Radio Advertisement

Advertise with us
 

World wide news

Pope Francis meets with young priests and monks of the Oriental Orthodox Churches, and urges Christians to express our common faith in respect and fraternal love.\n Read all\n  
In his 2025 World Mission Day Message, Pope Francis reminds missionaries that turning to the Lord in prayer is the key \"to keeping the spark of hope alive, so that it can become a great fire, which enlightens and warms everyone around us...\"\n Read all\n  
In hopes of fostering peace in South Sudan amid its history of conflicts and ethnic tensions, the South Sudan Council of Churches (SSCC) has lauched a booklet on nonviolence to serve as a tool to promote reconciliation, hope, and transformation among communities. \n Read all\n  
A group of young participants from the “Meaning Meets Us” gathering, organized by Scholas Occurrentes, meet Pope Francis at the end of the General Audience on Wednesday, February 5. A letter, signed by all of them and symbolizing their commitment to dialogue reads: “We are not seeking consensus but the ability to understand one another.” \n Read all\n  
The 11th International Day of Prayer and Awareness Against Human Trafficking is marked on Saturday, 8 February 2025. At the forefront of the fight against this modern-day scourge is Talitha Kum, a Catholic network of religious sisters dedicated to combatting human trafficking through prevention, advocacy, and survivor support.\n Read all\n  
In the wake of the mass shooting killing at least 10 people at a school in Sweden on Tuesday, Pope Francis expresses his closeness to the victims and all those suffering their loss.\n Read all\n  
During the World Interfaith Harmony Week, the Jordanian Minister of Tourism and Antiquities and the Director of Jesus\' Baptism site describe the importance of pilgrimages to the country.\n Read all\n  
World Wetlands Day, marked annually on 2 February, aims to raise awareness regarding the importance of these ecosystems that contribute to biodiversity, climate mitigation and adaptation, freshwater availability, world economies and more. A recent study highlights the delicate ecological balance of wetlands and the growing threat posed by plastic pollution. \n Read all\n  
Despite ongoing conflict in the Holy Land and economic hardship, Bethlehem University remains a beacon of peace and resilience, even working to expand its course offerings while fostering unity among Palestinian young people.\n Read all\n  
Pope Francis concludes his General Audience praying for all those suffering in nations torn apart by war and remembering in a special way priests and religious who serve in poor and conflict-stricken nations.\n Read all\n  
 

Featured Stories / News

Gavana wa Marsabit Mohamud Ali apongeza rais Ruto kwa kuondoa hitaji la kupigwa msasa wakati wa kusaka kitambulisho….

NA CAROL WAFORO Amri ya Rais William Ruto ya kuondoa hitaji la ukaguzi wakati wa kupata kitambulisho na stakabadhi nyingine kwa wakaazi wa eneo la kaskazini mwa kenya limeendelea kupongezwa na viongoni mbalimbali. Akizungumza hii le katika kaunti ya Garissa wakati wa ziara ya rais Ruto kaskazini mashariki, gavana wa kaunti[Read More…]

Marsabit,yaadhimisha siku ya kupambana na ukeketaji, huku mikakati ya kuwahusisha wazee kukomesha mila hii ikiwekwa….

NA ISAAC WAIHENYA Ili tupunguze ndoa za mapema katika kaunti ya lazima kwanza tukabiliane na mila potovu ya ukeketaji. Haya yamekaririwa na afisa mkuu katika idara ya jinsia kaunti ya Marsabit Anna Maria Denge. Akizungumza wakati wa sherehe za maadhimisho ya siku ya kupambana na ukeketaji nchini yaliyoandaliwa hapa mjini[Read More…]

Mama ya mapacha waliouwawa katika eneo la Dololo Boji ahamishwa hadi katika kituo salama baada ya kubainika kuwa hajafikisha umri wa miaka 18.

NA JAMES MUCHAI Mamake watoto mapacha walioripotiwa kuuawa katika manyatta ya Iliman Boru eneo la Dololo Boji katika kaunti ndogo ya North Horr anaendelea kuhifadhiwa katika makao salama ya Charity Sister Marsabit baada ya uchunguzi wa umri kudhibitisha kuwa hajafikisha umri wa miaka 18. Kulingana na ripoti ya uchunguzi wa kimatibabu iliyowasilishwa mahakamani mnamo[Read More…]

Serekali kuu yaahidi kuwafidia wafugaji wa Marsabit, walipoteza mifugo kufuatia kiangazi kilichoshuhudiwa kati ya mwaka 2021 na 2023…

.“Sio lazima mradi upitie kwa wanasiasa ndio uwafaidishe wananchi”haya ni kwa mujibu wa kamishna wa kaunti ya Marsabit James Kamau Akizungumza hii leo wakati wa kikao cha kamati ya kutamidhimi majanga katika kaunti ya Marsabit (CSG) Kamau amesema kuwa kumekuweko na kasumba ya wanasiasa kuingilia miradi ambayo inanuia kusaidia jamii[Read More…]

Vijana wa Saku wamelalamikia serekali ya kaunti ya Marsabit kutoidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa kwenye marekebisho ya bajeti…

Na JB Nateleng, Vijana katika eneo la Saku wamelalamikia kutengwa na serekali ya kaunti kwa kukosa kuyaidhinisha maswala waliyoibua wakati wa vikao vya kushirikisha umaa (Public Participation) kwenye marekebisho ya bajeti ambayo yanadhamiria kufanyika wiki mbili zijazo. Wakiongozwa na mwenyekiti wa muungano wa manahodha wa mpira wa miguu eneo bunge[Read More…]

Wakaazi wa eneo la Kakare Scheme walalamika kuhangaishwa na simba…

Na Caroline Waforo, Wakaazi wa eneo la Kakare Scheme eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wanalalamika kuhangaishwa na simba wawili ambao wanaendelea kuwavamia mifugo wao na hata kuwaua kadhaa katika kipindi cha wiki tatu sasa. Ann Letur mmoja wa wakaazi hao amesema kuwa ngombe wake walivamiwa na kuuwawa siku[Read More…]

Viongozi Marsabit wakosoa hatua ya serekali kuvunjilia mbali shirika la NACONNET….

NA CAROLILINE WAFORO Serikali imeendelea kukosolewa kwa kuvunjiliwa mbali shirika la National Council for Nomadic Education NACONNET na ambalo limekuwa la manufaa makubwa kwa wakaazi wa maeneo kame ikiwemo kaunti ya Marsabit haswa katika kuinua kiwango elimu. Wakizungumza na wanahabari leo Jumanne baadhi ya viongozi jimboni wamekosoa baraza la mawaziri kwa uamuzi[Read More…]

Subscribe to eNewsletter