHUSIANA NA HATUA HIYO.

Siku moja tu baada ya naibu wa Rais Rigathi Gachagua kumuomba msamaha Rais Wiliam Ruto kuhusiana na iwapo amekosea na kupelekea mswaada wa kutaka abanduliwe mamlakani kufikishwa bungeni, baadhi ya wakaazi wa Marsabit wametoa maoni yao kuhusiana na hatua hiyo. Baadhi ya waliozungumza na Shajara ya Radio Jangwani wametaja kuwa[Read More…]

Read More

POLISI MJINI MARSABIT WANAMZUILIA MWANAMME MMOJA MWENYE UMRI WA MIAKA 37 AMBAYE ALIYEKAMATWA JANA JIONI KWA MAKOSA YA KUIBA SHILINGI ELFU 69 KATIKA DUKA LA MPESA MJINI MARSABIT.

Polisi mjini Marsabit wanamzuilia mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 37 ambaye aliyekamatwa jana jioni kwa makosa ya wizi katika duka la MPesa mjini Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho OCS wa Marsabit Central Edward Mabonga ametaja kwamba mhalifu kwa jina Musei Ndemwa alitiwa mbaroni jana jioni katika eneo la Frontline karibu[Read More…]

Read More

MAHAKAMA YA MARSABIT YAWAACHILIA KWA DHAMANA YA SHILINGI 200,000, WATU WANNE WALIOKAMATWA WAKISAFIRISHA KILO 10 ZA BANGI KATIKA MAKUTANO YA BURGABO,MARSABIT.

 Watu wanne wameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la ulanguzi wa bangi leo Ijumaa. Wanne hao wanaojuimusha Anthony Mbae, Boniface Mwenda, Benjamin Muiruri na Danson Mureithi walikamatwa wakisafirisha kilo 10 za bangi zenye thamani ya shilingi 160,000 katika makutano ya Burgabo katika barabara ya Moyale kuelekea Marsabit saa nne[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter