Latest News
Mawakili Marsabit wasusia mahakama kulalamikia ufisadi.
Na Nyabande Orwa Mawakili katika kaunti ya Marsabit leo wamesusia kufika mahakamani kuwatetea wateja wao…
Wakazi wa Kamboe walalamikia ukosefu wa mtandao wa mawasiliano
Na JB Nateleng Wakazi wa Kamboe, wadi ya Karare katika kaunti ya Marsabit, wameitaka serikali…
Naomi Waqo awawezesha vikundi vya North Horr kiuchumi
Na Nyabande Orwa Kama njia moja ya kuwawezesha wananchi kiuchumi, Mwakilishi wa wanawake wa kaunti ya…
Kanisa kuanzisha majukwaa ya kusikiliza sauti za vijana Afrika Mashariki
Na Silvio Nangori Baraza la Maaskofu wa kanisa katoliki afrika mashariki na ya kati AMECEA…
Kamishna Kamande aonya dhidi ya mashambulizi ya kulipiza kisasi kufuatia wizi wa mifugo Laisamis
Na Samuel Kosgei Idadi isiyojulikana ya mifugo imeibwa katika eneo la Gudas, Loglogo, eneo bunge…
Serikali kuanza ukarabati wa barabara ya Badassa–Dirib Gombo
Na Nyabande Orwa Serikali imeanza mchakato wa kukarabati barabara ya Badassa–Dirib Gombo, siku moja baada…
ASKOFU Odonya kuhusu matumizi ya Kidijitali ili kuwasilisha katekesi Na mafundisho ya kanisa Kwa vijana ”DIGITAL CATECHESIS ‘
Na Silvio Nangori Mwenyekiti wa Tume ya Vijana katika Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya (KCCB)…
Maaskofu washabikia kauli mbiu ya Kongamano la 21 la AMECEA 2026
Na Silvio Nangori Maaskofu wameishabikia kauli mbiu ya kongamano la 21 la AMECEA inayolenga kujenga…
Lori la ngano lapinduka eneo la KBC Marsabit, watu wawili wakiponea na majeraha madogo.
Na Nyabande Orwa Watu wawili wamejeruhiwa baada ya lori lililokuwa likisafirisha ngano kupinduka katika eneo…
KUPPET Marsabit yasema walimu wanaojihusisha kimapenzi na Wanafunzi kuchukuliwa hatua za kisheria
Na JB Nateleng Katibu Mkuu wa chama cha kutetea maslahi ya walimu wa shule za…
Askofu Mkuu Muhatia Apongeza Mchango wa AMECEA Katika Kuimarisha Utume wa Kanisa
Na Silvio Nangori Mwenyekiti wa Baraza la Maaskofu Katoliki Kenya (KCCB), Askofu Mkuu Maurice Muhatia…
Mwakilishi wa Baba Mtakatifu ahimiza kanisa kuendeleza maendeleo Jumuishi ya binadamu
Mjumbe maalum wa Baba Mtakatifu katika Kongamano la 21 la AMECEA, Mhashamu Kadinali Michael Czerny,…