Shirika la PACIDA latoa wito wa maendeleo endelevu na kujitegemea
Na Caroline Waforo Kuna haja ya kuanzishwa kwa mifumo endelevu ya maendeleo ili kupunguza utegemezi…
Watoto wa Afrika wataka hatua zaidi kukabiliana na changamoto zao.
Na Nyabande Orwa Serikali kuu kwa ushirikiano na washikadau mbalimbali inaweka mikakati ya kuboresha maisha…
Wadau wasisitiza usawa katika malezi na maendeleo ya watoto.
Na Sabalua Moses Afisa mkuu wa programu kutoka shirika la Compassion, Ronaldo Fandia, amesema watoto…
Wito watolewa kuboresha mazingira ya elimu kwa wanafunzi, Marsabit
Na JB Nateleng Wito umetolewa kwa serikali ya kitaifa, serikali ya kaunti ya Marsabit na…
Ukeketaji, ndoa za utotoni na mimba za mapema bado tishio kwa watoto Marsabit, asema kamishna.
Na Samuel Kosgei KAMISHNA wa Kaunti ya Marsabit, Stanley Kamande, amezitaka jamii za eneo hili…
Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani Marsabit
Mtu mmoja amefariki dunia baada ya kuhusika katika ajali ya barabarani kwenye barabara kuu ya…
Miti milioni 30 kupandwa Badhauri kukuza uhifadhi wa mazingira
Msimamizi mkuu wa misitu katika kaunti ya Marsabit, Kenneth Muthuri, amesema idara yake kwa ushirikiano…
Wazazi Marsabit wahimizwa kuimarisha malezi ili kukabiliana na utovu wa nidhamu shuleni
Na Sabalua Moses Huku wimbi la vurugu likiendelea kushuhudiwa katika shule mbalimbali nchini, wazazi katika kaunti…
EACC yamtia mbaroni afisa wa jiji la Nairobi
Na JB Nateleng Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imemkamata Afisa Mkuu wa…
Viongozi wa upinzani wakosoa mpango wa kituo cha karantini ya ebola Nanyuki
Na JB Nateleng Viongozi wa upinzani, akiwemo Fred Matiang'i na Peter Munya, wameendelea kuikosoa serikali…
Wanasiasa Marsabit watakiwa kuendesha siasa za amani kuelekea uchaguzi mkuu wa 2027
Na Caroline Waforo Wanasiasa wanaowania nyadhifa mbalimbali za uongozi katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2027…
Wakazi wa Saku walalamikia uhaba wa maji
Na JB Nateleng Wakazi wa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wameitaka kampuni ya…