Featured Stories / News

National Land Commission confirms Kabale Tache Arero as the new CEO

By Machuki Dennson The National Land Commission has officially appointed Kabale Tache Arero as the new Chief Executive Officer following rigorous recruitment process that was concluded yesterday. Up to her confirmation Kabale was the acting Commission’s Secretary/CEO and substantively has been the Director of Human Resource Management & Administration. She[Read More…]

Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM, Laendelea Kusisitiza kwa Serikali Kutojihusisha na Taasisi za Kidini

  Na Samuel Kosgei Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM limeendelea kusisitiza kwamba serikali isijihusishe na taasisi za kidini ikizingatia kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia. Badala yake, SUPKEM imependekeza kuundwa kwa makosa ya kidini ambayo yatatumiwa kutambua watu wanaokwenda kinyume na mafundisho na ambao watakabiliwa na adhabu kulingana na[Read More…]

Akina mama kaunti ya Samburu watakiwa kujihusisha na kilimo cha ufugaji wa nyuki kama njia moja ya kujipatia mapato

Na Samuel Kosegi Akina mama kutoka jamii za wafugaji kaunti ya Samburu wametakiwa kujihusisha na kilimo cha ufugaji wa nyuki ili kufanikisha biashara ya asali kama njia moja ya kujipatia mapato. Haya yalijiri katika maonyesho ya mashirika yasiyokuwa ya serikali ya kuwahamasisha wafugaji kujihusisha na biashara mbali mbali. Wadau wa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter