Latest News
Eneo la  Dabel,Marsabit laathirika zaidi na visa vya ugonjwa wa Surua.
Na Joyce Akinyi Kamati ya uratibu wa majanga (CSG) katika kaunti ya Marsabit imesema visa…
Mahakama ya Marsabit yatoa dhamana kwa mshukiwa wa vitisho vya kisu
Na Mwandishi wetu Mahakama ya Marsabit leo imemwachilia kwa dhamana ya pesa taslimu ya shilingi elfu 50…
Wataalam wa elimu Marsabit waunga mkono  wito wa rais kufadhili elimu ya juu.
Na Sabalua Moses Siku chache baada ya rais William Ruto kutoa mapendekezo ya serikali kushughulikia…
Marsabit Miongoni mwa Kaunti Zitakazoathiriwa Zaidi na Mvua za El Niño
Na Samuel Kosgei Kaunti ya Marsabit ni miongoni mwa kaunti zinazotarajiwa kushuhudia athari kubwa za…
Mbunge wa Laisamis Joseph Lekuton alaani wizi wa mifugo huku akiitaka idara ya usalama kukomesha visa hivyo.
Na Samuel Kosgei Mbunge wa Laisamis Joseph Lekuton amelaani vikali uvamizi wa hivi karibuni wa…
Marsabit yaweka mikakati ya kukabiliana na majanga kabla ya msimu wa mvua za El nino
Na Joyce Akiny & JB Nateleng Naibu gavana wa kaunti ya Marsabit, Solomon Gubo, amewataka…
Askofu Kivuva Musonde awataka Vijana kutambua na kutumia vipaji na talanta walizopewa na mungu kwa manufaa ya jamii
Na Silvio Nangori Askofu mkuu wa Mombasa, Mhashamu Martin Kivuva Musonde, amewataka vijana kutambua na…
Askofu Chaima wa Malawi asema vijana ni nguzo muhimu ya kanisa.
Askofu wa Jimbo katoliki la Zomba nchini Malawi, Rt. Rev. Alfred Mateyu Chaima, amelikumbusha kanisa…
Polisi warejesha ngamia wanne walioibwa Laisamis,Marsabit.
Na Nyabande Orwa Siku chache baada ya tukio la wizi wa idadi kubwa ya mifugo…
Viongozi wa Dukana wahimiza amani na kukomesha kisasi
Na Samuel Kosgei Viongozi wa kijamii kutoka eneo la Dukana, katika eneo bunge la North…
Risasi 4060 zapatikana Moyale, polisi na jeshi kuziangamiza
Na Nyabande Orwa Maafisa wa Polisi kwa ushirikiano na maafisa wa Jeshi la Kenya wanaendelea…
Washikadau wa NRM wakutana Marsabit kuimarisha usimamizi wa Mali asili.
Na JB Nateleng Washikadau kutoka mashirika yasiyo ya kiserikali, serikali ya kitaifa na serikali ya…