Wadau waitaka idara ya Elimu ya Chekechea kufuata kanuni za ajira na kuwalinda walimu
NA JB Nateleng Idara ya Elimu ya Chekechea katika Kaunti ya Marsabit imehimizwa kuwalinda walimu walioajiriwa…
Jamii eneo la Loiyangalani kaunti ya Marsabit yatolewa hamasa ya kuwapeleka wanao shuleni
NA Silvio Nangori Jamii eneo la Loiyangalani kaunti ya Marsabit imetolewa hamasa ya kuwapeleka wanao…
Idara ya afya Marsabit yaahidi kukarabati chumba cha kina mama kujifungua katika zahanati ya Shurr
NA Nyabande Orwa Waziri wa afya katika kaunti ya Marsabit, Malicha Boru, ameahidi kuwa idara hiyo inashughulikia marekebisho…
Vijana waliopata Nyota Fund Marsabit wametakiwa kuchangamkia hatua ya kupewa leseni za biashara bure kwa mwaka mmoja
NA Samuel Kosgei VIJANA waliofaidi na mradi wa Nyota Fund katika Kaunti ya Marsabit wametakiwa…
Walimu wapya 84 waajiriwa na serikali ya jimbo ili kuinua viwango vya elimu ya ECDE
NA JB Nateleng Idara ya Elimu ya Chekechea katika Kaunti ya Marsabit imeajiri walimu 84,…
Wafanyabiashara wadogo Moyale kunufaika na mfumo mpya wa biashara bila ushuru.
NA Samuel Kosgei Itakuwa afueni kwa wafanyabiashara wadogo katika mji wa Moyale baada ya serikali…
Afueni kwa watu wanoishi na virusi vya UKIMWI Marsabit Central, serikali ya kaunti ikiwapa msaada wa chakula
NA JB Nateleng Ni afueni kwa watu wanaoishi na virusi vya UKIMWI katika kaunti ndogo…
Mwanaume mmoja afariki baada ya kufukiwa na mchanga katika machimbo ya Manyatta Daaba, Saku
NA Caroline Waforo. Mwanaume mmoja amefariki dunia baada ya kufukiwa na mchanga katika machimbo ya…
Maafisa wa Kliniki Marsabit kuendelea na mgomo wao.
NA Sabalua Moses Mgomo wa maafisa wa kliniki KUCO tawi la Marsabit unaendelea licha ya…
Viongozi wa kidini Marsabit wahimizwa kuunga mkono vita dhidi ya ukeketaji.
NA JB Nateleng Kama njia ya kuimarisha vita dhidi ya ukeketaji katika kaunti ya Marsabit,…
Usalama waimarishwa Isiolo, mifugo iliyoibiwa yarejeshwa kulingana na kamishna David Kiprop.
NA Nyabande Orwa Kamishna wa kaunti ya Isiolo, David Kiprop, amesema kuwa asasi za usalama…
Jamii ya Marsabit yatakiwa kukomesha dhulma dhidi ya watoto
NA JB Nateleng Jamii ya Marsabit imetakiwa kukomesha dhulma dhidi ya watoto kwani ni suala…