Wavuvi na watumiaji wa ziwa turkana watakiwa kuwa waangalifu wakati wa upepo mkali ili kuepuka ajali.
NA Nyabande Orwa Wavuvi na watu wanaotumia Ziwa Turkana wametakiwa kuwa waangalifu ili kuepuka ajali…
wakristu watakiwa kuimarisha umoja na amani wiki hii kwa manufaa ya kujenga jamii imara.
Na JB Nateleng Huku kanisa likianza wiki ya Umoja wa wakristu wiki hii, Wito wa…
Kaunti ya Marsabit miongoni mwa kaunti zitakazonufaika na umeme wa nishati ya jua kupitia mradi wa KOSAP
NA Caroline Waforo Kaunti ya Marsabit ni miongoni mwa kaunti 14 nchini zinazotarajiwa kunufaika na…
Watu zaidi ya elfu 128 marsabit wanahitaji msaada wa lishe na maji kutokana na kufeli kwa mvua za msimu uliopita.
NA Samuel Kosgei Mamlaka ya kitaifa ya kukabili makali ya ukame NDMA tawi la Marsabit…
Rais Ruto ampongeza Museveni kwa kuchaguliwa tena, huku akisifu ukomavu wa demokrasia nchini Uganda
Na Samuel Kosgei Rais William Ruto amemtumia ujumbe wa pongezi Rais mteule wa Uganda Yoweri…
Vijana Marsabit wahimizwa kukubali miito ya injili
NA JB Nateleng Vijana katika katika kaunti ya Marsabit wamehimizwa kukubali miito ya kumtumikia Mwenyezi…
Wananchi mpakani mwa Kenya na Ethiopia watakiwa kudumisha amani baada ya mauaji wa watu 6, Illeret
NA Caroline Waforo Wito wa amani umetolewa kwa wananchi wanaoishi mpakani mwa Kenya na Ethiopia…
Maafisa wa kliniki marsabit waanza mgomo baada ya mazungumzo kugonga mwamba
NA Sabalua Moses Maafisa wa kliniki kaunti ya Marsabit wamerudi mgomoni siku ya tatu mfululizo…
Uchaguzi wa 2027 utazingatia utendakazi wala si chama wala kabila,wasema vijana marsabit.
Na Nyabande Orwa Vijana katika kaunti ya Marsabit wamesema katika uchaguzi mkuu wa 2027 watapiga…
Wandani wa Ukur Yattani wapinga UPIA kuhusishwa na upinzani.
Na Nyabande Orwa Mwakilishi wa wadi ya Karare katika kaunti ya Marsabit, Joseph Leruk, amepinga…
Wito wa kuimarisha elimu ya mtoto wa kike watolewa, Marsabit
Na JB Nateleng Licha ya kaunti ya Marsabit kukaribia kurekodi usawa wa kijinsia miongoni mwa…
Watu watatu wakamatwa kwa wizi wa mifugo Loiyangalani
Na Joseph Muchai Watu watatu wamekamatwa na maafisa wa polisi wakihusishwa na wizi wa mifugo…