KUPPET yatishia mgomo kuhusu bima ya SHA
Na JB Nateleng Muungano wa walimu wa shule za upili na vyuo vya kiufundi nchini,…
Marsabit yaandikisha asilimia 50 tu ya vitambulisho awamu ya kwanza
Na Nyabande Orwa Kaunti ya Marsabit imefanikiwa kuandikisha asilimia 50 ya watu waliolengwa kupata vitambulisho…
Bunge la watoto lazinduliwa Marsabit kuimarisha ushiriki wa Watoto.
Na JB Nateleng Bunge la watoto nchini Kenya (KCA) tawi la Marsabit limezinduliwa rasmi leo,…
Wakazi wa Huri Hills walalamikia uuzaji wa chakula cha msaada na dhuluma za chifu
NA Nyabande Orwa Wakazi wa eneo la Huri Hills katika kaunti ndogo ya Maikona, kaunti…
Watu wenye ulemavu Marsabit wanufaika na vifaa vya kujikimu
NA Nyabande Orwa Serikali kuu kupitia hazina ya watu wanaoishi na ulemavu imetoa vifaa vya…
Mwanaume mmoja afungwa maisha gerezani kwa kumnajisi msichana wa miaka 8, Songa
Mahakama ya Marsabit imemhukumu kifungo cha maisha gerezani mwanaume mmoja kwa kosa la kumnajisi msichana mwenye umri…
Walimu 50 wa shule za upili Marsabit wapokea mafunzo kuhusu matumizi ya akili bandia (AI)
Na JB Nateleng Walimu 50 wa shule za upili katika kaunti ya Marsabit wamepokea mafunzo…
Baadhi ya maeneo kaunti ya Marsabit kuendelea kupokea mvua katika kipindi cha siku saba zijazo
Na Sabalua Moses Utabiri wa hali ya hewa kaunti ya Marsabit katika siku 7 zijazo…
Mgogoro wa maafisa wa kliniki Marsabit waendelea, huduma za afya zikikwama.
Na Nyabande Orwa Mvutano kati ya maafisa wa kliniki na serikali ya kaunti ya Marsabit…
Wakaazi mjini Marsabit wakashifu kuenea kwa magenge ya kisiasa nchini
Na Sabalua Moses Baadhi ya wakaazi mjini Marsabit wamekashifu kuendelea kuibuka kwa magenge ya kisiasa…
Kina mama Laisamis waongoza mapambano dhidi ya mila potofu.
NA Nyabande Orwa Huku baadhi ya mila na tamaduni zikiendelea kushikiliwa katika eneo bunge la…
Ngamia walioibwa Wajir Magharibi warejeshwa baada ya kupatikana Laisamis.
NA Nyabande Orwa Maafisa wa usalama katika eneo bunge la Laisamis wamefanikiwa kurejesha ngamia sita…