Marsabit yasalia tulivu wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Gen-Z
Na Abdiaziz Yusuf Huku maandamano ya kumbukumbu ya vijana wa Gen-Z yakishuhudiwa katika maeneo mbalimbali…
Walimu 459 kutoka shule za JSS wapata mafunzo ya kidijitali kaunti ya Marsabit
Na Sabalua Moses Zaidi ya walimu 459 kutoka shule za sekondari msingi JSS wanaendelea kupokea…
Serekali ya kaunti ya Marsabit kujipanga Kukabiliana na Mvua za El Niño.
Serikali ya Kaunti ya Marsabit imeanza maandalizi ya mapema kwa ajili ya kukabiliana na mvua…
Wakazi Marsabit watakiwa kujitayarisha kwa Mvua za El Niño Mwishoni mwa 2026
Na JB Nateleng Wakazi wa Kaunti ya Marsabit wamehimizwa kujitayarisha mapema kwa uwezekano wa mvua…
Washikadau wataka hatua kali kukomesha dhuluma dhidi ya mtoto wa kike Marsabit
Na Nyabande Orwa Licha ya kuwepo kwa sheria zinazoharamisha mila na desturi zilizopitwa na wakati…
Zoezi la usajili wa watu wanaoishi na ulemavu lafanyika Marsabit Central
Na Joyce Akinyi & JB Nateleng Zoezi la usajili wa watu wanaoishi na ulemavu limefanyika…
Wakazi Marsabit waeleza wasiwasi wao kufuatia maapendekezo ya karo ya shule za sekondari iongezwe.
Wakazi wa kaunti ya Marsabit wameeleza wasiwasi wao kufuatia mapendekezo ya walimu wakuu nchini ya…
Washukiwa watatu wakamatwa na vipande sita vya meno ya tembo Laikipia.
Na Nyabande Orwa Washukiwa watatu wamekamatwa katika kaunti ya Laikipia baada ya kupatikana wakimiliki vipande…
Wanafunzi waanza mapumziko ya siku tano nchini
Na Nyabande Orwa Wanafunzi kote nchini wameanza mapumziko ya katikati ya muhula wa pili leo…
Rais Ruto atia saini sheria ya fedha 2026, akisema hakuna ushuru mpya
Na Nyabande Orwa Rais William Ruto amesema kuwa Sheria ya Fedha ya mwaka 2026 haijaweka…
Sehemu kubwa ya Marsabit kutarajiwa kusalia kavu wiki hii
Sehemu kubwa ya Kaunti ya Marsabit zinatarajiwa kuendelea kushuhudia hali ya ukavu katika kipindi cha…
Vijana Marsabit watakiwa kufahamu hali yao ya virusi vya ukimwi.
Na Sabalua Moses Wito umetolewa kwa vijana katika Kaunti ya Marsabit kujitokeza kupima na kujua…