Author: Editor

VIONGOZI WA KIDINI MARSABIT WAWATAKA WAZAZI KULEA WANAO KWA NJIA YA MAADILI

NA JOHN BOSCO NATELENG Mwenyekiti wa muungano wa viongozi wa Kiislamu kaunti ya Marsabit (MAMLEF) Sheikh Ibrahim Oshe amewataka wazazi katika kaunti ya Marsabit kuchukua majukumu ya kuhakikisha kuwa wamewalea wanawao katika mazingira mema ili kusaidia katika kukabiliana na matumizi ya mihadarati. Oshe amesema kuwa utepetevu wa ulezi ndio unachangia[Read More…]

Read More

SHIRIKA LA MPANGO WA CHAKULA ULIMWENGUNI (WFP) LAZINDUA PROGRAMU YA CHAKULA KWA WATOTO WA (ECDE) MARSABIT.

NA EBENET APIYO Shirika la mpango wa chakula ulimwenguni (WFP) limezindua rasmi programu ya chakula kwa watoto wa shule za chekechea (ECDE) katika kaunti ya Marsabit. Masuala yaliyopewa kipaumbele kwenye uzinduzi huo ni pamoja na usalama wa chakula, biashara na uwekezaji na mwongozo wa utekelezaji wa sera za chakula. Mkurugenzi[Read More…]

Read More

MSEMAJI WA SEREKALI YA KAUNTI YAMARSABIT ABDUB ABARILLE AWAKOSOA SENETA CHUTE, MBUNGE RASSO NA WANAHABARI WA MARSABIT

Na Isaac Waihenya, Serekali ya kaunti ya Marsabit imekanusha madai kuwa ilihusika katika kukamatwa kwa Seneta wa kaunti ya Marsabit Mohamed Chute na tume ya kupambana na ufisadi nchini EACC. Kwa mujibu wa msemaji wa serekali ya kaunti ya Marsabit Abdub Barille ni kuwa serekali ya kaunti haukuhusika kwa vyovyote[Read More…]

Read More

WAKAAZI WA MARSABIT WATAHADHARISHWA DHIDI YA KUTUMA MAOMBI YA ID ZAIDI YA MARA MOJA.

Na Caroline Waforo Wakaazi kaunti ya Marsabit wametahadharishwa dhidi ya kutuma maombi ya kupata vitambulisho zaidi ya moja. Akizungumza na Shajara afisini mwake afisa wa usajili jimboni Marsabit Michael Oduor amesema kuwa hili litahitilafiana na shughuli za kuchapisha vitambulisho. Hii ni kutokana na malalamishi ya kucheleweshwa kwa vitambulisho kutoka kwa[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter