Latest News
Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi (NCTC) kimetoa wito kwa viongozi Marsabit kuepuka kuchochea migogoro inayoweza kutumiwa na makundi ya kigaidi.
Na Silvio Nangori Viongozi katika Kaunti ya Marsabit wametakiwa kujiepusha na kutumia wananchi katika kuchochea…
Ukosefu wa ushahidi watajwa kuangusha kesi za dhuluma Marsabit.
Mashahidi kutoka upande wa waathiriwa wanapaswa kujitokeza mahakamani ili kusaidia upatikanaji wa haki katika kesi…
KWS yahimiza wananchi kuepuka uharibifu wa uzio wa mbuga ya wanyamapori ya Marsabit.
Na Caroline Waforo Wakaazi walio karibu na mbuga ya wanyamapori ya Marsabit wamehimizwa kujiepusha na…
wakazi wa Kaunti ya Marsabit wapinga mapendekezo ya kufungwa kwa shule za bweni nchini
Na Abdiaziz Yusuf Wakati mjadala kuhusu mustakabali wa shule za bweni ukiendelea nchini kufuatia visa…
Mwanaume mmoja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa simu
Na Mwandishi wetu Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 31 amefikishwa katika mahakama ya Marsabit…
Washikadau Marsabit wajadiliana hatma ya shule za upili za bweni.
Na Nyabande Orwa Mchanganuzi wa masuala ya elimu kutoka kaunti ya Marsabit, Profesa Chris Galgalo,…
Ukame na upepo mkali kutarajiwa sehemu kubwa ya Marsabit wiki hii.
Na Nyabande Orwa Hali ya hewa katika kaunti ya Marsabit inatarajiwa kuwa ya joto na…
Vijana Marsabit wahimizwa kuepuka kushawishiwa kujiunga na makundi ya kigaidi
Na Silvio Nangori Vijana katika Kaunti ya Marsabit wamehimizwa kuwa macho na kujiepusha na ushawishi…
Wanaskauti Marsabit wakongamana Moyale kwa mafunzo na mashindano.
Na JB Nateleng Zaidi ya wanaskauti 300 kutoka maeneo mbalimbali ya kaunti ya Marsabit wamekusanyika…
Mifugo 251 iliyoibwa Loiyangalani yarejeshwa
Na Caroline Waforo Maafisa wa usalama wamefanikiwa kurejesha kondoo na mbuzi 251 waliokuwa wameibwa na…
Vikundi vya akina mama Moyale vyanufaika na kongamano la VSLA 2026
NA JB Nateleng Zaidi ya vikundi 30 vya akina mama katika eneo la Moyale vimenufaika…
Mwanaume mmoja ahukumiwa kifungo cha maisha gerezani kwa kumnajisi msichana wa miaka 11, Moyale
Mahakama ya Moyale imemhukumu mwanaume mmoja kifungo cha maisha gerezani kwa kumnajisi msichana mwenye umri…