Vijana mjini Marsabit washiriki maandamano kulalamikia unyakuzi wa ardhi inayozozaniwa mpakani mwa Marsabit na Wajir.
Na JB Nateleng Vijana mjini Marsabit wameshiriki maandamano leo alhamisi kulalamikia kile wanadai ni unyakuzi…
Wakazi wa Marsabit walalamikia kutotekelezwa kwa miradi wanayopendekeza katika mikutano ya kutoa maoni kuhusu bajeti.
Na Samuel Kosgei Wakazi wa kaunti ya Marsabit leo Alhamisi waliwasilisha mapendekezo yao ya miradi…
Mwanafunzi wa miaka 14 afariki wakati wa maandamano mjini Moyale
Na Caroline Waforo Mwanafunzi wa miaka 14 amefariki dunia baada ya kupigwa risasi tumboni, huku…
Kituo cha uokozi wa waathiriwa wa gbv kujengwa hospitali ya Rufaa ya Isiolo.
Na Samuel Kosgei Mamlaka ya kusimamia barabara kuu nchini KENHA kupitia mradi wa Horn of Africa…
Wazee wa jamii ya Borana, Moyale wataka kuachiliwa kwa wazee wawili wanaozuiliwa
Na Mwandishi wetu Wazee wa jamii ya Borana kutoka eneo-bunge la Moyale kaunti ya Marsabit…
Marsabit kutawaliwa na ukavu huku mvua  zikitarajiwa kunyesha maeneo ya mpakani – Idara ya hali ya hewa MBT.
Na Samuel Kosgei IDARA ya Hali ya Hewa Kaunti ya Marsabit imetoa utabiri wa hali…
Wauguzi Marsabit waadhimisha Wiki ya Wauguzi Duniani
Na Joy Akinyi & JB Nateleng Wauguzi katika Hospitali ya Rufaa na Mafunzo ya Marsabit…
Wazee waliokamatwa Marsabit kuzuiliwa kwa siku 10, wadaiwa kushirikiana na Oromo Liberation Army
Na Mwandishi Wetu Wazee wawili waliokamatwa siku ya Jumamosi katika kaunti ya Marsabit watazuiliwa kwa…
Wakazi Marsabit wahimizwa kupinga dhulma dhidi ya wanawake
Na Joy Akinyi & JB Nateleng Wakazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kuachana na vitendo…
Wazee wa amani Marsabit wataka serikali kusuluhisha mzozo wa mpaka wa Wajir na Moyale kwa haraka.
Na Samuel Kosgei Kamati ya Wazee wa Amani kaunti ya Marsabit imeitaka serikali ya kitaifa…
RUSA yakashifu wizi wa mifugo Kambinye
Na Sabalua Moses Muungano wa wanafunzi wa vyuo vikuu kutoka jamii ya Rendille chini ya…
Shule 27 Marsabit zakumbatia teknolojia dijitali.
Na JB Nateleng Shule 27 katika kaunti ya Marsabit zimeanza kutumia teknolojia ya kidijitali katika…