Vijana mjini Marsabit washiriki maandamano kulalamikia unyakuzi wa ardhi inayozozaniwa mpakani mwa Marsabit na Wajir.
Na JB Nateleng Vijana mjini Marsabit wameshiriki maandamano leo alhamisi kulalamikia kile wanadai ni unyakuzi…
Kituo cha uokozi wa waathiriwa wa gbv kujengwa hospitali ya Rufaa ya Isiolo.
Na Samuel Kosgei Mamlaka ya kusimamia barabara kuu nchini KENHA kupitia mradi wa Horn of Africa…
Marsabit kutawaliwa na ukavu huku mvua  zikitarajiwa kunyesha maeneo ya mpakani – Idara ya hali ya hewa MBT.
Na Samuel Kosgei IDARA ya Hali ya Hewa Kaunti ya Marsabit imetoa utabiri wa hali…
Wakazi Marsabit wahimizwa kupinga dhulma dhidi ya wanawake
Na Joy Akinyi & JB Nateleng Wakazi wa kaunti ya Marsabit wametakiwa kuachana na vitendo…
Wazazi Marsabit wahimizwa kurejesha watoto shuleni kwa muhula wa pili ulioanza wiki iliyopita
Na JB Nateleng Wazazi katika jamii za wafugaji, wametakiwa kuhakikisha kuwa wanawarejesha watoto wao shuleni…
Ukeketaji imetajwa kuwa mojawapo ya sababu ya ugonjwa wa fistula Marsabit.
Na Samuel Kosgei 2223 Akizungumza katika hafla ya kujadili mbinu za kukabiliana na dhuluma za…
Upatikanaji wa dawa za kulevya kwa urahisi wachochea matumizi miongoni mwa wanafunzi Marsabit
NA Caroline Waforo Upatikanaji wa dawa za kulevya kwa urahisi, ugumu wa maisha pamoja na…
Gachagua Amshutumu Ruto kwa Kutotekeleza Ahadi Marsabit na ukanda wa kaskazini.
NA Samuel Kosgei KIONGOZI wa chama cha DCP, Rigathi Gachagua, amezidisha mashambulizi dhidi ya Rais…
Tume ya uchaguzi IEBC yamteua Moses Sunkuli kuwa kaimu mtendaji wake.
Na Samuel Kosgei Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka, IEBC, imemteua Moses Ledama Sunkuli kuwa…
Usalama waimarishwa Isiolo, mifugo iliyoibiwa yarejeshwa kulingana na kamishna David Kiprop.
NA Nyabande Orwa Kamishna wa kaunti ya Isiolo, David Kiprop, amesema kuwa asasi za usalama…
NCCK Marsabit yalaani mashambulizi ya nyumba za ibada.
NA Joseph Muchai Uongozi wa muungano wa makanisa nchini (NCCK) katika kaunti ya Marsabit umekemea vikali mashambulizi…
Rais Ruto ampongeza Museveni kwa kuchaguliwa tena, huku akisifu ukomavu wa demokrasia nchini Uganda
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto amemtumia ujumbe wa pongezi Rais mteule wa Uganda Yoweri…