Wakazi wa Nyayoroad wapongeza ukarabati wa barabara, walalamikia kutelekezwa na serikali kuu
Na Joyce Akinyi & JB Nateleng Wakazi wa eneo la Nyayoroad katika eneo bunge la…
Wazazi watakiwa kufuatilia watoto wakati wa likizo fupi ya muhula wa pili
Na Joyce Akinyi & JB Nateleng Huku wanafunzi wakitarajiwa kurejea nyumbani kwa likizo fupi ya…
Wakazi wa Badanrero walalamiki ukosefu wa maji
Na Sabalua Moses Wakazi wa eneo la Bada Rero wamelalamikia ukosefu wa maji, hali ambayo…
Askofu Kihara awataka wazazi na viongozi wawe mfano bora kwa Gen Z
Na Samuel Kosgei Askofu wa Jimbo Katoliki la Marsabit, Mhashamu Peter Kariuki, amewataka wazazi, walimu,…
Polisi watoa hakikisho la usalama kwa maandamano ya Alhamisi Marsabit.
Na Nyabande Orwa Kamanda wa polisi wa kaunti ya Marsabit, Leonard Kimaiyo, amesema kuwa idara…
Washukiwa wa pembe za ndovu wakana mashtaka Marsabit
Washukiwa watatu waliokamatwa na pembe za ndovu zenye uzito wa kilo 39.5 mnamo tarehe 11…
Marsabit Mix wang`ara kwenye Voliboli Saku, huku Moi Girls wakiendelea kututea ubingwa wao.
Na JB Nateleng Mashindano ya michezo ya shule za sekondari katika kaunti ndogo ya Marsabit…
El-Mosaretu Girls Yang’ara katika Tamasha la Muziki la Kaunti ya Marsabit
Na JB Nateleng Shule ya Sekondari ya Wasichana ya El-Mosaretu imeikuwa miongoni mwa shule zilizofanya…
Wanasiasa waonywa dhidi ya lugha ya chuki Marsabit
Na Abdiazizi Yusuf & Nyabande Orwa Huku dunia ikiadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga matamshi…
Wakulima wa eneo la Manyatta koso ,Dakabaricha Marsabit walalamikia kero la nyani.
Na Sabalua Moses Wakulima kutoka eneo la Dakabaricha , manyatta Koso Marsabit central wanakadiria hasara…
Wanafunzi Marsabit wasifiwa kwa Kudumisha nidhamu muhula huu.
Na JB Nateleng Mkurugenzi wa Elimu kaunti ya Marsabit William Kamugunah amewapongeza wanafunzi kwa kudumisha…
Jamaa ashtakiwa kwa tuhuma za kumdunga mwezake kisu.
Jamaa mmoja amefikishwa mahakamani Marsabit kwa tuhuma za kumtishia kumdunga kisu mwenzake baada ya tofauti…