Watahiniwa wa mitihani ya kitaifa mwaka huu watakiwa kujiamini na kujiandaa ipasavyo
September 1, 2025
http://https://www.youtube.com/watch?v=wFV2KoE1GSw The late Bishop Ravasi was led to rest on 6th November 2020. He was the Emeritus Bishop of Marsabit Diocese. This Video was produced by Radio Jangwani / Baragumu ya Faraja.
Huku wanafunzi wa gredi ya 6, gredi ya 9 na wale wa kidato cha nne wakitarajiwa kufanya mtihani wao wa kitaifa muhula huu, wito umetolewa kwao kujiamini na kuwa na imani kuwa watahitimu. Wito huu umetolewa na mmoja wa Wasomi kutoka shirika la Commonwealth Scholarships Alumni Association of Kenya (CSAAK)[Read More…]
Naibu kamishna wa Marsabit ya kati David Saruni ametoa wito kwa wazazi kuwarejesha watoto wao shuleni wakati huu shule zinafumguliwa kwa muhula wa tatu. Akizungumza na shajara ya redio Jangwani Saruni amesema kuwa usalama umeimarishwa kikamilifu mjini marsabit ya kati kama njia moja ya kufanikisha masomo kwa njia ya utulivu.[Read More…]
Baadhi ya wakaazi katika lokesheni ya Jirime eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wamefanya maandamano ya amani leo Jumatatu hadi katika afisi ya kamishana wa Jimbo hili James Kamau kulalamikia kile wanadai ni hatua ya mamlaka ya ujenzi wa barabara nchini KENHA kukataa kutimiza ahadi ya maendeleo katika lokesheni[Read More…]
Mbunge wa Moyale Profesa Guyo Jaldesa ameisuta serikali ya kaunti ya Marsabit kwa kile anadai ni kulemaza huduma za afya jimboni. Mbunge huyo amezungumza wakati wa hafla ya kuwezesha makundi ya akina mama katika eneo la Mata Arba eneobunge la Saku leo Ijumaa akisema kuwa wananchi wanahangaika kupata matibabu kutokana[Read More…]
Mfanyibiashara mmoja hapa katika kaunti ya Marsabit Adbub Tari amemtaka Rais William Ruto kuingilia kati mivutano ya kisiasa Marsabit kwa kuitisha kikao cha dharura na viongozi wa kaunti hii. Tari ambaye amezungumza wakati wa hafla ya kuchangisha pesa kwa makundi ya akina mama katika eneo bunge la Saku amesema kuwa[Read More…]
Siku moja baada ya rais William Ruto kuahidi kushughulikia changamoto zinazokumba sekta ya bodaboda nchini kama njia moja ya kaufikia ahadi ya kauli mbiu yake ya Bottom Up, wakati wa kampeini za uchaguzi mkuu wa 2022,wahudumu wa bodaboda wametofautiana na Rais. Mwandishi wetu Nyabande Orwa amezungumza na wahudumu hao kutoka[Read More…]
Na muchai Wawakilishi wadi hawafai kupewa pensheni baada kustaafu kutoka kwenye nyadhifa zao. Hii ni kauli ya baadhi ya wakaazi katika mji wa Marsabit ambao wamezungumza na shajara ya Radio Jangwani leo Ijumaa. Wanahoji kuwa fedha hzio zinawezatumika katika kusuluhisha matatizo ya wafanyikazi wa umma kama nyongeza kwa mishahara ya[Read More…]
Na muchai Timu ya kitaifa ya kandanda Harambee Stars yapongezwa kwa kufanya vizuri kipute cha CHAN kinachoendelea. Wakizungumza na Radio Jangwai wapenzi wa soka Marsabit mjini wamesema kuwa kandanda ya humu nchini imeimarika ikilinganishwa na hapo awali. Aidha wamepongea serikali ya rais William Ruto kwa zawadi yake kwa harambee Stars[Read More…]
Zaidi ya shilingi milioni 6 zimechangishwa kufaidi zaidi ya makundi 40 ya akina mama kutoka eneobunge la Saku kaunti ya Marsabit leo Ijumaa. Fedha hizo zimechangishwa wakati wa hafla ya kuyawezesha makundi ya akina mama kufanikisha miradi mbalimbali ya maendeleo hafla na ambayo imehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali ya[Read More…]
Huku shule za umma zikiendelea kutaabika kutokana na kucheleshwa kwa pesa zinazotolewa na serikali,wakazi wa kaunti ya Marsabit wametoa maoni kinzani kuhusiana na pendekezo la chama cha kuwatetea walimu wa shule za upili na vyuo vya anuai KUPPET kuwa sasa wazazi waanze kujiandaa kulipa karo muhula ujao ili kusaidia kuendeleza[Read More…]