DORIA YAIMARISHWA KATIKA MGODI WA DABEL HUKU BUNDUKI MOJA YA POLISI ILIYOIBIWA IKIPATIKANA.
July 25, 2024
regional updates and news
By Samuel Kosgei, Wazazi Wa Wanafunzi Wanaoishi Katika Kaunti Ndogo Ya Loiyangalani Wameombwa Kufanya Hima Kuwarejesha Wanao Shuleni Kabla Hatua Kali Za Kisheria Kuchukuliwa Dhidi Yao. Naibu Kamishna Wa Eneo Hilo Stephen Mavina Akizungumza Na Kituo Hiki Amesema Kuwa Bado Kuna Changamoto Wanayokumbana Nayo Kuhakikisha Kuwa Watoto Wote Wanarudi Shuleni[Read More…]
By Adho Isacko Katibu Wa Utawala Katika Wizara Ya Elimu Mumina Bonaya Ameitaka Jamii Ya Marsabit Kusitisha Mila Potovu Ya Ukeketaji Wa Wasichana. Akizungumza Hii Leo Katika Shule Ya Msingi Ya Al-Hidaya Hapa Mjinini Marsabit Alipozuru Kutathmini Utayarifu Wa Shule Katika Kaunti Hii, Mumina Amesema Kuwa Wazari Wananaozingatia Mila Mbali[Read More…]
By Adano Sharawe, Kaunti tatu pekee kati ya 47 zilifanikiwa kuafikia shabaha ya ukusanyaji mapato katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2020/21. Ripoti ya mkaguzi wa bajeti Margaret Nyakang’o inaonyesha kuwa kaunti ya Kirinyaga imeafikia makadirio yake katika miezi mitatu ya kwanza baada ya kukusanya jumla ya[Read More…]
By Samuel Kosgei, Hatma Ya Walimu Zaidi Ya Elfu 300 Walio Na Cheti Cha P1 Ambao Hawajaajiriwa Haijulikani Baada Ya Serikali Kuogeza Vigezo Vya Kufuzu Na Cheti Hicho. Mwezi May Mwaka Huu Vyuo Vya Kutoa Mafunzo Kwa Walimu Vinatarajiwa Kuanza Kutoa Huduma Za Diploma Pekee Ili Kuwiana Na Mtalaa Mpya[Read More…]
By Mark Dida, Kamishna Wa Kaunti Ya Marsabit Paul Rotich Amesema Kuwa Idadi Ndogo Ya Kadi Za Huduma Namba Imewasili Kaunti Ya Marsabit Katika Awamu Ya Kwanza Ya Majaribio Uliofanyika Mwaka Wa 2019. Akizungunza Na Kituo Hiki Kamishna Rotich Amesema Kuwa Kufikia Sasa Wameweza Kupokea Kadi 420 Kufikia Tarehe 11[Read More…]
Jaji mkuu David Maraga amestaafu rasmi kama jaji mkuu baada ya kuhudumu kwa miaka minne kama jaji mkuu. Maraga ambaye amehudumu kama jaji wa mahakama kuu kwa zaidi ya miaka 18 atakumbukwa kwa mengi hususani uamuzi wake wakufutilia mbali uchaguzi wa urais wa mwaka wa 2017. Katika hafla ilioandaliwa katika[Read More…]
Na Isaac Waihenya Uteuzi wa Wilson Sossion kama mbunge maalumu njdio chanzo cha migogoro kati ya tume ya kuwaajii walimu nchini TSC na muungano wa kutetea haki za walimu nchini KNUT. Haya ni kwa mujibu wa Katibu Mkuu Wa Muungano Wa Waalimu Nchini KNUT Tawi La Marsabit Lufre Gambare. Gambare[Read More…]
By Waihenya Isaac. Ibada Ya Wafu Ya Mamake Kinara Wa ANC Musalia Mudavadi, Hannah Atsianzale Mudavadi Inaendela Katika Kanisa La Friends Ngong Jijini Nairobi. Atsianzale Aliaga Dunia Disemba 28, 2020 Alipokuwa Akipokea Matibabu Katika Hospitali Ya Nairobi Akiwa Na Umri Wa Miaka 92. Mama Hannah Atsianzale Atapumzishwa Jumamosi Hii Nyumbani[Read More…]
By Adho Isacko Na Mark Dida Mwenyekiti Wa Chama Cha Wazazi Humu Nchini Nicholas Maiyo Amewashauri Wazazi Kaunti Ya Marsabit Ambao Hawajawapeleka Watoto Wao Shuleni Kuhakikisha Wanafunzi Wanaripoti Shuleni Jinsi Walivyoagizwa. Maiyo Amepongeza Wale Ambao Wameitikia Wito Wa Serikali Na Kurejesha Wanao Shuleni. Kwa Mujibu Wa Maiyo, Kufikia Leo Ikiwa Ni[Read More…]
By Mark Dida Na Adho Isacko Kaunti Ya Narok Inaongoza Kwa Asilimia 44 Ya Wanafunzi Walio Walio pata Ujauzito Ikifuatwa Na Kilifi Kwa Asilimia 42. Haya Ni Kwa Mujibu Wa Mwenyekiti Wa Chama Cha Wazazi Nchini Kenya Nicholas Maiyo Ambaye Amesema Kuwa Wote Waliotunga Wanafunzi Mimba Watakamatwa Na Kuadhibiwa. Vile[Read More…]