Siku ya kimataifa ya kutokomeza ukeketaji waadhimishwa Loglogo
NA Silvio Nangori Jamii ya loglogo katika kaunti ya marsabit leo imeungana na ulimwengu kuadhimisha…
Asilimia 97 ya wanafunzi wamejiunga na gredi ya 10, Marsabit
NA Caroline Waforo Asilimia 97 ya wanafunzi wa gredi ya 10 katika kaunti ya Marsabit…
Pendekezo la chemical castration lazua mjadala mkali Marsabit
NA Nyabande Orwa Siku chache baada ya ripoti ya jopo kazi la kuangazia ukatili wa kijinsia…
Saratani ya umio yawaathiri wengi Marsabit.
NA Sabalua Moses Saratani ya umio ni miongoni mwa saratani zinazoongoza katika kaunti ya Marsabit.…
Viongozi wa Marsabit wametakiwa kuwapa wananchi misaada mbali mbali wakati huu wa kiangazi.
NA JB Nateleng Wakazi wa Hurri hills wanakila sababu ya kutabasamu baada ya kupokea malori…
Asilimia 13.5 ya Marsabit yaathirika na utapiamlo
Kaunti ndogo za Laisamis, North Horr, Moyale na Saku ndizo zilizoathirika zaidi na tatizo la…
Wahamiaji 6 raia wa Ethiopia washtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kuwa nchini kinyume cha Sheria
Wahamiaji 6 raia wa Ethiopia wameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kuwa nchini Kenya kinyume na…
Ushirikiano wa Wananchi Watakiwa Kukomesha Wizi wa Mifugo Laisamis.
Na Samuel Kosgei Wakazi wa kaunti ndogo ya Laisamis wametakiwa kushirikiana na maafisa wa polisi…
Wakaazi Marsabit Central watoa hisia mseto kuhusu pendekezo la kufuta ushuru wa mishahara kwa wakenya wa kipato cha chini ya shilingi 30,000
NA JB Nateleng Baadhi ya wakaazi wa Marsabit Central, eneo bunge la Saku, wamepongeza mpango…
Bunge la Kaunti ya Marsabit hutenga milioni 55Â kila mwaka wa kifedha kufadhili mpango wa chakula ECDE-Asema mwakilishi wadi mteule Kiya Jillo
NA JB Nateleng Naibu Mwenyekiti wa kamati ya Elimu katika bunge la kaunti ya Marsabit…
Mvulana wa miaka 14 ashtakiwa kwa tuhuma za kumlawiti mtoto wa miaka 7, Marsabit Central
Na Caroline Waforo Mvulana wa miaka 14 amekamatwa na kushtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa…
Tume ya uchaguzi IEBC yamteua Moses Sunkuli kuwa kaimu mtendaji wake.
Na Samuel Kosgei Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imemteua Moses Ledama Sunkuli kuwa…