Author: Editor

Wanafunzi waliokamilisha elimu watakiwa kuwa na subira kuhusu kupokea vyeti vyao vya masomo.

Na Joseph Muchai, Wiki chache baada ya serikali kuu kupitia wizara ya elimu kutangaza kuwa wanafunzi walikamilisha elimu na hawajapokea vyeti vyao kutokana na kushindwa kukamilisha karo kupokezwa vyeti hivyo bila ada yeyote, bado agizo hilo halijakuwa likitekelezwa mashinani na huenda ikachukua muda zaidi kwa wanafunzi hao kupata vyeti vyao.[Read More…]

Read More

Visa vya ugonjwa kifua kikuu (TB) vyaongezeka kaunti ya Marsabit.

Na Sabalua Moses Huku dunia ikiadhimisha siku  ya kifua kikuu (TB) duniani  msimamizi mkuu anayesimamia maswala  ya kifua kikuu katika kaunti ya Marsabit Bi Sore amesema kuwa visa vya ugonjwa huo katika kaunti ya Marsabit  vimeongezeka tangu mwaka jana, huku akiwataka wakaazi kuwa mstari wa mbele  kuenda kupimwa na kupata[Read More…]

Read More

Viongozi wa kisiasa watakiwa kuheshimu sehemu za dini kwa kujiepusha na siasa kanisani.

Na Joseph Muchai Huku hisia mseto zikiendelea kuibuliwa kwenye sehemu mbali mbali za nchi kuhusiana na siasa kanisani. Wanasiasa wametakiwa kukoma kufanya siasa kanisani na kuheshimu madhabahu. Mchungaji wa kanisa la KAG Marsabit ambaye pia ni mwanachama katika muungano wa wachungaji katika kaunti ya Marsabit Joseph Mwenda amewataka viongozi wanasiasa[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter