Security Updates

security updates

Mshukiwa Wa Wizi Wa Mifugo Aliyenaswa Na Maafisa Wa Polisi Siku Ya Ijumaa Katika Lokesheni Ya Mata Arba Eneo La Saku Akosa Kufikishwa Mahakamani Hii Leo Kama Ilivyotarajiwa.

By Mark Dida, Mshukiwa wa wizi wa mifugo aliyenaswa na maafisa wa polisi siku ya ijumaa kufuatia makabiliano na wahalifu lokesheni ya Mata Arba eneo la Saku hakufikishwa mahakamani hii leo ilivyotarajiwa. Kulingana na OCPD wa Marsabit Central Johnston Wachira ni kuwa idara ya Upelelezi DCI imeomba mahakama siku zaidi[Read More…]

Read More

Polisi Waendelea Na Uchunguzi Wa Kisa Ambapo Mhudumu Wa Boda Boda Aliuwawa Na Pikipiki Yake Kuchukuliwa Katika Mtaa Wa Harosa Lokesheni Ya Butiye Huko Mjni Moyale Jana Jioni.

By Mark Dida, Polisi wa kenya kwa ushirikiano na wale wa nchi jirani ya Ethiopia wanaendelea na uchunguzi wa kisa ambapo mhudumu wa boda boda aliuwawa na pikipiki yake kuchukuliwa katika mtaa wa Harosa lokesheni ya Butiye huko mjni Moyale jana jioni. Kulingana na naibu kamishna wa moyale William ole[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter