Featured Stories / News

Chama cha wafanyibiashara na viwanda (KNCCI) Marsabit chahimiza mazungumzo ili kunusuru biashara nchini.

Na Samuel Kosgei Chama cha Kitaifa cha wafanyabiashara na viwanda (KNCCI) kaunti ya Marsabit kimelalamikia hasara kubwa katika sekta usafiri kutokana na maandamano yaliyoshuhudiwa sehemu kadhaa nchini hapo jana. Naibu mwenyekiti wa chama hicho cha wafanyabiashara tawi la Marsabit Ali Nur Mumin ameambia shajara kuwa matatu na mabasi kutoka Moyale[Read More…]

Familia sitini zisizo na uwezo Hula Hula Marsabit zapokezwa mbuzi na shirika la (SIF) ili kujikimu kimapato.

Na Muchai Joseph Familia sitini katika eneo la Hula Hula kaunti ya Marsabit zimenufaika na mradi wa mbuzi kwa familia zisizo na uwezo wa kipato. Akizungumza na wanahabri wakati wa shughuli hiyo meneja wa mradi huo uliolioko chini ya shirika la Secours Islamique France (SIF) Edwin Ltarawan amesema kuwa wanalenga kuhakikisha kuwa familia[Read More…]

Subscribe to eNewsletter