Washukiwa watatu wakamatwa na vipande sita vya meno ya tembo Laikipia.
Na Nyabande Orwa Washukiwa watatu wamekamatwa katika kaunti ya Laikipia baada ya kupatikana wakimiliki vipande…
Wanafunzi waanza mapumziko ya siku tano nchini
Na Nyabande Orwa Wanafunzi kote nchini wameanza mapumziko ya katikati ya muhula wa pili leo…
Rais Ruto atia saini sheria ya fedha 2026, akisema hakuna ushuru mpya
Na Nyabande Orwa Rais William Ruto amesema kuwa Sheria ya Fedha ya mwaka 2026 haijaweka…
Mabadiliko ya tabia nchi yaendelea kuathiri watoto Marsabit.
Na Nyabande Orwa Mabadiliko ya tabia nchi yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa watoto wengi katika…
Kaunti ya Marsabit kupata hospitali ya level six.
Na Nyabande Orwa Rais William Ruto ametangaza mpango wa kujenga hospitali ya rufaa ya ngazi…
KEWOPA yapendekeza kurejeshwa kwa viboko shuleni kukabiliana na utovu wa nidhamu.
Na JB Nateleng Muungano wa Wanawake Wabunge nchini (KEWOPA) umependekeza kurejeshwa kwa adhabu ya viboko…
Gachagua asema atawania urais katika uchaguzi wa mwaka 2027
Na JB Nateleng Aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua, amesema bado anastahili kugombea urais katika Uchaguzi…
Wachuuzi wa maji Marsabit watoa makataa kwa kampuni ya MARWASCO
Na Nyabande Orwa Wachuuzi wa maji mjini Marsabit, katika eneo bunge la Saku, wameipa kampuni…
Wadau wasisitiza usawa katika malezi na maendeleo ya watoto.
Na Sabalua Moses Afisa mkuu wa programu kutoka shirika la Compassion, Ronaldo Fandia, amesema watoto…
EACC yamtia mbaroni afisa wa jiji la Nairobi
Na JB Nateleng Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) imemkamata Afisa Mkuu wa…
Viongozi wa upinzani wakosoa mpango wa kituo cha karantini ya ebola Nanyuki
Na JB Nateleng Viongozi wa upinzani, akiwemo Fred Matiang'i na Peter Munya, wameendelea kuikosoa serikali…
Viongozi wa upinzani waitaka serikali kusikiliza wananchi kuhusu ujenzi wa karantini ya ebola
Na JB Nateleng Hatua ya serikali ya kujenga kituo cha karantini ya Ebola imeendelea kuibua…