Diocese of Marsabit

VIJANA KAUNTI YA MARSABIT WASHAURIWA KUSHIRIKI KATIKA HALFA AMBAZO ZINAANGAZIA NENO LA MUNGU.

Na JB Nateleng, Vijana wa kanisa Katoliki hapa jimboni Marsabit wameshauriwa kuwa na mazoea ya kushiriki katika ibada pamoja na halfa ambazo zinaangazia neno la Mungu. Ni ushauri ambao umetolewa na mwenyekiti wa vijana wa katoliki eneo la Sagante, Parokia ya Cathedrali, jimboni Marsabit, Gabriel Galgallo Boru ambaye amesema kuwa[Read More…]

Read More

WITO UMETOLEWA KWA WASICHANA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT KUJIUNGA NA UTAWA ILI KUINDELEZA INJILI.

Na Moses Sabalua,   Wito umetolewa kwa wasichana hapa jimboni Marsabit kujiunga na mashirika mbalimbali ya watawa na baadea kutumika kuendeleza ijili. Akizungumza na idhaa hii mtawa kutoka shirika la Fransiscan Sisters of St Joseph, mtawa Monica Anastacia amesema kuwa shirika hilo lipo tayari kuwakaribisha  wasichana wote ambao wangetaka kujiunga na[Read More…]

Read More

VIJANA WA KANISA LA KIANGILIKANA KAUNTI YA MARSABIT, WARAI VIJANA NCHINI KUTOKUBALI KUTUMIWA NA WANASIASA KUVURUGA AMANI.

Na Joseph Muchai, Viongozi wa vijana kutoka Parokia mbalimbali za kanisa la kiangilikana la ACK daosisi ya Marsabit wameelezea uwezo wa vijana kuboresha uongozi wa nchi siku za usoni. Wakizungumza na meza ya habari ya Radio Jangwani vijana hao wameonesha imani yao kuwa vijana wana uwezo wa kubadilisha siasa na uongozi[Read More…]

Read More

CHUO KIKUU CHA THARAKA NITHI CHATOA HAMASA KWA WANAFUNZI, MARSABIT KUHUSU KOZI WATAKAZOSOMEA WANAPOJIUNGA NA VYUO VIKUU.

NA JB Nateleng Kuna haja ya kutoa hamasa kwa wanafunzi kuhusu kozi watakazozifanya wanapojiunga na vyuo vikuu ili kupunguza idadi ya wanafunzi wanaobadili ama kuacha kuacha kozi walizoteuliwa kusomea katika vyuo vikuu. Haya ni kwa mujibu wa Mwalimu Mark Murugu ambaye ni mkufunzi kutoka chuo kikuu cha Tharaka. Akizungumza na[Read More…]

Read More

VIJANA MARSABIT WATAKIWA KUASI MCHEZO WA KAMARI.

Wakaazi wa Marsabit wametahadharishwa kuhusu hatari za mchezo wa kamari, ambao umeanza kuathiri maisha ya vijana na hata uhusiano wa ndoa katika jamii. Akizungumza na idhaa hii, Sheikh Mohamed Nur, kiongozi wa kidini katika msikiti wa Jamia kaunti ya Marsabit, amesisitiza kwamba kamari ni haramu katika dini na kwamba ni[Read More…]

Read More

NCCK TAWI LA MARSABIT YAWARAI WANANCHI KUDUMISHA AMANI NA UPENDO

Baraza la makanisa nchini NCCK tawi la Marsabit limetoa wito kwa Wakenya kudumisha Amani na upendo. Kwenye arafa iliyotumwa kwa vyombo vya habari na kusomwa na mwenyekiti wa kanisa la PCEA mjini Marsabit Elijah Kamitha, NCCK imetoa wito kwa wananchi kukumbatia Amani sawa na maelewano ili kueneza upendo katika jamii. Baraza hilo[Read More…]

Read More

VIONGOZI KORR, WATUMAI SAFARI YA KINDIKI ENEO HILO ITAWAFAIDI

VIONGOZI waliochaguliwa katika eneobunge la Laisamis kaunti ya Marsabit wametaja safari ya naibu rais Kithure Kindiki siku ya Jumapili kuwa yenye manufaa kwao ikizingatiwa ahadi ambazo Kindiki alizitoa kwa wakaazi hao. MCA wa Korr/Ngurnit Daud Tomasot akizungumza na radio jangwani ameonesha Imani kuwa ahdi ya kaunti ndogo ya Korr itawafaa[Read More…]

Read More

Jimbo katoliki la Marsabit laadhimisha miaka 60 ya kueneza Injili.

KANISA katoliki jimbo la Marsabit Jumamosi ilisherehekea miaka 60 ya kueneza injili, maadhimisho iliyofanyika kanisa katika kanisa la Cathedral mjini Marsabit. Misa takatifu iliongozwa na Mhashamu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Nyeri Anthony Muheria. Kwenye mahubiri yake Askofu Muheria alisema kuwa ni jukumu la wakristu kusimama kidete katika imani[Read More…]

Read More

Mfumo wa kutatua kesi nje ya mahakama (AJS) wazinduliwa rasmi,Marsabit.

Mfumo wa kutatua kesi nje ya mahakama maarufu Alternative Justice System AJS umezinduliwa rasmi leo hii katika kaunti ya Marsabit. Uzinduzi huo umeongozwa na Jaji Mkuu Martha Koome aliyeandamana na jaji wa Mahakama kuu ya Marsabit Jesse Nyagah pamoja na Jaji wa mahakama ya Rufaa Fred Ochieng. Akizungumza katika hafla[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter