Rais Ruto ahakikishia taifa uchaguzi wa haki na salama mwaka ujao.
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto amejitosa katika mjadala unaoendelea kuhusu iwapo atahudumu kwa muhula mmoja au…
Wakaazi wa Toricha, North Horr walalamikia uhaba wa maji na huduma duni za afya.
Na JB Nateleng Wakazi wa eneo la Toricha katika wadi ya Maikona, eneo bunge la…
Wadau wa elimu waitaka serikali hamasisha wazazi kuhusu umuhimu wa elimu, Korr
Na JB Nateleng Wadau wa elimu katika eneo la Manyatta Lengima lililoko wadi ya Korr,…
Papa Leo XIV amteua Padri John Mbua Mwandi kuwa Askofu msaidizi wa Jimbo Katoliki la Kitui
Waamini wa Kanisa Katoliki nchini Kenya wamepokea kwa furaha uteuzi wa Padri John Mbua Mwandi kuwa Askofu msaidizi wa…
Usalama waimarishwa Marsabit kuelekea sikukuu ya Eid-Al-Adha
Idara ya usalama katika kaunti ya Marsabit imewahakikishia wakaazi usalama wa kutosha wakati wa sherehe za…
Serikali yaondoa rasmi kesi ya ugaidi dhidi ya wazee wawili wa jamii wa Borana
Serikali imeondoa rasmi kesi inayofungamana na ugaidi dhidi ya aliyekuwa chifu wa Sololo Dabasso Dambi…
TSCÂ Warns Against Teacher Preference for Urban Schools in Marsabit
By Samuel Kosgei The Director of the Teachers Service Commission (TSC) in Marsabit County, Ali…
Mahakama yaungwa mkono kwa uamuzi wa mahusiano ya matineja kwa maelewano
Maamuzi ya Mahakama Kuu kwamba si kosa kwa matineja kufanya mapenzi mradi kuwe na maelewano…
Mwalimu afikishwa mahakamani kwa tuhuma za kumnajisi mwanafunzi Kargi.
Na Mwandishi wetu Mwalimu aliyekamatwa wiki jana kwa tuhuma za kumnajisi mwanafunzi wa miaka 14…
Wakaazi Marsabit wahimizwa kutunza misitu
Na JB Nateleng Wito wa kutunza misitu na mazingira umetawala kwenye maadhimisho ya Siku ya…
Serikali yatoa shilingi milioni 24.3 kufidia waathiriwa wa migogoro kati ya binadamu na wanyamapori Marsabit
Na JB Nateleng Serikali kupitia Idara ya Huduma za Wanyamapori nchini, (KWS), imetoa jumla ya…
Caritas na serikali ya marsabit wahimiza ujumuishwaji wa watu wanaoishi na ulemavu
Na Joy Akinyi & Sabalua Moses Shirika lisilo la kiserikali la CARITAS kwa ushirikiano na…