Kongamano la vijana Marsabit lasisitiza amani na uwajibikaji
Na JB Nateleng Kongamano la vijana wa kaunti ya Marsabit limefanyika leo Jumatano katika eneo…
Naibu Kamisha wa Moyale apiga marufuku ajira kwa watoto mjini humo
Na Caroline Waforo Naibu kamishna wa Moyale kaunti ya Marsabit Benedict Munywoki, amepiga marufuku ajira…
Ukosefu wa elimu kuhusu uhamiaji wachochea kuongezeka usafirishaji haramu wa binadamu
Na Caroline Waforo Ukosefu wa elimu ya kutosha kuhusu uhamiaji umetajwa kuchochea ongezeko la usafirishaji…
Huduma za vitambulisho kuanza Korr Wiki Ijayo.
Na Nyabande Orwa Afisa mkuu anayesimamia huduma za usajili wa vitambulisho katika kaunti ya Marsabit,…
Polisi wazima maandamano ya wakazi wa Nyayo Road wanaolalamikia ubovu wa barabara
Na Nyabande Orwa Polisi wamelazimika kuingilia kati kuzima maandamano ya wakazi wa Nyayo Road katika…
Marsabit miongoni mwa kaunti zinazorekodi vifo vichache vya akina mama wakati wa kujifungua
NA Caroline Waforo Kaunti ya Marsabit imeorodheshwa miongoni mwa kaunti zilizo na idadi ndogo ya…
Wakazi wa wadi ya Loiyangalani wasusia ushirikishwaji wa bajeti ya ziada
NA Nyabande Orwa Wakazi wa wadi ya Loiyangalani, kaunti ya Marsabit, wamesusia mkutano wa ushirikishwaji…
Naomi Waqo asema bado yuko kwenye mbio za ugavana Marsabit 2027
Na Nyabande Orwa Mwakilishi wa wanawake kaunti ya Marsabit, Naomi Waqo Jilo, amesema hatajiondoa kwenye…
Viongozi wa dini Marsabit wataka kampeni za amani kuelekea msimu wa siasa
Na Nyabande Orwa Askofu wa kanisa la Kianglikana dayosisi ya Marsabit, Qampicha Wario Guyo, ametoa wito kwa viongozi…
Wito watolewa kwa wazazi Marsabit kuwa karibu na wanao kipindi cha likizo fupi
Na JB Nateleng Huku wanafunzi wakitarajiwa kurejea nyumbani kwa ajili ya likizo fupi ya muhula…
Wakaazi wa Songa waandamana kulalamikia ubovu wa barabara na huduma duni za afya.
NA JB Nateleng Wakaazi wa eneo la Songa eneobunge la Saku kaunti ya Marsabit wamefanya…
Wadau wa michezo watakiwa kushirikiana kukuza vipaji miongoni mwa vijana Marsabit
Na JB Nateleng Vijana katika kaunti ya Marsabit wametajwa kuwa na vipaji vinavyohitaji kukuzwa kwa…