Featured Stories / News

HUDUMA ZA MAJI MJINI MARSABIT KUREJELEWA MWISHONI MWA WIKI HII HUKU ZOEZI LA KUSAFISHA BWAWA LA BAKULI 2 LILIKARIBIA TAMATI.

Na Samuel Kosgei ZOEZI la kutoa mchanga na kuondoa uchafu kutoka bwawa la Bakuli 2 ulio mlima Marsabit linakaribia kukamilika huku asilimia zaidi ya 90 ikiwa imefanyika kufikia sasa. Hayo ni kulingana na meneja msimamizi wa kampuni ya maji na majitaka kaunti ya Marsabit MARWASCO Stephen Sora Katelo alipozungumza na[Read More…]

IDADI YA VISA VYA DHULMA ZA KIJINSIA YAONGEZEKA JIMBONI MARSABIT. – ASEMA MWANAHARAKATI NURIA GOLLO

NA GRACE GUMATO Visa vya dhulma za kijinsia yameripotiwa kuongezeka maradufu jimboni Marsabit idadi hiyo ikitajwa kuongezeka kutokana na mabailiko ya tabia nchi na umaskini miongono mwa jamii za wafugaji. Akizungumza na idhaa hii ofisini Mwake Nuria Gollo ambaye ni mwanaharakati wa kutetea haki za kibinadamu amesema kuwa wanaoadhirika pakubwa na[Read More…]

HAKUNA UPUNGUFU WA CHANJO YA WATOTO LOIYANGALANI – ASEMA MSIMAMIZI WA CHANJO NAOMI LETOROR.

NA ISAAC WAIHENYA Msimamizi wa zoezi la kusambaza chanjo katika kaunti ndogo ya Laisamis kaunti ya Marsabit Bi. Naomi Lentoror amekanusha madai ya kukosekana kwa chanjo mbalimbali katika wadi ya Loiyangalani. Akizungumza na Idhaa hii kwa njia ya simu,Bi. Lentoror ametaja kwamba idara hiyo ilisambaza chanjo katika vituo vyote vya[Read More…]

WAKAZI WA KIJIJI CHA DIKIL KIMAT,LOIYANGALANI, WAKARABATI BARABARA ILIYOHARIBIWA NA MAFURIKO

NA JB NATELENG Wakazi wa kijiji cha Dikil Kimat, eneo la Loiyangalani, kaunti ya Marsabit wameamua kufanyia ukarabati barabara ambayo ilikuwa imeharibiwa na mafuriko yaliyoshuhudiwa katika eneo hilo mwezi wa nne mwaka huu. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu, Joseph Atele ambaye anaongoza shughuli hiyo amesema[Read More…]

VIONGOZI WA KIDINI KAUNTI YA ISIOLO WATAKA WANANCHI KUWASAMEHE WABUNGE WALIOPIGIA KURA MSWADA WA FEDHA 2024.

Na Samuel Kosgei, Wito umetolewa kwa wakaazi kaunti ya Isiolo na wakenya kwa ujumla kuwasamehe na kuwapea wabunge nafasi ya kuwahudumia licha ya wao kupitisha mswada uliokuwa umepingwa na wakenya. Wito huo umetolewa na Ahmed Sett ambaye ni mwenyekiti wa muungano wa viongozi wa kidini kaunti ya Isiolo Akihutubia wanahabari[Read More…]

Subscribe to eNewsletter