CDF Laisamis yakanusha kuwapa wanafunzi hundi (cheques) isiyo na fedha.
July 11, 2025
Na Samuel Kosgei Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda (KNCCI) kaunti ya Marsabit kimelalamikia hasara kubwa katika sekta usafiri kutokana na maandamano yaliyoshuhudiwa sehemu kadhaa nchini hapo jana. Naibu mwenyekiti wa chama hicho cha wafanyabiashara tawi la Marsabit Ali Nur Mumin ameambia shajara kuwa matatu na mabasi kutoka Moyale[Read More…]
Na Muchai Joseph Familia sitini katika eneo la Hula Hula kaunti ya Marsabit zimenufaika na mradi wa mbuzi kwa familia zisizo na uwezo wa kipato. Akizungumza na wanahabri wakati wa shughuli hiyo meneja wa mradi huo uliolioko chini ya shirika la Secours Islamique France (SIF) Edwin Ltarawan amesema kuwa wanalenga kuhakikisha kuwa familia[Read More…]
Na JB Nateleng Huku dunia ikiadhimisha siku ya Lugha ya Kiswahili hii leo, wito wa kukumbatia na kuenezea lugha hii imetolewa kwa wakazi wa kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa Mwalimu wa Kiswahili kutoka shule ya upili ya Marsabit Mix Mwalimu Galm Guyo Galma ni kwamba Kiswahili lazima kitukuzwe na[Read More…]
Na Muniu Muchai Huku vijana wa Gen Z wakifanya maandamano katika maeneo mbali mbali humu nchini hii leo wananchi katika kaunti ya Marsabit wametoa maoni kuhusu siku ya Saba saba. Sabasaba ni siku ya kuadhimisha ukombozi wa pili wa nchi kupitia demokrasia. Wakizungumza na shajara ya Radio Jangwani baadhi yao[Read More…]
Na Moses Sabalua Viongozi wa kiislamu katika kaunti ya Marsabit wamepinga maamuzi wa mahakama ya juu ambayo iliamua kuwa mtoto anayezaliwa nje ya ndoa anafaa kurithi mali ya babake. Akizungumza na wanahabari mjini Marsabit viongozi hao wa kiislamu wamesema kuwa sheria hiyo inafaa kuangaziwa upya kwani inatofautiiana na sheria za[Read More…]
Idara ya usalama Loiyangalani yasema ina majina kadhaa ya washukiwa wa uporaji maduka wiki jana. NA WAANDISHI WETU Uchunguzi wa kisa na ambapo maduka 6 yalivunjwa na kuporwa wiki jana katika mji wa Loiyangalani kaunti ya Marsabit bado unaendelea huku idara ya polisi ikisema kuwa kwa ushirikiano na wananchi ina[Read More…]
Na Henry Khoyan Balozi wa Kenya jijini Pretoria Afrika Kusini, Sunya Orre ametoa wito wa uwepo amani na utangamano miongoni mwa jamii za Marsabit kufuatia visa kadhaa vya mauaji vilivyojitokeza siku za hivi karibuni kaunti ya Marsabit. Akizungumza na Redio Jangwani, Balozi Sunya Orre ambaye amekua ziarani Marsabit amesisitiza kuwa[Read More…]
Na Muchai Kutokana na kucheleweshwa kwa kubuniwa kwa tume huru ya uchaguzi IEBC kinyume na mapendekezo ya ripoti ya Kriegler ya mwaka 2007 kwamba tume ya uchaguzi iweze ikibuniwa miaka miwili kabla ya tarehe kamili uchaguzi wakazi katika kaunti ya Marsabit wametoa kauli zao. Ripoti ya Kriegler iliundwa kufuatia ghasia[Read More…]
Na Carol Waforo Mshukiwa mkuu wa mauaji ya mfugaji mmoja katika eneo la Midroc mpakani mwa Songa na Badassa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit Jumatano wiki hii bado anaendelea kusakwa na maafisa wa usalama jimboni. Akithibitisha hili afisa mkuu wa upelelezi jimboni Marsabit Kennedy Nyagah amesema kuwa mshukiwa huyo mkuu[Read More…]
Idara ya elimu kaunti ya Marsabit imepinga vikali madai kuwa shule zinazotoa masomo ya kiufundi jimboni zimefungwa kama iliyodaiwa hapo awali na baadhi ya vyanzo. Waziri wa elimu Ambaro Abdulahi ameambia Radio Jangwani kuwa kwa sasa wanafunzi a walimu wanachukua mapumziko mafupi huku wizara yake ikisubiri wizara ya fedha ya[Read More…]