Author: Editor

Wafugaji jimboni Marsabit wahimizwa kuwapeleka wanao shuleni.

Huku muhula wa kwanza katika kalenda ya masomo ukiendelea wafugaji jimboni Marsabit wamehimizwa kuwapeleka wanao shuleni. Ni himizo ambalo limetolewa na mhifadhi wa msitu wa Marsabit Mark Lenguro ambaye anasema kuwa baadhi ya wafugaji wanawanyima watoto haki yao ya kupata elimu kwa kuwapa majukumu nyumbani. Serikali imekuwa ikisisitiza haja ya[Read More…]

Read More

Waliohusika katika mauaji ya watoto mapacha huko Dololo kuzuiliwa kwa siku 14, kuruhusu uchunguzi…

Na Waandishi Wetu Mahakama ya Marsabit imeagiza kufukuliwa na kufanyiwa upasuaji, miili ya watoto mapacha waliouawa katika kijiji cha Dololo Boji kaunti ndogo ya Dukana katika kaunti ya Marsabit. Ni agizo ambalo limetolewa na hakimu mwandamizi wa mahakama ya Marsabit, Simon Arome ambaye ameagiza shughuli hiyo kufanyika katika muda wa[Read More…]

Read More

Kituo cha kuvutia watalii cha Illeret Footprint chazinduliwa rasmi.

Wito umetolewa kwa wakaazi wa Marsabit kutembelea vituo mbalimbali vya watalii hapa jimboni ili kuimarisha uchumi wa jimbo. Kwa mujibu wa waziri wa jinsia na utalii katika kaunti ya Marsabit, Jeremiah Lendanyi, ni kuwa kaunti ya Marsabit ina vivutio vingi vya watalii na ambavyo vinaweza kuimarisha uchumi wa jimbo hili,[Read More…]

Read More

Padre Francisco (Frank) Terragni kupumzishwa hiyo kesho Alhamisi….

Jimbo katoliki la Marsabit linasikitika kutangaza kifo cha Padre Francisco (Frank) Terragni kilichotokea tarehe 17 Januari 2025 katika Hospitali ya Huruma kule Nanyuki Akidhibitisha taarifa hiyo Askofu wa Jimbo Katoliki la Marsabit Mhashamu Baba Askofu Peter Kihara amesema kwamba mwili wa marehemu utawasili na kupokelewa Marsabit hii leo tarehe 22 Januari[Read More…]

Read More

FKF tawi la Marsabit kuweka mikakati kuinua hadhi ya michezo jimboni….

Shirikisho la soka nchini FKF tawi la Marsabit linaweka mikakati kambambe ya kuhakikisha kwamba maswala ya michezo yanaendelezwa kiutalamu na kwa mipangilio inayofaa. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa FKF tawi la Marsabit Godana Roba ni kuwa wanapanga kukutana kama washikadau mbalimbali katika sekta hiyo ili kulaini mambo pamoja na utendakazi[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter