Latest News
Viongozi kutoka eneo la Laisamis wamewataka wakaazi kuwa na subira huku serikali ikiendelea na operesheni ya kufuatilia na kurejesha mifugo iliyoibwa eneo la Gudas.
Na Sabalua Moses Viongozi kutoka eneo la Laisamis wamewataka wakaazi kuwa na subira huku serikali…
Maeneo mengi ya Marsabit kubaki makavu, Maikona na maeneo ya mpakani yakitarajiwa kupata mvua nyepesi
Na Samuel Kosgei Kaunti ya Marsabit inatarajiwa kushuhudia hali ya hewa ya ukavu katika maeneo…
Bunge la kaunti latakiwa kuongeza mgao wa fedha kwa ufugaji.
Mwakilishi wadi mteule katika bunge la kaunti ya Marsabit ambaye pia ni mwenyekiti wa viongozi wa kina…
Ushirikiano wa serikali ya kaunti na wadau wakuza elimu na ujuzi.
Na Joyce Akinyi Ushirikiano kati ya serikali ya kaunti ya Marsabit na mashirika yasiyo ya…
Mama aliyejifungua watoto watano Marsabit aendelea kuimarika kiafya na watoto wake.
Na JB Nateleng Mama aliyejifungua watoto watano katika Hospitali ya Rufaa ya Marsabit anaendelea kuimarika…
Gavana Mohamud Ali azindua madarasa na gari la mafunzo katika chuo cha Saku VTC.
Na JB Nateleng. Gavana wa kaunti ya Marsabit, Mohamud Ali, amezindua madarasa matatu mapya pamoja…
Madiwani waliohudumu miaka ya 1963-2013 Marsabit waitaka serikali kuwalipa pensheni
Na JB Nateleng Madiwani wa zamani waliohudumu katika kaunti ya Marsabit kati ya mwaka 1963…
Polisi warejesha mifugo 204 iliyoibiwa Gudas huku ngamia saba walioibiwa Shurr wakipatikana.
Na Samuel Kosgei Idara ya usalama katika Kaunti ya Marsabit imesema imefanikiwa kurejesha mbuzi 204…
Mama ajifungua watoto watano Marsabit.
Na JB Nateleng Mama mwenye umri wa miaka 20 kutoka eneo la Olturot, Loiyangalani, amejifungua…
Eneo la  Dabel,Marsabit laathirika zaidi na visa vya ugonjwa wa Surua.
Na Joyce Akinyi Kamati ya uratibu wa majanga (CSG) katika kaunti ya Marsabit imesema visa…
Mahakama ya Marsabit yatoa dhamana kwa mshukiwa wa vitisho vya kisu
Na Mwandishi wetu Mahakama ya Marsabit leo imemwachilia kwa dhamana ya pesa taslimu ya shilingi elfu 50…
Wataalam wa elimu Marsabit waunga mkono  wito wa rais kufadhili elimu ya juu.
Na Sabalua Moses Siku chache baada ya rais William Ruto kutoa mapendekezo ya serikali kushughulikia…