County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

Shule 26 katika kaunti ya Marsabit zitanufaika na mradi unaoendeshwa na wizara ya elimu wa kuboresha shule mbambali hapa nchini (SEQIP).

Na Isaac Waihenya na John Bosco, Shule 26 katika kaunti ya Marsabit zitanufaika na mradi unaoendeshwa na wizara ya elimu wa kuboresha shule mbambali hapa nchini (SEQIP). Kwa mujibu wa msimamizi wa kiwango cha ubora wa elimu katika kaunti ya Marsabit Mumas Wanyama ni kuwa shule 14 kutoka eneo bunge[Read More…]

Read More

Bado tunasubiri ripoti kamili kuhusiana na aina mpya ya mbu hatari. – Asema waziri wa Afya Grace Galmo.

Na Samuel Kosgei, Waziri wa afya kaunti ya Marsabit Grace Galmo amesema kuwa wizara yake bado inasubiri ripoti kamili kuhusiana na aina mpya ya mbu hatari waliotambulika katika maeneobunge ya Saku na Laisamis na taasisi ya utafiti wa matibabu chini KEMRI ili waweze kuchukua hatua inayofaa baada ya kushauriwa na[Read More…]

Read More

Afueni kwa wagonjwa katika hospitali za rufaa za Marsabit baada ya serikali kupokea dawa kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa nchini KEMSA.

Na Samuel Kosgei, Huenda sasa ikawa afueni kwa wagonjwa katika hospitali za rufaa za Marsabit baada ya serikali kupokea dawa kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa nchini KEMSA. Akizungumza baada ya kupokea dawa hizo katika hospitali ya rufaa ya Marsabit, waziri wa afya Grace Galmo amesema kuwa dawa hizo zimegharimu[Read More…]

Read More

WAWAKILISHI wadi kaunti ya Marsabit wamesema kuwa wako tayari kufanya kazi pamoja na gavana wa sasa Mohamud Ali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi.

Na Samuel Kosgei, WAWAKILISHI wadi kaunti ya Marsabit wamesema kuwa wako tayari kufanya kazi pamoja na gavana wa sasa Mohamud Ali kwa ajili ya maendeleo ya wananchi. Wawakilishi wadi hao wakiongozwa na MCA wa Marsabit Central Jack Elisha wamesema kuwa wakati wa siasa umeisha na kwa ajili ya kufaidi wananchi[Read More…]

Read More

Mifugo elfu 300 kaunti ya Marsabit wamekufa kutokana na kiangazi kikali kinachoshuhudiwa kutokana na ukosefu wa mvua.

Na Samuel Kosgei, MRATIBU mkuu wa mamlaka ya kudhibiti athari za ukame NDMA tawi la Marsabit Mustafa Parkolwa amesema zaidi ya mifugo elfu 300 kaunti ya Marsabit wamekufa kutokana na kiangazi kikali kinachoshuhudiwa kutokana na ukosefu wa mvua kutonyesha kwa misimu mitano. Akizungumza na shajara kwenye kikao cha pamoja cha[Read More…]

Read More

Wanafunzi 54 katika kaunti ya Marsabit na Samburu wapokea ufadhili wa masomo kupitia shirika lisilo la kiserikali Kenya Drylands Education Fund.

Na Silvio Nangori, Wanafunzi 54 wanaotoka katika familia maskini katika kaunti ya Marsabit na Samburu wamepokea ufadhili wa masomo kupitia shirika lisilo la kiserikali Kenya Drylands Education Fund. Akizungumza na shajara ya jangwani Mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Ahmed Kura amesema kwamba waliopata ufadhili huo ni wale wasiojiweza katika jamii.[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter