Latest News
Hospitali ya Rufaa ya Marsabit yakana kuwepo kwa mgomo wa wahudumu wa afya
Na Samuel Kosgei Afisa Msimamizi wa Hospitali Kuu ya Rufaa ya Marsabit, Kusu Abduba, amewataka…
Seneta Chute aishinikiza kaunti kukamilisha kituo cha afya cha Uran
Na Abdilaziz Yusuf Seneta wa Marsabit, Mohamed Said Chute, ameishinikiza serikali ya kaunti ya Marsabit…
Wafugaji Marsabit wahimizwa kujiunga na vyama vya ushirika kuongeza faida.
Na Nyabande Orwa Mkurugenzi mkuu wa shirika lisilo la kiserikali la Centre for Research and Development…
Wafugaji Marsabit wakumbatia mbinu mpya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi.
ORWA 7PM. Kama njia mojawapo ya kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika kaunti…
Wanasiasa Marsabit waonywa dhidi ya matamshi ya uchochezi.
Na Nyabande Orwa Huku shughuli za kisiasa zikizidi kushika kasi kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka…
Viongozi kutoka eneo la Laisamis wamewataka wakaazi kuwa na subira huku serikali ikiendelea na operesheni ya kufuatilia na kurejesha mifugo iliyoibwa eneo la Gudas.
Na Sabalua Moses Viongozi kutoka eneo la Laisamis wamewataka wakaazi kuwa na subira huku serikali…
Maeneo mengi ya Marsabit kubaki makavu, Maikona na maeneo ya mpakani yakitarajiwa kupata mvua nyepesi
Na Samuel Kosgei Kaunti ya Marsabit inatarajiwa kushuhudia hali ya hewa ya ukavu katika maeneo…
Bunge la kaunti latakiwa kuongeza mgao wa fedha kwa ufugaji.
Mwakilishi wadi mteule katika bunge la kaunti ya Marsabit ambaye pia ni mwenyekiti wa viongozi wa kina…
Ushirikiano wa serikali ya kaunti na wadau wakuza elimu na ujuzi.
Na Joyce Akinyi Ushirikiano kati ya serikali ya kaunti ya Marsabit na mashirika yasiyo ya…
Mama aliyejifungua watoto watano Marsabit aendelea kuimarika kiafya na watoto wake.
Na JB Nateleng Mama aliyejifungua watoto watano katika Hospitali ya Rufaa ya Marsabit anaendelea kuimarika…
Gavana Mohamud Ali azindua madarasa na gari la mafunzo katika chuo cha Saku VTC.
Na JB Nateleng. Gavana wa kaunti ya Marsabit, Mohamud Ali, amezindua madarasa matatu mapya pamoja…
Madiwani waliohudumu miaka ya 1963-2013 Marsabit waitaka serikali kuwalipa pensheni
Na JB Nateleng Madiwani wa zamani waliohudumu katika kaunti ya Marsabit kati ya mwaka 1963…