Pastrol Women In Laisamis,Marsabit contribute Ksh.795,815 Courtesy of BeadWORKS Kenya.
January 27, 2023
COMPLAINS HANDLING PROCEDURE FOR RADIO JANGWANI Radio Jangwani is a Catholic station owned by the Catholic Diocese of Marsabit and our main course is to promote PEACE AND RECONCILIATION in Marsabit County and the neighbouring Counties. As a Catholic Radio we emphasize and encourage observation of professional conduct of[Read More…]
Na Samuel Kosgei, MRATIBU mkuu wa mamlaka ya kudhibiti athari za ukame NDMA tawi la Marsabit Mustafa Parkolwa amesema zaidi ya mifugo elfu 300 kaunti ya Marsabit wamekufa kutokana na kiangazi kikali kinachoshuhudiwa kutokana na ukosefu wa mvua kutonyesha kwa misimu mitano. Akizungumza na shajara kwenye kikao cha pamoja cha[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Mtoto mmoja kati ya umri wa miaka 5 na 6 ameaga dunia baada ya kuliwa na fisi katika kijiji cha Tirgamo eneo bunge la Laisamis kaunti ya Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho Chifu wa eneo hilo Agostino Supeer ametaja kuwa msichana huyo alitoka nje kujisaidia mida ya usiku[Read More…]
Na Silvio Nangori, Wanafunzi 54 wanaotoka katika familia maskini katika kaunti ya Marsabit na Samburu wamepokea ufadhili wa masomo kupitia shirika lisilo la kiserikali Kenya Drylands Education Fund. Akizungumza na shajara ya jangwani Mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Ahmed Kura amesema kwamba waliopata ufadhili huo ni wale wasiojiweza katika jamii.[Read More…]
Na Silvio Nangori, Seneta wa kaunti ya Marsabit Muhamud Chute ametoa wito kwa idara ya usalama kuwakamata wanaoshukiwa kuhusika katika wizi wa chakula unaodaiwa kufanyika katika eneo la sololo eneo bunge la Moyale kaunti ya Marsabit. Akizungumza na idhaa hii moja kwa moja Seneta Chute amesema kwamba ni aibu zaidi[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Waliohusika katika katika kisa cha wizi wa chakula cha msaada katika eneo la Sololo jimboni Marsabit lazima wachukuliwe hatua za kisheria. Ndio kauli yake naibu kamishina wa kaunti ndogo ya Sololo Robert Nzuki. Akizungunza na vyombo vya habari Nzuki amesema kwamba tayari uchunguzi umeanzishwa kuhusiana na ripoti[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali itahakikisha kwamba wanafunzi wote waliofanya mitihani ya kitaifa ya Gredi ya 6 na KCPE mwaka jana wanaendelea na elimu yao. Kwa mujibu wa kaimu kaunti kamishina wa Marsabit George Kamweru ni kuwa ni haki ya kila mwanafunzi aliyefanya mtihani wa gerdi ya sita kujiunga na Junior[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Onyo kali imetolewa kwa wanaopania kuvuruga usalama barabarani haswa katika barabara kuu ya Marsabit kuelekea Isiolo kuwa watakabiliwa kisheria. Kaimu kaunti kamishina wa kaunti ya Marsabit George Kamweru ametoa tahadhari hiyo huku akitaja kwamba ni hatia kisheria kufunga barabara ya umaa au kuendeleza shughuli zote za kihuni[Read More…]
Na Silvio Nangori, Wanafunzi 54 wanaotoka katika familia maskini katika kaunti ya Marsabit na Samburu wamepokea ufadhili wa masomo kupitia shirika lisilo la kiserikali Kenya Drylands Education Fund. Akizungumza na shajara ya jangwani Mkurugenzi mkuu wa shirika hilo Ahmed Kura amesema kwamba waliopata ufadhili huo ni wale wasiojiweza katika jamii.[Read More…]
By Radio Jangwani This is a competition powered by Radio Jangwani in partnership with the Northern Rangelands Trust NRT, to support young talents promote and encourage the spirit of Peace and unity as we approach the August general elections. The Theme of the competition should strictly be PEACE.[Read More…]
http://https://www.youtube.com/watch?v=wFV2KoE1GSw The late Bishop Ravasi was led to rest on 6th November 2020. He was the Emeritus Bishop of Marsabit Diocese. This Video was produced by Radio Jangwani / Baragumu ya Faraja.
By Adelaide, At least 300 Pastoral women in Laisamis under Melako conservancy, Marsabit today contributed Ksh.795,815 courtesy of BeadWORKS kenya an initiative under NRT.The contribution was set to support priority livelihoods and operations programs for the conservancy. BeadWORKS Kenya is an NRT initiative that is aimed at resilience building and[Read More…]
Paris Hilton and husband Carter Reum have just welcomed their first baby boy into the world via surrogate. Paris announced the news over on Instagram, and penned a heart-string tugging caption. The caption read, “You are already loved beyond words.” Paris Hilton told People magazine she was happy to be[Read More…]
Beyonce reportedly earned more than $280,000 per minute for her private gig in Dubai over the weekend on Saturday, January 21st. The 41-year-old pop star returned to the stage for her first concert in almost five years by performing at the opening of new hotel Atlantis The Royal in the[Read More…]
By Radio Jangwani Three Tanzanian fishermen who were rescued by a cargo ship after getting stranded at sea for 3days and two nights, arrived safely at the port of Mombasa last evening. In a heart wrenching survival story, three fishermen from the nondescript Tanagani area in Pemba survived without[Read More…]
The singer/songwriter who was also the daughter of late music legend Elvis Presley and actress Priscilla Presley was rushed to hospital on Thursday (12.01.23) after suffering a cardiac arrest but passed away later at the age of 54, leaving her family “shocked and devastated.” In a statement issued by family[Read More…]
Angela Bassett made history during the Golden Globe Awards that were held on 10th/01/2023 by winning the best actress in supporting role in a motion picture. The 64-year-old actress won the award for a superhero movie at the ceremony for her performance as Queen Ramonda in ‘Black Panther: Wakanda Forever’.[Read More…]
Miley Cyrus is set to release a new album. The singer has named her new album ‘Endless Summer Vacation’ and revealed the new record will drop on March 10. The pop star’s new record will be her first since 2020’s ‘Plastic Hearts’ and is preceded by the first single Flowers which is out on[Read More…]
Kylie Jenner and Travis Scott have called it quits yet again. They took separate holidays over Christmas as the reality star headed to Aspen with the kids, but without the rapper. “Kylie and Travis are off again, they were supposed to spend the holidays together, but she went to Aspen[Read More…]
Migos rapper Quavo is paying a heartfelt tribute to his nephew and bandmate Takeoff with a new track titled Without You, months after Takeoff was shot and killed on November 1, 2022.Takeoff died at the age of 28. Quavo shared the song with its video, shot in black and white, on[Read More…]
Eliud Kipchoge has been unveiled as the new Tecno Phantom X2 series brand ambassador. Tecno mobile Kenya, announced the partnership with the two-time Olympic champion at an event held on Thursday the 5th of January 2023 held at the GTC (Global Trade Centre) the tallest landmark complex in East Africa.[Read More…]