February 3, 2023
Kuchimba mabwawa makubwa ili kuyateka maji ya mvua ndio suluhu pekee la uhaba wa chakula Marsabit. – Asema Julius Gitu
Na Samuel Kosgei, MKURUGENZI wa idara kilimo kaunti ya Marsabit Julius Gitu amesema kuwa suluhu pekee ya kuweza kuzalisha chakula cha kulisha wananchi wa marsabit siku za usoni ni kuweka mikakati ya kuchimba mabwawa makubwa ili kuyateka maji ya mvua. Anasema mara kwa mara maji mengi yamekuwa yakipotea pindi mvua[Read More…]