SEREKALI YA KAUNTI YA MARSABIT YATAKIWA KUWAPIGA JEKI VIJANA NA WANAWAKE ILI KUPUNGUZA KIWANGO CHA UMASKINI.
October 17, 2024
http://https://www.youtube.com/watch?v=wFV2KoE1GSw The late Bishop Ravasi was led to rest on 6th November 2020. He was the Emeritus Bishop of Marsabit Diocese. This Video was produced by Radio Jangwani / Baragumu ya Faraja.
Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya kumaliza umaskini duniani,serekali ya kaunti ya Marsabit pamoja na ile ya kitaifa zimetakiwa kuwapiga jeki vijana na wanawake haswa walio katika sekta ya kilimo ili kupunguza kiwango cha umaskini katika kaunti ya Marsabit. Kulingana na mkurugenzi wa shirika la maendeleo endelevu, Initiative for Progressive Change[Read More…]
Zaidi ya asilimia 60 ya mashamba katika kaunti ya Marsabit yameandaliwa kwa ajili ya zoezi la upanzi. Kwa mujibu wa afisa wa kilimo katika kaunti ya Marsabit Dub Nura ni kuwa zoezi hilo limeafanikishwa na ushirikiano kati ya idara ya kilimo jimboni Marsabit na mashirika mengine yasiyokuwa yakiserekali hapa jimboni.[Read More…]
Asilimia 47.9 ya kaya katika kaunti ndogo ya Saku zinamiliki vyoo na kuvitumia katika kuzuia utupaji wa kinyesi ovyo maarufu Open Defecation Free (ODF) Haya ni kwa mujibu wa afisa wa afya katika kaunti ndogo ya Saku Gobba Boru. Akizungumza kwenye hafla ya kuadhimisha siku ya usafi wa mkono duniani iliyoandaliwa katika[Read More…]
Afisa mkuu katika idara ya utamaduni na jinsia kaunti ya Marsabit Anna Maria Denge amewapongeza Arbe Roba Gocha na Leah Lesila ambao walipeperusha bendera ya Marsabit kwenye mashindano ya watu wanaoishi na ulemavu ya Nondo Desert Wheel Chair yaliyoandaliwa mnamo siku ya jumamosi katika kaunti ya Isiolo. Arbe Roba Gocha[Read More…]
Huku mabadiliko makubwa kwenye mamlaka ya afya ya jamii (SHA) yakizidi kushuhudiwa kimfumo, wananchi wametakiwa kuzidi kujisajili ili kuweza kupokea matibabu katika hospitali mbalimbali jimboni Marsabit. Meneja wa bima ya (SHIF) eneo pana la Saku, North Horr na Laisamis, Mutuma Kaaria amewataka wananchi kuzidi kujiandikisha wao na familia zao ili[Read More…]
Jamii imetakiwa kuripoti visa vyovyote vya kutiliwa shaka ambavyo vinaweza pelekea kuwepo kwa mafunzo ya itikadi kali katika kaunti ya Marsabit. Kwa mujibu wa ACC wa Marsabit Central Martin Buluma ni kuwa jamii ifaa kuripoti visa vya watu kutoweka ili kuhakikisha kuwa idara ya usalama inafuatilia na kuzuia wao kupewa[Read More…]
Naibu Rais Rigathi Gachagua, amepata pigo lingine baada ya Mahakama Kuu kukataa kuzuia Seneti isisikilize hoja ya kumng’oa mamlakani. Hii inamaanisha kwamba Gachagua atajitetea dhidi ya tuhuma zilizowasilishwa kama msingi wa kumng’oa mamlakani wakati hoja hiyo itakapowekwa mbele ya Seneti siku ya Jumatano na Alhamisi, kulingana na mpango uliopo. Jaji[Read More…]
Wakaazi wa Marsabit watakiwa kudumisha usafi wa mikono ili kujikinga na magonjwa Wito wa kudumisha usafi wa mikono ulitawala katika hafla ya kuadhimisha siku ya usafi wa mkono ulimwenguni. Akihutubia wakazi wa kaunti ndogo ya Saku, katika zahanati ya Jirime hapa kaunti ya Marsabit, Afisa mkuu wa afya ya umma,[Read More…]
Tatizo la kuvuja damu kwa wingi baada ya kujifungua miongoni mwa kina mama wajawazito, maarufu Postpartum Hemorrhage (PPH) ndio chanzo kikuu cha vifo miongoni mwa kina mama wanapojifungua. Haya yamewekwa wazi na mshirikishi wa idara ya afya ya uzazi kaunti ya Marsabit Halakhe Jarso ambaye amezungumza na Shajara Ya Radio[Read More…]
Wahudumu wa afya kaunti ya Marsabit wameonywa dhidi ya kuendeleza dhuluma za kijinsia kama vile ukeketaji. Wahudumu hao wa afya wametakiwa kulipa kipao swala la kulinda haki za binadamu na kuwasaidia katika kukomesha dhuluma za kijinsia. Akizungungumza na idhaa hii baada ya zoezi la kuwapa hamasa wahudumu wa afya hapa[Read More…]