EACC yamtia mbaroni afisa wa jiji la Nairobi
Na JB Nateleng Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imemkamata Afisa Mkuu wa…
Viongozi wa upinzani wakosoa mpango wa kituo cha karantini ya ebola Nanyuki
Na JB Nateleng Viongozi wa upinzani, akiwemo Fred Matiang'i na Peter Munya, wameendelea kuikosoa serikali…
Viongozi wa upinzani waitaka serikali kusikiliza wananchi kuhusu ujenzi wa karantini ya ebola
Na JB Nateleng Hatua ya serikali ya kujenga kituo cha karantini ya Ebola imeendelea kuibua…
Waziri Duale asema kuwa serikali si lazima ishirikishe wananchi kuhusiana na ujenzi kituo cha Ebola Laikipia.
Na JB Nateleng Waziri wa Afya, Adan Duale, amefika mbele ya wabunge kujibu maswali kuhusu…
Washukiwa 9 wa mkasa wa moto katika shule ya utumishi girls wazuiliwa kwa siku 21 zaidi.
Na JB Nateleng Mahakama ya Naivasha imeamuru wasichana tisa kutoka Shule ya Utumishi Girls Academy…
Wasanii katika Kaunti ya Samburu wafanya matembezi ya amani kuhamasisha kuhusu ugonjwa wa figo
Na Silvio Nangori Wasanii katika Kaunti ya Samburu wamefanya matembezi ya amani katika mji wa…
Madaktari Isiolo waanza mgomo baada ya notisi ya siku 21 kumalizika
Na Silvio Nangori Madaktari katika Kaunti ya Isiolo wameanza rasmi mgomo kufuatia kumalizika kwa notisi…
Rais Ruto ahakikishia taifa uchaguzi wa haki na salama mwaka ujao.
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto amejitosa katika mjadala unaoendelea kuhusu iwapo atahudumu kwa muhula mmoja au…
Mwalimu akamatwa kwa tuhuma za kumnajisi na kumpachika mimba mwanafunzi wake wa gredi saba, Kargi
Na Caroline Waforo Mwalimu mmoja wa shule ya msingi ya Mission of Hope International iliyoko…
Vijana mjini Marsabit washiriki maandamano kulalamikia unyakuzi wa ardhi inayozozaniwa mpakani mwa Marsabit na Wajir.
Na JB Nateleng Vijana mjini Marsabit wameshiriki maandamano leo alhamisi kulalamikia kile wanadai ni unyakuzi…
Kituo cha uokozi wa waathiriwa wa gbv kujengwa hospitali ya Rufaa ya Isiolo.
Na Samuel Kosgei Mamlaka ya kusimamia barabara kuu nchini KENHA kupitia mradi wa Horn of Africa…
Marsabit kutawaliwa na ukavu huku mvua  zikitarajiwa kunyesha maeneo ya mpakani – Idara ya hali ya hewa MBT.
Na Samuel Kosgei IDARA ya Hali ya Hewa Kaunti ya Marsabit imetoa utabiri wa hali…