Featured Stories / News

Marehemu Simeon Nyachae Kupumuzishwa Katika Hafla Ya Siri Mnamo Siku Ya Jumatatu Feb 15 Mwaka Huu Nyumbani Mwake Nyosia Kijijini Nyaribari Chache Katika Kaunti Ya Kisii.

By Jillo Dida Jillo, Aliyekuwa waziri Marehemu Simeon Nyachae atapumuzishwa katika hafla ya siri mnamo siku ya Jumatatu Feb 15 mwaka huu nyumbani mwake Nyosia kijijini Nyaribari Chache katika kaunti ya Kisii. Haya ni kulingana na Taarifa kutoka kamati na Familia lake ikiongozwa na mwanawe Charles Nyachae. Aidha ibada ya[Read More…]

Asilimia 70 Ya Vijana Nchini Watapiga Kura Kuangusha Mpango Mzima Wa (BBI) Ikiwa Ingefanyika Leo Huku Asilimia 30 Wakiunga Mkono.

By Samuel Kosgei, Utafiti mpya uliofanywa sasa unaonesha kuwa asilimia 70 ya vijana nchini watapiga kura kuangusha mpango mzima wa (BBI) ikiwa ingefanyika leo huku asilimia 30 wakiunga mkono. Utafiti huo uliotolewa na Taasisi ya Emerging Leaders Foundation (ELF) Afrika, umefichua kuwa asilimia 40 wavulana wataipinga huku asilimia 21 wakiunga[Read More…]

Wabunge Sylvanus Osoro Na Simba Arati Waorodheshwa Katika Orodha Ya Aibu Iliyotolewa Na Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC.

By Waihenya Isaac, Tume ya uiano na utengamano Nchini NCIC imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia mazishi kama jukwa la kueneza chuki baina ya wananchi. Akizungumza na vyombo vya habari mwenyekiti wa tume hiyo Samuel Kobia amesema kuwa NCIC itahakikisha kuwa wananchi wanadhibitiwa ili kuzuia mgawanyiko Nchini. Kadhalika Tume hiyo imetoa[Read More…]

Mali Ya Dhamani Isiyojulikana Imeteketea Baada Ya Moto Kuchoma Ofisi Na Bunge La Kaunti Ya Garissa.

By Samuel Kosgei, Mali ya dhamani isiyojulikana imeteketea baada ya moto kuchoma ofisi na bunge la kaunti ya Garissa. Inaripotiwa kuwa Moto mkubwa ulianza kuonekana katika jengo hilo majira ya saa mbili unusu asubuhi ikitajwa kuharibu bunge lenyewe na ofisi za idara mbalimbali bungeni. Kulingana na kiongozi wa wachache katika[Read More…]

Gavana Wa Kaunti Ya Kakamega Wycliffe Oparanya Amtaka Kinara Wa ODM Raila Odinga Kuunga Mkono Azma Yake Ya Kuwania Urais Mwaka 2022.

By Waihenya Isaac, Gavana wa Kaunti ya Kakamega Wycliffe Oparanya ameelezea matumaini ya kupata tiketi ya chama cha ODM ili kuwania urais mwaka wa 2022. Oparanya, ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Magavana nchini, amesema atatuma ombi la kuteuliwa ili kujiunga na wale watakaopigania tiketi ya chama hicho ya kuwania[Read More…]

Uongozi Wa Chama Cha Jubilee Katika Bunge La Kaunti Ya Nairobi Umejitenga Na Matamshi Ya Gavana Wa Zamani Wa Nairobi Mike Sonko.

By Adano Sharawe, Uongozi wa Chama cha Jubilee katika Bunge la Kaunti ya Nairobi umejitenga na matamshi ya Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko kuhusu ghasia za uchaguzi mkuu wa mwaka 2017. Wakiongozwa na kiongozi wa wengi wa Bunge hilo Abdi Guyo, wameshutumu matamshi ya Sonko na kumtaka kubeba[Read More…]

Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC Imewaonya Wanasiasa Dhidi Ya Kutumia Matamshi Ya Hustler Na Dynasty.

By Waihenya Isaac, Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC Imewaonya Wanasiasa dhidi Ya Kutumia matamshi ya walala hoi na walala hai kwenye kampenzi zao kwa sababu yanalenga kuwagawanya wakenya. Kwenye Kongamano la kuwahamasisha wanahabari Makamishna wa  tume hiyo Philip Okundi Na Dorcas Kidogo wamesema kuwa matamshi hayo yatawagawanya wakenya[Read More…]

Subscribe to eNewsletter