Wakaazi Marsabit watakiwa kuzingatia usafi wa mazingira
NA JB Nateleng Wakaazi wa mji wa Marsabit wametakiwa kuzingatia usafi wa mazingira kwa kuhakikisha…
Viwango vya matumizi ya dawa za kulevya vimeripotiwa kuwa juu, Marsabit
NA Caroline Waforo Viwango vya matumizi ya dawa za kulevya katika kaunti ya Marsabit vimeripotiwa…
Gachagua Amshutumu Ruto kwa Kutotekeleza Ahadi Marsabit na ukanda wa kaskazini.
NA Samuel Kosgei KIONGOZI wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, amezidisha mashambulizi dhidi ya Rais…
Wachimba migodi waonywa dhidi ya uchimbaji haramu wa dhahabu katika machimbo ya Dabel
NA Caroline Waforo Wachimba migodi wanaoendelea na shughuli za kusaka dhahabu kwa njia haramu katika…
Siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji waadhimishwa Loglogo
NA Silvio Nangori Jamii ya loglogo katika kaunti ya marsabit leo imeungana na ulimwengu kuadhimisha…
Asilimia 97 ya wanafunzi wamejiunga na gredi ya 10, Marsabit
NA Caroline Waforo Asilimia 97 ya wanafunzi wa gredi ya 10 katika kaunti ya Marsabit…
Pendekezo la chemical castration lazua mjadala mkali Marsabit
NA Nyabande Orwa Siku chache baada ya ripoti ya jopo kazi la kuangazia ukatili wa kijinsia…
Saratani ya umio yawaathiri wengi Marsabit.
NA Sabalua Moses Saratani ya umio ni miongoni mwa saratani zinazoongoza katika kaunti ya Marsabit.…
Viongozi wa Marsabit wametakiwa kuwapa wananchi misaada mbali mbali wakati huu wa kiangazi.
NA JB Nateleng Wakazi wa Hurri hills wanakila sababu ya kutabasamu baada ya kupokea malori…
Asilimia 13.5 ya Marsabit yaathirika na utapiamlo
Kaunti ndogo za Laisamis, North Horr, Moyale na Saku ndizo zilizoathirika zaidi na tatizo la…
Wahamiaji 6 raia wa Ethiopia washtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kuwa nchini kinyume cha Sheria
Wahamiaji 6 raia wa Ethiopia wameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kuwa nchini Kenya kinyume na…
Ushirikiano wa Wananchi Watakiwa Kukomesha Wizi wa Mifugo Laisamis.
Na Samuel Kosgei Wakazi wa kaunti ndogo ya Laisamis wametakiwa kushirikiana na maafisa wa polisi…