Wakazi wa Saku walalamikia uhaba wa maji
Na JB Nateleng Wakazi wa eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit wameitaka kampuni ya…
Matumizi ya bidhaa za tumbaku yaongezeka miongoni mwa wanafunzi Marsabit
Na JB Nateleng Matumizi ya bidhaa za tumbaku miongoni mwa wanafunzi katika Kaunti ya Marsabit…
Viongozi wa upinzani waitaka serikali kusikiliza wananchi kuhusu ujenzi wa karantini ya ebola
Na JB Nateleng Hatua ya serikali ya kujenga kituo cha karantini ya Ebola imeendelea kuibua…
Waziri Duale asema kuwa serikali si lazima ishirikishe wananchi kuhusiana na ujenzi kituo cha Ebola Laikipia.
Na JB Nateleng Waziri wa Afya, Adan Duale, amefika mbele ya wabunge kujibu maswali kuhusu…
Washukiwa 9 wa mkasa wa moto katika shule ya utumishi girls wazuiliwa kwa siku 21 zaidi.
Na JB Nateleng Mahakama ya Naivasha imeamuru wasichana tisa kutoka Shule ya Utumishi Girls Academy…
Wasanii katika Kaunti ya Samburu wafanya matembezi ya amani kuhamasisha kuhusu ugonjwa wa figo
Na Silvio Nangori Wasanii katika Kaunti ya Samburu wamefanya matembezi ya amani katika mji wa…
Madaktari Isiolo waanza mgomo baada ya notisi ya siku 21 kumalizika
Na Silvio Nangori Madaktari katika Kaunti ya Isiolo wameanza rasmi mgomo kufuatia kumalizika kwa notisi…
Kituo cha Kitaifa cha Kupambana na Ugaidi (NCTC) kimetoa wito kwa viongozi Marsabit kuepuka kuchochea migogoro inayoweza kutumiwa na makundi ya kigaidi.
Na Silvio Nangori Viongozi katika Kaunti ya Marsabit wametakiwa kujiepusha na kutumia wananchi katika kuchochea…
Ukosefu wa ushahidi watajwa kuangusha kesi za dhuluma Marsabit.
Mashahidi kutoka upande wa waathiriwa wanapaswa kujitokeza mahakamani ili kusaidia upatikanaji wa haki katika kesi…
KWS yahimiza wananchi kuepuka uharibifu wa uzio wa mbuga ya wanyamapori ya Marsabit.
Na Caroline Waforo Wakaazi walio karibu na mbuga ya wanyamapori ya Marsabit wamehimizwa kujiepusha na…
wakazi wa Kaunti ya Marsabit wapinga mapendekezo ya kufungwa kwa shule za bweni nchini
Na Abdiaziz Yusuf Wakati mjadala kuhusu mustakabali wa shule za bweni ukiendelea nchini kufuatia visa…
Mwanaume mmoja afikishwa mahakamani kwa tuhuma za wizi wa simu
Na Mwandishi wetu Mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 31 amefikishwa katika mahakama ya Marsabit…