Marsabit yakuwa mwenyeji wa warsha ya marekebisho ya sheria za madini
Na Sabalua Moses Wizara ya madini na uchumi wa bahari imeandaa warsha ya kuhamasisha umma…
Sampuli za maji zachukuliwa kufuatia vifo vya ng’ombe Korr
Na Abdiaziz Yusuf Wasiwasi umetanda katika eneo la Korr, kaunti ndogo ya Ngurnet, kaunti ya…
NCCK yatoa wito wa kuimarishwa kwa usalama Marsabit.
Na Nyabande Orwa Mwenyekiti wa NCCK tawi la Marsabit, mchungaji Lole Said, ametoa wito kwa…
Polisi wa Marsabit Central wanasa mafuta ya kupikia yanayoshukiwa kuingizwa nchini kinyume cha sheria.
Na Nyabande Orwa Polisi wa Marsabit Central wamenasa mitungi 180 ya mafuta ya kupikia yaliyokuwa…
Hospitali ya uzazi yazinduliwa Lontolio Kuboresha Huduma ya afya kwa Akina Mama
Wakazi wa eneo la Lontolio katika Eneo Bunge la Laisamis sasa wanatarajia kupata huduma bora…
Wakazi wa Golole wanufaika na ujenzi wa mnara wa mawasiliano
Na Nyabande Orwa Wakazi wa eneo la Golole wadi ya Uran wanakilasababu ya kutabasamu baada…
Serikali yaanza zoezi la kubaini jamii ndogo na zilizotengwa nchini.
Na Samuel Kosgei Serikali, kupitia Ofisi ya Rais, imeanzisha zoezi la kubaini jamii zinazotambuliwa kuwa…
Marsabit yasalia tulivu wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Gen-Z
Na Abdiaziz Yusuf Huku maandamano ya kumbukumbu ya vijana wa Gen-Z yakishuhudiwa katika maeneo mbalimbali…
Walimu 459 kutoka shule za JSS wapata mafunzo ya kidijitali kaunti ya Marsabit
Na Sabalua Moses Zaidi ya walimu 459 kutoka shule za sekondari msingi JSS wanaendelea kupokea…
Serekali ya kaunti ya Marsabit kujipanga Kukabiliana na Mvua za El Niño.
Serikali ya Kaunti ya Marsabit imeanza maandalizi ya mapema kwa ajili ya kukabiliana na mvua…
Wakazi Marsabit watakiwa kujitayarisha kwa Mvua za El Niño Mwishoni mwa 2026
Na JB Nateleng Wakazi wa Kaunti ya Marsabit wamehimizwa kujitayarisha mapema kwa uwezekano wa mvua…
Washikadau wataka hatua kali kukomesha dhuluma dhidi ya mtoto wa kike Marsabit
Na Nyabande Orwa Licha ya kuwepo kwa sheria zinazoharamisha mila na desturi zilizopitwa na wakati…