Bunge la watoto lazinduliwa Marsabit kuimarisha ushiriki wa Watoto.
Na JB Nateleng Bunge la watoto nchini Kenya (KCA) tawi la Marsabit limezinduliwa rasmi leo,…
Wakazi wa Huri Hills walalamikia uuzaji wa chakula cha msaada na dhuluma za chifu
NA Nyabande Orwa Wakazi wa eneo la Huri Hills katika kaunti ndogo ya Maikona, kaunti…
Watu wenye ulemavu Marsabit wanufaika na vifaa vya kujikimu
NA Nyabande Orwa Serikali kuu kupitia hazina ya watu wanaoishi na ulemavu imetoa vifaa vya…
Mwanaume mmoja afungwa maisha gerezani kwa kumnajisi msichana wa miaka 8, Songa
Mahakama ya Marsabit imemhukumu kifungo cha maisha gerezani mwanaume mmoja kwa kosa la kumnajisi msichana mwenye umri…
Walimu 50 wa shule za upili Marsabit wapokea mafunzo kuhusu matumizi ya akili bandia (AI)
Na JB Nateleng Walimu 50 wa shule za upili katika kaunti ya Marsabit wamepokea mafunzo…
Baadhi ya maeneo kaunti ya Marsabit kuendelea kupokea mvua katika kipindi cha siku saba zijazo
Na Sabalua Moses Utabiri wa hali ya hewa kaunti ya Marsabit katika siku 7 zijazo…
Mgogoro wa maafisa wa kliniki Marsabit waendelea, huduma za afya zikikwama.
Na Nyabande Orwa Mvutano kati ya maafisa wa kliniki na serikali ya kaunti ya Marsabit…
Wakaazi mjini Marsabit wakashifu kuenea kwa magenge ya kisiasa nchini
Na Sabalua Moses Baadhi ya wakaazi mjini Marsabit wamekashifu kuendelea kuibuka kwa magenge ya kisiasa…
Kina mama Laisamis waongoza mapambano dhidi ya mila potofu.
NA Nyabande Orwa Huku baadhi ya mila na tamaduni zikiendelea kushikiliwa katika eneo bunge la…
Ngamia walioibwa Wajir Magharibi warejeshwa baada ya kupatikana Laisamis.
NA Nyabande Orwa Maafisa wa usalama katika eneo bunge la Laisamis wamefanikiwa kurejesha ngamia sita…
Wachezaji 4,950 wasajiliwa kwenye FIFA Connect kuinua kiwango cha soka Marsabit.
NA JB Nateleng Jumla ya wachezaji 4,950 kutoka Kaunti ya Marsabit wamesajiliwa katika mfumo wa…
Wanaume wawili wanaswa na bangi ya thamani ya shilingi 70,000 Marsabit Central
Wanaume wawili wamekamatwa wakiwa na bangi yenye thamani ya shilingi 70,000 katika eneo la Manyatta…