Wakaazi Marsabit wahimizwa kutunza misitu
Na JB Nateleng Wito wa kutunza misitu na mazingira umetawala kwenye maadhimisho ya Siku ya…
Serikali yatoa shilingi milioni 24.3 kufidia waathiriwa wa migogoro kati ya binadamu na wanyamapori Marsabit
Na JB Nateleng Serikali kupitia Idara ya Huduma za Wanyamapori nchini, (KWS), imetoa jumla ya…
Caritas na serikali ya marsabit wahimiza ujumuishwaji wa watu wanaoishi na ulemavu
Na Joy Akinyi & Sabalua Moses Shirika lisilo la kiserikali la CARITAS kwa ushirikiano na…
Serikali na wadau mbalimbali watakiwa kufanya mazungumzo ya kina kuhusu changamoto zinazoikabili elimu na vijana
Na JB Nateleng Askofu wa Jimbo Katoliki la Marsabit, Mhashamu Peter Kihara, ametoa wito kwa…
Mwalimu akamatwa kwa tuhuma za kumnajisi na kumpachika mimba mwanafunzi wake wa gredi saba, Kargi
Na Caroline Waforo Mwalimu mmoja wa shule ya msingi ya Mission of Hope International iliyoko…
Kesi ya uchafuzi wa mazingira Kargi na Maikona yapangiwa kutajwa Juni 11.
Na Samuel Kosgei Mahakama ya Mazingira na Ardhi mjini Isiolo imeipa jamii ya maeneo ya Kargi na…
Nauli za mabasi Moyale–Nairobi zapanda huku abiria wakilalamika
Na Samuel Kosgei Wawakilishi wa wafanyabiashara pamoja na washikadau wa sekta ya usafiri wa umma…
Viongozi wa marsabit watakiwa kuzungumzia mijadala ya kitaifa badala ya kukimya huku wakaazi wakiathirika.
Na Samuel Kosgei Viongozi wa Marsabit wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuzungumzia masuala ya kitaifa…
Mtoto wa siku moja aliyetupwa aokotwa viungani mwa mji wa Marsabit.
Na Abdilaziz Yusuf Mtoto mchanga wa siku moja amepatikana aliyetupwa na mamake ameokolewa katika eneo…
Watu watatu wapigwa risasi mguu wa kushoto kila mmoja katika jaribio la wizi, Merille
Na Caroline Waforo. Maafisa wa polisi katika kaunti ya Marsabit wanachunguza tukio na ambapo watu…
Jamii yalaumiwa kwa kutelekeza jukumu la kulinda haki za watoto wa kike, Marsabit
Na JB Nateleng Jamii katika kaunti ya Marsabit imelaumiwa kwa kushindwa kuwalinda watoto wa kike…
Wanaharakati wataka polisi wachukuliwe hatua kwa kudaiwa kumshambulia kijana mmoja mjini Marsabit
Na Samuel Kosgei Wanaharakati wa haki za binadamu kaunti ya Marsabit wanazitaka idara za usalama…