Maonyesho ya sayansi na teknolojia  yafanyika katika Shule ya Don bosco Marsabit
Na Sabalua Moses Maonyesho ya kisayansi na teknolojia yameanza rasmi hii leo kwa siku tatu…
Jamii yahimizwa kuwakumbatia manusura wa saratani
Na JB Nateleng Jamii ya Marsabit imetakiwa kuwakubali na kuwakumbatia manusura wa ugonjwa wa saratani…
Marsabit yazindua kituo cha mawasiliano ya dharura kuimarisha huduma za ambulensi.
Na Samuel Kosgei Huduma za dharura za matibabu katika Kaunti ya Marsabit zinatarajiwa kuimarika kufuatia…
Idara ya elimu jimbo katoliki la Marsabit yakemea uharibifu wa uzio wa shule ya kukub Fam Turbi
Na JB Nateleng Idara ya elimu ya Jimbo katoliki la Marsabit imelaani vikali tukio la…
Mwanamke afariki baada ya kushambuliwa na ndovu Marsabit
Na Abdiaziz Yusuf Mwanamke mmoja mwenye umri wa makamo amefariki dunia baada ya kushambuliwa na…
Wanaume wakumbushwa kutafuta msaada wa afya ya akili Mapema.
Na Nyabande Orwa Wanaume wametakiwa kuzungumzia changamoto wanazopitia maishani kama njia ya kusaidia kukabiliana na…
Sehemu kubwa ya Marsabit kuendelea kusalia kavu, kiasi ikipokea manyunyu wiki ya kwanza ya mwezi wa saba.
Na Samuel Kosgei Wakazi wa Kaunti ya Marsabit wanatarajiwa kushuhudia hali ya hewa ya ukavu…
KWS Marsabit yawapa wafugaji wa Illeret siku 10 kuondoa mifugo mbugani.
Na Nyabande Orwa Idara ya kuwalinda wanyamapori nchini (KWS) tawi la Marsabit imewaonya wafugaji katika…
Ngurunit kuadhimisha mwaka mmoja wa parokia mwishoni mwa wiki.
Na JB Nateleng Tangu kuanzishwa kwa parokia ya Ngurunit katika Jimbo katoliki la Marsabit mnamo…
Marsabit yakuwa mwenyeji wa warsha ya marekebisho ya sheria za madini
Na Sabalua Moses Wizara ya madini na uchumi wa bahari imeandaa warsha ya kuhamasisha umma…
Sampuli za maji zachukuliwa kufuatia vifo vya ng’ombe Korr
Na Abdiaziz Yusuf Wasiwasi umetanda katika eneo la Korr, kaunti ndogo ya Ngurnet, kaunti ya…
NCCK yatoa wito wa kuimarishwa kwa usalama Marsabit.
Na Nyabande Orwa Mwenyekiti wa NCCK tawi la Marsabit, mchungaji Lole Said, ametoa wito kwa…