The Duke, Duchess Of Sussex Reportedly Won’t Be Invited To Duke Of Westminster’s Wedding.
March 12, 2024
Na Samwel Kosgei, Wizara ya afya kaunti ya Marsabit imetangaza uwepo wa visa 10 vya ugonjwa wa macho mekundu (red eyes) ambao mwezi jana ulitangazwa kuwepo kaunti ya Mombasa. Wizara hiyo ikiongozwa na waziri wa afya Grace Galmo imesema kuwa dalili ya ugonjwa huo ni ikiwemo kuhisi uchungu machoni, kufura[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Serekali imetakiwa kutwa silaha haramu zinazomilikiwa na wenyeji katika eneo la Keiyo Valley linalokumbwa na changamoto ya wizi wa mifugo ili Amani idumu katika sehemu hiyo. Wito huo umetolewa na askofu wa kanisa katoliki katika dayosisi ya Eldoret Dominic Kimengich. Akizungunza na vyombo vya habari Askofu Kimengich[Read More…]
Cardinal Secretary of State Pietro Parolin speaks to Vatican Media about the outbreak of war in the Holy Land, saying the priority is the release of hostages and affirming that the Holy See is willing to mediate. By Andrea Tornielli & Roberto Cetera (Vatican News) “The Holy See is ready[Read More…]
Na Samuel Kosgei Idara ya polisi mjini Marsabit imesema kuwa imeweka mikakati mwafaka ya kukomesha uhalifu na wizi ambao umeonekana kuongezeka mjini Marsabit siku za hivi karibuni. Afisa mkuu wa kituo cha polisi cha Marsabit Edward Mabonga ameambia shajara kuwa tayari polisi wana habari kuhusu malalamishi hayo ya umma na[Read More…]
Na Samuel Kosgei Askofu wa kanisa katoliki jimbo la Marsabit Peter Kihara amepiga marufuku mikutano yote ya kisiasa kufanyika katika uwanja na ukumbi wa kanisa Katoliki mjini Marsabit. Akizungumza alipoongoza misa ya sherehe ya Maria Consolata katika kathidrali ya Marsabit, Askofu Kihara alisema kuwa wema na ukarimu ambao umefanyiwa[Read More…]
Na John Bosco Nateleng Askofu wa Jimbo hili askofu Peter Kihara amewashauri wanafunzi dhidi ya kujihusisha na wizi wa mitihani. Akihutubu katika shule ya wasichana ya Bishop Cavallera huko Karare wakati wa hafla ya kuwazawadi wanafunzi waliofanya vyema katika mtihani wa KCSE mwaka jana, askofu Kihara alisema kwamba ni sharti[Read More…]
Na Isaac Waihenya na John Bosco, Wito unazidi kutolewa kwa wakaazi wa eneo bunge la Laisamis kufuata maagizo ya wizara ya afya ili kujizuia dhidi ya ugonjwa wa malaria baada ya kubainika kwa aina mpya ya mbu wanaoaminika kuwa wabaya. Kwa mujibu wa chifu wa eneo la Laisamis Agostino Supeer[Read More…]
Na Isaac Waihenya na John Bosco, Shule 26 katika kaunti ya Marsabit zitanufaika na mradi unaoendeshwa na wizara ya elimu wa kuboresha shule mbambali hapa nchini (SEQIP). Kwa mujibu wa msimamizi wa kiwango cha ubora wa elimu katika kaunti ya Marsabit Mumas Wanyama ni kuwa shule 14 kutoka eneo bunge[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Waziri wa afya kaunti ya Marsabit Grace Galmo amesema kuwa wizara yake bado inasubiri ripoti kamili kuhusiana na aina mpya ya mbu hatari waliotambulika katika maeneobunge ya Saku na Laisamis na taasisi ya utafiti wa matibabu chini KEMRI ili waweze kuchukua hatua inayofaa baada ya kushauriwa na[Read More…]
Na Samuel Kosgei, Huenda sasa ikawa afueni kwa wagonjwa katika hospitali za rufaa za Marsabit baada ya serikali kupokea dawa kutoka kwa mamlaka ya kusambaza dawa nchini KEMSA. Akizungumza baada ya kupokea dawa hizo katika hospitali ya rufaa ya Marsabit, waziri wa afya Grace Galmo amesema kuwa dawa hizo zimegharimu[Read More…]