Latest News
Timu zitakazowakilisha Marsabit kwa mashindano ya shule za upili ukanda wa mashariki zabainika.
Na JB Nateleng Timu zitakazoiwakilisha Kaunti ya Marsabit katika mashindano ya kanda ya shule za…
Vyama vya ushirika vyatajwa kuwa nguzo ya maendeleo Marsabit.
Na Nyabande Orwa Naibu Gavana wa kaunti ya Marsabit, Solomon Gubo, amewahimiza wakazi wa kaunti hii kujijengea uwezo…
Shirika la SND lataja ushirikiano kuwa nguzo ya maendeleo Marsabit.
Na Nyabande Orwa Ushirikiano kati ya serikali ya kaunti, mashirika ya maendeleo na wadau wengine…
Wazee wa Kargi wahimizwa kuwa na simu kupokea fedha za Inua Jamii
Na Sabalua Moses Wazee wenye umri wa miaka 70 na zaidi wanaojiandikisha katika mpango wa Inua…
Walengwa wa HSNP kupokea malipo ya miezi miwili mwishoni mwa wiki – NDMA Marsabit
Na Samuel Kosgei Usimamizi wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Ukame (NDMA) tawi la…
Marsabit yajiandaa kuadhimisha siku ya vyama vya ushirika.
Na JB Nateleng Huku dunia ikijiandaa kuadhimisha siku ya kimataifa ya vyama vya ushirika Jumamosi, Julai 4,…
Wananchi wa Saku wahimizwa kuchukua vitambulisho vyao vya kitaifa.
Na Abdiaziz Yusuf Kiongozi wa vijana wa eneo bunge la Saku, Abdilaziz Boru, amewarai wakazi…
Polisi wa Turbi waendeleza msako dhidi ya washukiwa wa uharibifu wa uzio wa shule
Na Nyabande Orwa Polisi katika eneo la Turbi wanaendelea na msako dhidi ya zaidi ya…
Mashindano ya michezo ya muhula wa pili katika kaunti ya Marsabit yaanza rasmi hii leo.
Na JB Nateleng Mashindano ya michezo ya muhula wa pili kwa shule za upili ngazi ya…
Maonyesho ya sayansi na teknolojia  yafanyika katika Shule ya Don bosco Marsabit
Na Sabalua Moses Maonyesho ya kisayansi na teknolojia yameanza rasmi hii leo kwa siku tatu…
Jamii yahimizwa kuwakumbatia manusura wa saratani
Na JB Nateleng Jamii ya Marsabit imetakiwa kuwakubali na kuwakumbatia manusura wa ugonjwa wa saratani…
Marsabit yazindua kituo cha mawasiliano ya dharura kuimarisha huduma za ambulensi.
Na Samuel Kosgei Huduma za dharura za matibabu katika Kaunti ya Marsabit zinatarajiwa kuimarika kufuatia…