Wanafunzi waliokamilisha elimu watakiwa kuwa na subira kuhusu kupokea vyeti vyao vya masomo.
March 25, 2025
Na Joseph Muchai, Wiki chache baada ya serikali kuu kupitia wizara ya elimu kutangaza kuwa wanafunzi walikamilisha elimu na hawajapokea vyeti vyao kutokana na kushindwa kukamilisha karo kupokezwa vyeti hivyo bila ada yeyote, bado agizo hilo halijakuwa likitekelezwa mashinani na huenda ikachukua muda zaidi kwa wanafunzi hao kupata vyeti vyao.[Read More…]
Na Caroline Waforo, Usalama umeimarishwa katika eneo la Dukana eneo bunge la North Horr Kaunti ya Marsabit kufuatia matukio ya utovu wa usalama ya hivi maajuzi mpakani mwa taifa hili la Kenya na lile la Ethiopia. Haya ni kulingana na naibu kamishna wa eneo la Dukana Charo Katana ambaye amezungumza[Read More…]
NA JBNateleng Wakazi wa manyatta Boqe wadi ya Maikona eneo bunge la North Horr kaunti ya Marsabit wamelalamikia uhaba wa maji kufuatia kuharibika kwa bwawa la Laq Lokho. Wakizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee, wakazi hao wamedai kuwa wamekumbwa na changamoto ya maji tangu bwawa hilo liharibike mwaka[Read More…]
Na Mwandishi Wetu Meneja katika afisi ya mwakilishi wadi wa Sagante Jaldesa Sora Duba anakabiliwa na kosa la unajisi wa msichana wa gredi ya saba wa miaka 14. Akizungumza na shajara ya radio jangwani Kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo amesema kuwa mshukiwa huyo anadaiwa kutekeleza kitendo hicho[Read More…]
Na Sabalua Moses Huku dunia ikiadhimisha siku ya kifua kikuu (TB) duniani msimamizi mkuu anayesimamia maswala ya kifua kikuu katika kaunti ya Marsabit Bi Sore amesema kuwa visa vya ugonjwa huo katika kaunti ya Marsabit vimeongezeka tangu mwaka jana, huku akiwataka wakaazi kuwa mstari wa mbele kuenda kupimwa na kupata[Read More…]
Na Samuel Kosgei KUNA haja ya serikali ya kitaifa kutimiza ahadi yake ya kutuma pesa za kufadhili masomo ya shule za sekondari ili kurahisisha oparesheni za shule. Kauli hiyo imetolewa na katibu wa chama cha kutetea maslahi ya walimu KUPPET tawi la Masabit Sarr Galgalo aliyeambia shajara kuwa walimu wakuu[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Wazee pamoja na viongozi wa kijamii katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kuhakikisha kwamba wameeneza habari ya umuhimu wa Amani haswa kwa vijana. Kwa mujibu wa kamishina wa kaunti ya Marsabit James Kamau ni kuwa vijana wanafaa kuelimishwa kuhusiana na umuhimu wa Amani sawa na madhara ya ukosefu[Read More…]
Na Joseph Muchai Huku hisia mseto zikiendelea kuibuliwa kwenye sehemu mbali mbali za nchi kuhusiana na siasa kanisani. Wanasiasa wametakiwa kukoma kufanya siasa kanisani na kuheshimu madhabahu. Mchungaji wa kanisa la KAG Marsabit ambaye pia ni mwanachama katika muungano wa wachungaji katika kaunti ya Marsabit Joseph Mwenda amewataka viongozi wanasiasa[Read More…]
Na Mwandishi Wetu Watu wanne wameshtakiwa katika mahakama ya Marsabit kwa kosa la kuendesha biashara ya kuuza vileo bila leseni mjini Marsabit. Wanne hao ni kati ya watu watano waliokamatwa hapo jana Alhamisi kufuatia msako dhidi ya pombe haramu na mihadarati unaoendeshwa na mamlaka ya kitaifa ya kudhibiti pombe na[Read More…]
NA SABALUA MOSES Gavana wa Marsabit Mohamud Ali ameshutumu visa vya mauaji ya kiholela vilivyofanyika kaunti hii ya Marsabit mwezi huu ambapo kijana mmoja wa bodaboda na wengine wawili kuuliwa katika eneo la Dukana eneobunge la north horr wiki jana na hapo juzi na watu wasiojulikana. Akizungumza hii leo gavana[Read More…]