Latest News
Seneta Chute ataka maelezo kuhusu hati za ardhi Nyayo Road
Na Abdilaziz Yusuf Seneta wa Kaunti ya Marsabit, Mohamed Said Chute, ameishinikiza Wizara ya Ardhi…
Kamishna Stanley Kamande awaonya wakazi wa Dabel dhidi ya uchimbaji haramu wa dhahabu.
Na Nyabande Orwa Kamishna wa kaunti ya Marsabit, Stanley Kamande, amewaonya wakazi wa eneo la…
Gavana Mohamud Ali ataka ahadi za rais zitekelezwe.
Na Nyabande Orwa Gavana wa Marsabit, Mohamud Ali, ameihimiza serikali ya Rais William Samoei Ruto…
Mratibu wa lishe Marsabit aonya dhidi ya uuzaji wa vibadala vya maziwa ya mama.
Na JB Nateleng Kuuza, kutangaza au kutoa mchango wa vibadala vya maziwa ya mama bila…
Mwanaume apigwa faini ya shilingi 200,000 kwa kutishia kumuua babake, Marsabit Central
Na Mwandishi wetu Mahakama ya Marsabit imempiga faini ya shilingi 200,000 au kifungo cha miaka…
Wakazi wa Sarima walalamikia fursa za ajira katika mradi wa Lake Turkana Wind Power
Na Nyabande Orwa Wakazi wa eneo la Sarima, kaunti ndogo ya Loiyangalani, wameitaka kampuni ya…
Marsabit yafikia asilimia 72 ya unyonyeshaji wa maziwa ya mama pekee
Na JB Nateleng Asilimia 72 ya akina mama katika kaunti ya Marsabit wanawanyonyesha watoto wao…
Serikali yaanza uchunguzi wa ugonjwa unaoua ngamia Dukana.
Na Nyabande Orwa Idara ya mifugo katika eneo bunge la North Horr, kaunti ya Marsabit,…
Mwanaume ashtakiwa kwa kumpiga busu mwanamke mmoja bila idhini yake mjini Marsabit
Mwanaume mmoja ameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa tuhuma za kutishia kuua. Mshukiwa Galgallo Boru…
Wanafunzi wa dini ya Kiislamu katika shule za umma Marsabit waruhusiwa kuvalia vazi la hijabu
Na Caroline Waforo Baraza la Viongozi wa Kidini (Interfaith Council) tawi la Marsabit, limetia saini…
Viongozi wa kisiasa nchini watakiwa kujiepusha na matamshi ya uchochezi
Na Caroline Waforo Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Marsabit na kote nchini wametakiwa kujiepusha…
Serikali yahimiza vijana wa Marsabit kujifunza ujuzi wa kujitegemea
Na Nyabande Orwa Mkurugenzi wa masuala ya vijana kutoka serikali Kuu, Joseph Maina, amewahimiza vijana wa…