Latest News
Serikali yahimiza vijana wa Marsabit kujifunza ujuzi wa kujitegemea
Na Nyabande Orwa Mkurugenzi wa masuala ya vijana kutoka serikali Kuu, Joseph Maina, amewahimiza vijana wa…
Wafugaji Dukana walilia serikali kusaidia kukabili ugonjwa wa mifugo
Wafugaji katika eneo la Dukana, kaunti ya Marsabit, wameitaka serikali ya kaunti na ile ya…
Parokia ya Kalacha kuandaa warsha ya siku nne ya vijana.
Na JB Nateleng Parokia ya Kristo Maddo Jirrena Kalacha katika Dayosisi ya Marsabit itaandaa warsha…
Wawili wafariki katika ajali ya barabarani karibu na dampsite, Marsabit
Na Nyabande Orwa Watu wawili wameaga dunia na wengine 4 kujeruhiwa kutokana na ajali ya…
Wahudumu wa matatu wapinga NTSA kudhibiti nauli
Na Abdilaziz Yusuf Wahudumu wa magari ya uchukuzi wa umma mjini Marsabit wamepinga pendekezo la mswada unaolenga…
Madereva walalamikia ubovu wa barabara ya Marsabit–Loiyangalani.
Na JB Nateleng Madereva wanaotoa huduma za usafiri wa abiria kati ya Marsabit na Loiyangalani…
Hospitali ya Rufaa ya Marsabit yakana kuwepo kwa mgomo wa wahudumu wa afya
Na Samuel Kosgei Afisa Msimamizi wa Hospitali Kuu ya Rufaa ya Marsabit, Kusu Abduba, amewataka…
Seneta Chute aishinikiza kaunti kukamilisha kituo cha afya cha Uran
Na Abdilaziz Yusuf Seneta wa Marsabit, Mohamed Said Chute, ameishinikiza serikali ya kaunti ya Marsabit…
Wafugaji Marsabit wahimizwa kujiunga na vyama vya ushirika kuongeza faida.
Na Nyabande Orwa Mkurugenzi mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la Centre for Research and Development…
Wafugaji Marsabit wakumbatia mbinu mpya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
ORWA 7PM. Kama njia mojawapo ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika kaunti…
Wanasiasa Marsabit waonywa dhidi ya matamshi ya uchochezi.
Na Nyabande Orwa Huku shughuli za kisiasa zikizidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka…
Viongozi kutoka eneo la Laisamis wamewataka wakaazi kuwa na subira huku serikali ikiendelea na operesheni ya kufuatilia na kurejesha mifugo iliyoibwa eneo la Gudas.
Na Sabalua Moses Viongozi kutoka eneo la Laisamis wamewataka wakaazi kuwa na subira huku serikali…