Naibu chifu wa Nyayo Road kata ya Nagayo ashtakiwa kwa kosa la kutumia lugha ya matusi hadharani
Na Mwandishi wetu Naibu Chifu wa Nyayo Road kata ya Nagayo Fatuma Nane Shege ameshtakiwa…
Kaunti ya Marsabit yatumia milioni 89.55 kwenye safari za ndani na nje katika nusu ya kwanza ya mwaka wa kifedha 2025-2026
Kaunti ya Marsabit imetumia shilingi milioni 73.65 katika safari za ndani katika nusu ya kwanza…
Tahadhari ya magonjwa yatolewa msimu huu wa mvua
Na Caroline Waforo Huku mvua zikiendelea kushuhudiwa katika kaunti ya Marsabit wakaazi wamehimizwa kuchukua tahadhari…
Visa vya ugonjwa wa kifua kikuu (TB) vyatajwa kupungua Marsabit.
Na JB Nateleng Huku dunia ikiadhimisha siku ya ugonjwa wa kifua kikuu (TB) leo Jumanne,…
Jumbe za amani na umoja zatolewa kuelekea Sherehe za Idd-Ul-Fitr.
Na JB Nateleng Huku waumini wa dini ya Kiislamu wakitarajiwa kusherehekea sikukuu ya Idd-Ul-Fitr hapo…
Sheikh aonya dhidi ya pombe na mihadarati wakati wa Eid
Na JB Nateleng Wito umetolewa kwa vijana kuwa makini wanapojiandaa kusherehekea sikukuu ya Eid al-Fitr…
Wafugaji na wakulima waombwa kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi Marsabit
Na Sabalua Moses Wafugaji na wakulima katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kukumbatia mabadiliko ya tabia…
Usalama waimarishwa Marsabit Central kuelekea sherehe ya Idd-Ul-Fitr kesho Ijumaa
Na Caroline Waforo Idara ya usalama katika kaunti ndogo ya Marsabit Central imewahakikishia wakaazi usalama wa kutosha…
Zaidi ya watu 134,000 wahitaji msaada wa dharura wa chakula Marsabit
Na JB Nateleng Licha ya Kaunti ya Marsabit kupokea mvua mwishoni mwa mwezi wa pili…
Mvutano wa kisiasa kati ya rais Ruto na Gachagua wazua Hisia Marsabit
Na Nyabande Orwa Huku siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2027 zikizidi kushika kasi…
Mfugaji mmoja auawa kwa kupigwa risasi Hawaye, Marsabit
Na Caroline Waforo Mfugaji mmoja ameuawa kwa kupigwa risasi katika eneo la Hawaye lokesheni ya…
Vijana Marsabit wahimizwa kusambaza semi za amani mitandaoni na kuasi semi za chuki
Na Sabalua Moses Viongozi wa kidini katika kaunti ya Marsabit wamewataka vijana kuepuka kutumiwa vibaya…