Maeneobunge ya Laisamis na Moyale kaunti ya Marsabit yabainika kuwa na uwezo wa kuzalisha gundi na Resini.
July 10, 2025
http://https://www.youtube.com/watch?v=wFV2KoE1GSw The late Bishop Ravasi was led to rest on 6th November 2020. He was the Emeritus Bishop of Marsabit Diocese. This Video was produced by Radio Jangwani / Baragumu ya Faraja.
Eneo bunge la Laisamis na Moyale katika kaunti ya Marsabit yamebainika kuwa na uwezo mkubwa wa kuzalisha gundi na Resini. Haya ni kwa mujibu wa afisa wa idara ya huduma za jamii jimboni Marsabit, Habiba Ailo. Ailo ameelezea kwamba maeneo ya Merille, Laisamis mjini na Nairibi ndizo zimebainika kwa sasa[Read More…]
Siku moja baada ya Rais William Ruto kutoa wito kwa polisi kutowaua waandamanaji wanaoharibu mali na kupora biashara za watu, bali wawapige risasi miguuni, kauli hio imepokelewa kwa upinzani mkali miongoni mwa wakaazi wa kaunti ya Marsabit. Wakaazi wengi wamesema kuwa kauli hiyo inawatia wasiwasi mkubwa kuhusu usalama wa jamii[Read More…]
Na JB Nateleng’ Mwanachama wa baraza kuu la chama cha kisiasa cha National Vision Party (NVP) Harrison Mugo amewataka vijana wa Gen Z kutokubali kutumika na viongozi wa kisiasa katika kuleta vurugu na kusababisha madhara mengi kwa wananchi wenzao. Mugo ameelezea kwamba ipo njia muafaka ambayo Katiba imeidhinisha kufuatwa wakati[Read More…]
Onyo kali limetolewa kwa wanaodhulumu watoto haswa kupitia dhulma za kingono hapa katika kaunti ya Marsabit. Hii ni kufuatia kisa na ambapo mwanaume mmoja alijaribu kumnajisi mtoto wa miaka minne katika lokesheni ya Hula Hula, kaunti ndogo ya Marsabit ya kati. Ni onyo ambalo limetolewa na chifu wa lokesheni hiyo ya[Read More…]
NA SABALUA MOSES Vijana katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuwa wahusika wakuu katika vita dhidi ya mabadiliko ya Tabia Nchi katika kaunti ya Marsabit Akizungumza na kituo cha Radio Jangwani mratibu wa mipango katika shirika la Nature and People as One (NAPO) Samuel Lekhoyan wakihamasishwa vyema wanaweza kusaidia pakubwa katika zoezi[Read More…]
Na Moses Sabalua Wanaharakati katika kaunti ya Marsabit wamekemea mauaji yaliyofanyika hiyo jana katika maandamano ya saba saba . Akizungumza na shajara ya radio jangwani hii leo mkurugenzi mkuu kutoka shirika la Women Advocacy And Development Organization (MWADO) Marsabit Nuria Gullo amesema polisi walitumia nguvu kupita kiasi na kusababisha vifo vya watu kadhaa.[Read More…]
Na JB Nateleng’ Mkutano ambao unaodhamiria kutoa mafunzo ya uboreshaji wa thamani ya gundi inayopatikana kwa mti (Gum and Resin) katika kaunti ya Marsabit imeng`oa nanga hii leo katika eneo la Saku. Mkutano huu ambao umewaleta pamoja maafisa kutoka serekali kuu, kaunti ya Marsabit, taasisi ya utafiti na mafunzo ya wanyamapori (WRTI)[Read More…]
Na Muniu Muchai Siku moja baada ya wakenya kuadhimisha siku ya Sabasaba kwa njia ya maandamano wakenya wametoa hisia zao mseto kuhusu matukio ya jana. Ni siku iliyoshuhudiwa mauaji ya watu zaidi ya kumi majeraha na uharibifu wa mali. Wakizungumza na shajara ya radio jangwani wakaazi hawa wameeleza kuwa kuna[Read More…]
Na Samuel Kosgei Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda (KNCCI) kaunti ya Marsabit kimelalamikia hasara kubwa katika sekta usafiri kutokana na maandamano yaliyoshuhudiwa sehemu kadhaa nchini hapo jana. Naibu mwenyekiti wa chama hicho cha wafanyabiashara tawi la Marsabit Ali Nur Mumin ameambia shajara kuwa matatu na mabasi kutoka Moyale[Read More…]
Na Muchai Joseph Familia sitini katika eneo la Hula Hula kaunti ya Marsabit zimenufaika na mradi wa mbuzi kwa familia zisizo na uwezo wa kipato. Akizungumza na wanahabri wakati wa shughuli hiyo meneja wa mradi huo uliolioko chini ya shirika la Secours Islamique France (SIF) Edwin Ltarawan amesema kuwa wanalenga kuhakikisha kuwa familia[Read More…]