Featured Stories / News

Khaligraph Jones

 Khaligraph Jones releases new album

By Adelaide, Khaligraph Jones has finally released his 4th anticipated studio album. On his social media handles, the OG said he was proud to reveal his new album dubbed ‘Invisible Currency’ via Boomplay. “4 years later, we are finally Live on Boomplay… lets run up the streams, Invisible Currency lets[Read More…]

Wanasiasa hawataruhusiwa kuendesha shughuli zozote shuleni wakati huu wa mtihani wa kitaifa.- Waziri Magoha

Na Silvio Nangori, Kwa mara nyingine tena waziri wa Elimu Profesa George Magoha amesisitiza kwamba hakutakuwepo na wanasiasa watakaoruhusiwa kuendesha shughuli zozote shuleni wakati huu wa mitihani wa kitaifa. Magoha amewahakikishia walimu na wanafunzi kwamba usalama umeimarishwa katika maeneo ya mitihani ili kuhakikisha kwamba shughuli zote zinazofanyika bila tashwishi yoyote.[Read More…]

Majambazi waliojihami kwa bunduki wasambaratisha shughuli za w KCPE katika eneo la Kapkusum,Muchongoi kaunti ya Baringo.

Na Isaac Waihenya Shughuli za watahiniwa kufanya mtihani wa darasa la nane KCPE zimesambaratika leo mchana katika eneo la Kapkusum,Muchongoi kaunti ya Baringo baada ya majambazi waliojihami kwa bunduki kuingia katika eneo hilo. Watahiniwa wa KCPE katika shule za msingi za Kapchekir na Karne huko Baringo walitoroka shuleni pamoja na[Read More…]

Kim Kardashian

Kim Kardashian is legally single.

By Adelaide, Kim Kardashian is single, again. According to a report published on Tmz yesterday (March 2 2022), Kim has purportedly won her divorce case after a judge granted her request to dissolve her marriage to Kanye West. Kim appeared in court via video link from the privacy of her[Read More…]

Subscribe to eNewsletter