Highlights

Zoezi la usajili wa vitambulisho kuanza  rasmi kesho eneo la Laisamis

Na Sabalua Moses

Wito umetolewa kwa wananchi kutoka Laisamis  kutafuta vitambulisho katika zoezi litakaloanza hiyo kesho.

Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu chifu wa Laisamis  Agostine Super amewataka wakazi kujitokeza katika zoezi hilo litakalo anza kesho na kuendelea kwa  miezi mitatu zijazo.

Aidha,   supeer amesema tayari serikali imetoa vitambulisho kwa wale waliotuma maombi huku zikisubiri kuchukuliwa.

Post Comment