WAKAAZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI MSIMU HUU WA MVUA
April 23, 2025
regional updates and news
Na Joseph Muchai, Zoezi la kutoa chanjo ya polio kwa watoto katika kaunti ya Marabit imeng’oa nanga hii leo. Chanjo hiyo inalenga watoto wa umri wa chini ya miaka 11 katika maeneo bunge yote manne ya kaunti ya Marsabit. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya simu mratibu wa huduma[Read More…]
Na Moses Sabalua, Vijana katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kutumia mitandao ya kijamii ipasavyo. Kwa mujibu wa mchungaji wa kanisa la Kenya Assembly of God (KAG) mjini Marsabit Joseph Mwendwa, ni kuwa vijana wanauwezo wa kutumia mitandao kwa njia ambayo inawafaidi na wala sio kueneza chuki au maovu. Akizungumza na[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Idara ya watoto katika kaunti ya Marsabit imekemea visa vya unajisi ambavyo vimetajwa kuongezeka katika maeneo kadhaa kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa afisa wa idara ya watoto katika kaunti ya Marsabit Mukanzi Leakey ni kuwa baadhi ya visa hivi vinachangiwa na baadhi ya jamii kuendeleza tamaduni[Read More…]
Na Isaac Waihenya, Siku kama ya Leo miaka 19 iliyopita, Taifa liliwapoteza viongozi pamoja na wanaharakati waliokuwa kwenye ziara ya Amani kaunti ya Marsabit. Biwi na simanzi lilitanda katika kaunti ya Marsabit amabayo kipindi hicho ikijulikana kama wilaya ya Marsabit, baada ya kuwapoteza viongozi mahiri ambao walikuwa na maono ya[Read More…]
Na JB Nateleng, Ili kuepukana na ugonjwa wa kisukari ni sharti tubadili mtindo wa maisha kwa kufanya mazoezi kila mara. Haya ni kwa mujibu wa afisa anayeshughulika ugonjwa wa kisukari kisukari katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Steve Sereti. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya Kipekee, Sereti ameelezea kwamba[Read More…]
Na Joseph Muchai, Viongozi wa vijana kutoka Parokia mbalimbali za kanisa la kiangilikana la ACK daosisi ya Marsabit wameelezea uwezo wa vijana kuboresha uongozi wa nchi siku za usoni. Wakizungumza na meza ya habari ya Radio Jangwani vijana hao wameonesha imani yao kuwa vijana wana uwezo wa kubadilisha siasa na uongozi[Read More…]
Na Caroline Waforo, Serikali imetakiwa kuhakikisha kuwa inabuni nafasi za ajira kwa vijana nchini ili kutatua nyingi za changamoto zinazoshuhudiwa miongoni mwao katika kaunti ya Marsabit na hata kitaifa. Ni wito ambao umetolewa na mwanaharakati wa kutetea haki za kinadamu katika eneo la Loglogo Alice Leparie. Leparie ambaye amezungumza na[Read More…]
Na Joseph Muchai, Matumizi mabaya ya mitandao,utumiaji wa dawa za kulevya na ukosefu wa ajira ni miongoni mwa maswala yanayoajiri umoja wa jamii. Hayo yamewekwa wazi katika kongamano la kila mwaka la vijana wa kanisa la kiangilikana hapa jimboni Marsabit. Akiongea na idhaa hii Askofu wa wa kanisa la kiangilikana[Read More…]
Na Caroline Waforo, Visa vya unajisi pamoja na ulawiti vinaendelea kuongezeka katika eneo bunge la Moyale kaunti ya Marsabit. Hili limebainika kutokana na ongezeko la kesi zinazohusiana na unajisi na ulawiti katika mahakama ya Moyale huku jumla ya kesi 10 zikisajiliwa katika mahakama hiyo katika kipindi cha chini ya miezi[Read More…]
Na Moses Sabalua, Afisa mkuu anayesimamia idara ya kutoa na kuhifadhi damu katika hospitali ya rufaa ya Marsabit Diba Molu, amesisistiza haja ya wananchi kujitolea mara kwa mara kutoa damu ili kuokoa maisha hapa jimboni. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya kipekee Diba amesema kuwa idara hiyo[Read More…]