Wanasiasa waonywa dhidi ya lugha ya chuki Marsabit
Na Abdiazizi Yusuf & Nyabande Orwa Huku dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga matamshi…
Wakulima wa eneo la Manyatta koso ,Dakabaricha Marsabit walalamikia kero la nyani.
Na Sabalua Moses Wakulima kutoka eneo la Dakabaricha , manyatta Koso Marsabit central wanakadiria hasara…
Wanafunzi Marsabit wasifiwa kwa Kudumisha nidhamu muhula huu.
Na JB Nateleng Mkurugenzi wa Elimu kaunti ya Marsabit William Kamugunah amewapongeza wanafunzi kwa kudumisha…
Jamaa ashtakiwa kwa tuhuma za kumdunga mwezake kisu.
Jamaa mmoja amefikishwa mahakamani Marsabit kwa tuhuma za kumtishia kumdunga kisu mwenzake baada ya tofauti…
Mbunge wa North Horr Wario Adhe aitaka vitengo vipya vya utawala Illeret kuanzishwa kwa haraka.
Na Samuel Kosgei MBUNGE wa North Horr, Wario Guyo Adhe, ameitaka serikali kuu kuharakisha uanzishaji…
Mabadiliko ya tabia nchi yaendelea kuathiri watoto Marsabit.
Na Nyabande Orwa Mabadiliko ya tabia nchi yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa watoto wengi katika…
Vijana 35 Marsabit wakamilisha tathmini ya TVET mashinani.
Na JB Nateleng Shirika la Caritas Marsabit kwa ushirikiano na wakaguzi kutoka Nyeri National Polytechnic limeendesha tathmini…
KUPPET Marsabit yapinga uchaguzi wa viongozi wa wanafunzi shuleni
Na Sabalua Moses Katibu mkuu wa chama cha kuwatetea walimu wa shule za upili na vyuo…
Wachimba dhahabu Moyale wafurahia agizo la rais la kufunguliwa kwa Mgodi wa Dabel hivi karibuni.
Na Samuel Kosgei Muungano wa wachimba dhahabu katika Eneo Bunge la Moyale kupitia chama chao…
Walimu zaidi ya 20 wanolewa kwa elimu ya kidijitali Marsabit
Na Joyce Akinyi & JB Nateleng Zaidi ya walimu 20 kutoka kaunti ya Marsabit wamepata…
Idara ya usajili Marsabit yakanusha madai ya vitambulisho kutolewa kwa raia wa Ethiopia.
Na Samuel Kosgei IDARA ya Usajili wa Watu katika Kaunti ya Marsabit imekanusha madai kwamba…
Wakazi wa Marsabit central wahimizwa kutatua migogoro kwa njia ya mazungumzo
Na Nyabande Orwa OCPD wa Marsabit central, Beethoven Gachago, ametoa wito kwa jamii za wafugaji kuendelea…