Author: Editor

Vyuo vya kiufundi TVETS vyapendelewa na wanafunzi kuliko vyuo vikuu

Naibu mkurugenzi katika idara ya  elimu ya kiufundi kaunti ya Marsabit Robert Lenguyo amesema kuwa siku hivi karibuni imeibuka kuwa wanafunzi wengi wanapendelea masomo ya vyuo  vya anuwai na kiufundi kuliko vyuo vikuu kutokna na ujuzi anayopata mwanafunzi. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya simu Lenguyo amesema kuwa wanafunzi[Read More…]

Read More

Mishahara na huduma nyingine za kawaida imetengewa 67% ya bajeti, maendeleo asilimia 33% pekee mwaka wa kifedha 2025/26 Marsabit.

Na Samuel Kosgei Asilimia 67% ya bajeti nzima ya jimbo la Marsabit itatumika kulipia mishahara na huduma nyingine za kawaida huku asilimia 33 pekee ikitengewa maendeleo. Hii ni kulingana na makadario ya bajeti ya mwaka wa kifedha 2025/26 iliyowasilishwa bungeni na serikali ya Marsabit kupitia wizara ya fedha na mipangilio[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter