Local Bulletins

regional updates and news

Jamaa Za Waadhiriwa Wa Mkasa Wa Mauaji Ya Wagala Kaunti Wajir Bado Wanadai Haki Miaka 37 Baada Ya Unyama Huo Kufanyika.

By Waihenya Isaac Jamaa za waadhiriwa  wa mkasa wa  mauaji ya Wagala kaunti Wajir bado wanadai haki miaka 37 baada ya unyama huo kufanyika. Wakizungumza jiji Nairobi Katika maadhimisho ya kukumbuka siku ilipotokea mauaji hayo,Jamii ya Degodia ameitaka serekali kuwalipa fidia waadhiriwa kama ilivyopendekezwa na Ripoti ya Kweli haki na[Read More…]

Read More

Mzee Mmoja Amuua Kwa Kumkatakata Mwanawe Mwenye Umri Wa Miaka 43 Kijiji Cha Karugu Kilichoko Eneo La Gikuu Embu Mashariki Kaunti Ya Embu.

By Waihenya Isaac, Hali ya huzuni imekikumba kijiji cha Karugu kilichoko eneo la Gikuu Embu mashariki kaunti ya Embu baada ya mzee mmoja kumuua kwa kumkatakata mwanawe mwenye umri wa miaka 43. Inadaiwa kuwa maremu Alexender Munene aliyekuwa mlevi alikuwa ameenda kutatua mzozo baaina ya wazazi wake,wakati babake mzazi Benjamin[Read More…]

Read More

Serikali Itahakikisha Miradi Yote Ya Kitaifa Imekamilika – Asema Katibu Katika Wizara Ya Mawasiliano Jerome Ochieng

  By Samuel Kosgei. Serikali imesisitiza kuwa itahakikisha miradi yote ya kitaifa imekamilika. Katibu katika wizara ya mawasiliano Jerome Ochieng amesema kuwa serikali imetenga mabillioni ya pesa kwa miradi hiyo na haitaiacha. Akizungumza katika eneo la Mogotio, kaunti ya Baringo, Ochieng amekana madai kuwa juhudi nyingi zimeelekezwa kwa BBI badala[Read More…]

Read More

Maafisa Wa Polisi Kutoka Kambi Ya Mafunzo Ya Kedong Na OCPD Wa Naivasha Waharibu Zao La Bhangi Lenye Thamani Ya Sh Milioni 27.

By Samuel Kosgei, Kitengo cha maafisa wa upelelezi wa kukabiliana na dawa za kulevya, maafisa wa polisi kutoka kambi ya ya mafunzo ya  Kedong na OCPD wa Naivasha wameharibu zao la bhangi lenye thamani ya Sh Milioni 27. Washukiwa 14 ambao walipatikana wakipalilia bhangi hiyo kwenye shamba la zaidi ya ekari[Read More…]

Read More

Shughuli Ya Kuwasajili Makurutu Wa Kujiunga Na Kikosi Cha Jeshi, KDF Imeendelea Leo Katika Kaunti Ya Marsabit Eneo Bunge La Sakuu.

By Adano Sharawe, Shughuli ya kuwasajili makurutu wa kujiunga na kikosi cha jeshi, KDF imeendelea leo katika kaunti ya Marsabit eneo bunge la Sakuu, huku vijana wengi wakikosa nafasi ya kujiunga na kikosi hicho licha ya kuwa na vyeti vinavyohitajika. Luteni Kanali Martin Maluki ambaye ndiye msimamizi wa zoezi hilo[Read More…]

Read More

Mwanamume Mmoja Aaga Dunia Wakti Akichimba Kisima Katika Eneo La Alamanu Mji Wa Mararal Kaunti Ya Samburu.

By Waihenya Isaac, Mwanamume mmoja ameaga dunia wakti akichimba kisima katika eneo la Alamanu mji wa Mararal katika kaunti ya Samburu. Akidhibitisha kisa hicho Kamanda wa polisi katika kaunti ndogo ya Samburu ya kati Alex Rotich amesema kuwa huenda marehemu alifariki kutokana na matatizo ya kupumua kabla afike mwisho wa[Read More…]

Read More

Watu Tisa Wafariki Katika Ajali Iliyotokea Hii Leo Asubuhi Katika Eneo La Soysabu Gilgil Kwenye Barabara Kuu Ya Nakuru Kuelekea Nairobi.

  By Waihenya Isaac, Watu tisa wamefariki katika ajali iliotokea hii leo asubuhi  katika eneo la Soysabu GilGil kwenye barabara kuu ya Nakuru kuelekea Nairobi. Ajali hiyo iliyohusisha Matatu ya kampuni ya Mololine na Lori ilifanyika karibu na hospitali ya St Mary’s Ambapo tisa hao walifariki papo hapo. Akidhibitisha Kisa[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter