Wakazi Marsabit watoa hisia mseto kuhusu mswada wa Ajira
Na Abdiaziz Yusuf Siku chache baada ya seneta wa kaunti ya marsabit Mohamed Chute kuwasilisha…
Utafiti waonyesha kwamba asilimia kubwa ya Wakenya wanaimani na utendaji wa wanahabari.
Na JB Nateleng Utafiti uliofanyika umebaini kuwa asilimia 79 ya Wakenya wana imani na utendaji…
Kesi Dhidi ya kampuni ya BP inayodaiwa kufanya Uchafuzi wa Mazingira Kargi na Kalacha kuanza kutajwa Mahakamani Isiolo siku ya Jumatano
Mahakama ya Mazingira na Ardhi imeamua kuwa kesi ya pamoja dhidi ya kampuni ya mafuta…
Wazazi Marsabit wahimizwa kurejesha watoto shuleni kwa muhula wa pili ulioanza wiki iliyopita
Na JB Nateleng Wazazi katika jamii za wafugaji, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanawarejesha watoto wao shuleni…
Polisi Marsabit Central wanachunguza kisa cha wizi wa boda boda, Majengo
Na Caroline Waforo Polisi katika kaunti ndogo ya Marsabit Central wanachunguza kisa cha wizi wa…
Wakaazi wa Karare watakiwa kuchukua tahadhari msimu huu wa mvua
Na Sabalua Moses Wakaazi wa eneo la Karare wametakiwa kuwa waangalifu kufuatia mvua kubwa inayoendelea…
Seneta wa Marsabit aitaka serikali kuwahamisha IDPs na kushughulikia mzozo wa wakimbizi
Na Samuel Kosgei Seneta wa Marsabit Mohamed Chute ameihimiza serikali kuu kuingilia kati haraka mzozo…
Wakaazi wa Manyatta Otte walalamika ubovu wa barabara
Na JB Nateleng Wakaazi wa Manyatta Otte, eneo bunge la Saku, kaunti ya Marsabit, wamelalamikia…
Kaunti ya Marsabit yatarajiwa kushuhudia viwango tofauti vya mvua
Na Samuel Kosgei Kaunti ya Marsabit inatarajiwa kushuhudia viwango tofauti vya mvua kuanzia leo Aprili…
Jamii ya El-Molo yapokea mashua tatu kuboresha usafiri
Na JB Nateleng Usafiri katika vijiji vya Layeni na Komote katika wadi ya Loiyangalani kaunti…
Mshukiwa wa uhalifu aliyekamatwa jana Jumanne kuzuiliwa siku 14 kwa uchunguzi zaidi
Mshukiwa wa uhalifu wa wizi wa mifugo aliyekamatwa hapo jana Jumatatu katika kaunti ndogo ya…
Radi yaua ngamia wanne Dukana kufuatia ya mvua kubwa
Na JB Nateleng Ngamia wanne wamefariki baada ya kupigwa na radi katika kaunti Ndogo ya…