KOSH UNITED KUTOKA KITURUNI NDIO MABINGWA WA TAJI LA NAPO CONSERVATIONS CUP MWAKA WA 2025.
April 25, 2025
regional updates and news
Shirika lisilo la kiserekali la Nature and People as One NaPo limetoa mafunzo ya jinsi la kulinda msitu na rasirimali zingine zilizopo katika kaunti ya Marsabit kwa wanachama wa chama cha kuhifadhi misitu katika eneo bunge la Saku (Saku CFA). Akizungumza baada ya mkao wa leo, Bonface Hargura afisa kutoka[Read More…]
Kiu ya elimu inaonekana kuisakama idadi kubwa ya watu wazima katika kaunti ya Marsabit haswa kina mama ambao wanaonekana kutafuta huduma za masomo katika taasisi za elimu ya Gumbaru. Kutokana na kiu na hitaji la baadhi ya kina mama kusoma ili kujitengemea kimaisha, idadi kubwa ya akina Mama imejisajili katika[Read More…]
Hali ngumu ya uchumi imechangia changamoto wanayopitia wanawake katika kaunti ya Marsabit ambayo inasababisha mavurugano katika familia. Haya ni kwa mujibu wa mtetezi wa haki za kibinadamu kutoka shirika la MWADO, Dale Ibrahim. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee, Dale amesema kuwa mabadiliko ya hali ya hewa imechangia pakubwa[Read More…]
Idara ya usalama inashirikiana na idara ya elimu katika eneo la Loiyangalani ili kuhakikisha kuwa wanafunzi wamefanya mitihani yao ya kitaifa bila tatizo lolote. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya simu naibu kamishna wa eneo la Loiyangalani Stanley Kimanga amesema kuwa kwa ushirikiano na wakazi pamoja na idara ya[Read More…]
Tutawakamata wazee ambao wataendeleza ndoa za mapema katika eneo la Loiyangalani. Haya ni kwa mujibu wa naibu kamishna wa eneo la Loiyangalani Stanley Kimanga. Kimanga amesema kuwa ni jukumu la wazee kulinda haki ya mtoto msichana na kuwaepusha na mila potovu ambayo imepitwa na wakati. Akizungumza na idhaa hii kwa[Read More…]
HUKU taifa likiwa limezama kwenye mjadala wa mgogoro wa uongozi kati ya rais William Ruto na Rigathi Gachagua wito wa amani na utulivu unazidi kutolewa na viongozi wa kidini. Askofu wa kanisa la kianglikana kaunti ya Marsabit Daniel Wario Qampicha ameirai pande zote mbili zinazozona kusitisha malumbano yao kwani hali[Read More…]
Baadhi ya viongozi wa kidini nchini wamekosoa visa vya utekaji nyara nchini wakisema vinaendelea kuongezeka. Wakiongozwa na Kiongozi wa dini ya Kiislamu Famau Mohamed Famau na Askofu wa kanisa Katoliki Dayosisi ya Malindi Willybard Lagho ambao kauli zao zimejiri kufuatia utekaji nyara wa raia wa Uturuki wamesema utekaji nyara utasababisha[Read More…]
Wazazi washauriwa kuasi miendendo ambayo inasababisha wao kutelekeza majukumu ya kuwalea wanawao. Kwa mujibu wa mchungaji wa kanisa la PEFA hapa jimboni Marsabit Daudi Wako ni kuwa wazazi wanafaa kuhakikisha kuwa wanawao wanapokea malezi bora wakati huu wa likizo. Akizungumza na idhaa hii kwa njia ya kipekee,Wako ameelezea kuwa ni[Read More…]
Chifu wa eneo la Laisamis Agostino Supeer ametoa onyo kali kwa wazazi wanaopania kuwakeketa au kuwaoza watoto wao wakati wa likizo akisema kuwa watakaopatikana wakiendeleza uovu huo watachukuliwa hatua kali za kisheria. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya simu,chifu Agostino ameweka wazi kuwa baadhi ya wazazi hutumia kipindi cha[Read More…]
Wito wa amani umeendelea kutolewa kwa wakaazi jimboni Marsabit. Wakizungumza hapo jana wakati wa sherehe ya siku kuu ya Mashujaa iliyoandaliwa katika eneo la Kubi Dibayu wadi ya Sagante Jaldesa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit, baadhi ya wazee wanachama wa kamati ya usalama waliwapongeza wakaazi jimboni kwa kuiitikia[Read More…]