Gavana wa Marsabit Mohamud Ali apongeza rais Ruto kwa kuondoa hitaji la kupigwa msasa wakati wa kusaka kitambulisho….
February 6, 2025
Na Adano Sharamo Viongozi wa Azimio sasa wanamtaka jaji mkuu Martha Koome kuingilia kati na kutatua mzozo wa kumuondoa mbunge maalum Sabina Chege kwenye wadhifa wa naibu wa kiranja wa wachache katika bunge la kitaifa. Azimio iliafikia uamuzi huo baada ya mpango wa kumuondoa Chege kupingwa na spika wa bunge[Read More…]
By Machuki Dennson The National Land Commission has officially appointed Kabale Tache Arero as the new Chief Executive Officer following rigorous recruitment process that was concluded yesterday. Up to her confirmation Kabale was the acting Commission’s Secretary/CEO and substantively has been the Director of Human Resource Management & Administration. She[Read More…]
Na Samuel Kosgei Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM limeendelea kusisitiza kwamba serikali isijihusishe na taasisi za kidini ikizingatia kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia. Badala yake, SUPKEM imependekeza kuundwa kwa makosa ya kidini ambayo yatatumiwa kutambua watu wanaokwenda kinyume na mafundisho na ambao watakabiliwa na adhabu kulingana na[Read More…]
Na Isaac Waihenya Serekali ya kaunti ya Garissa imeanzisha mikakati ya kukamilisha miradi yote iliyokwama ya ujenzi wa masoko kwa malengo ya kuimarima zoezi la ukusanyaji ushuru. Akizungumza baada ya kuzuru masoko ya Mikono na Suuk Mac D, Gavana wa kaunti hiyo Nathif Jama alisema kando na mipango hiyo ya[Read More…]
Na Samuel Kosegi Akina mama kutoka jamii za wafugaji kaunti ya Samburu wametakiwa kujihusisha na kilimo cha ufugaji wa nyuki ili kufanikisha biashara ya asali kama njia moja ya kujipatia mapato. Haya yalijiri katika maonyesho ya mashirika yasiyokuwa ya serikali ya kuwahamasisha wafugaji kujihusisha na biashara mbali mbali. Wadau wa[Read More…]
Na Samuel Kosgei Wataalamu wa afya wametoa onyo kwamba maradhi yasiyoambukiza (NCD) yanazidi kuwa tishio na kuwa sababu ya pili inayoongoza kwa vifo nchini. Mkutano uliowakutanisha wataalamu wa afya kutoka Kaunti ya Siaya kujadili athari za maradhi yasiyoambukiza katika kaunti hiyo, ulieleza kuwa asilimia 50 ya wagonjwa katika vituo vya[Read More…]
Na Adano Sharamo Waziri wa elimu Ezekiel Machogu amesema wazazi na walezi ndio wenye jukumu la kulipia chakula cha wanafunzi katika shule za msingi na upili. Akihojiwa bungeni Machogu alisema hakuna sheria inayoishurutisha serikali kupitia wizara ya elimu kuwalipia wanafunzi katika shule ya msingi na ile ya upili ngazi ya[Read More…]
Taylor Swift accidentally swallowed a bug midway through her performance during her tour last weekend. Swift swiftly made a few jokes to ease the moment. The viral video made rounds on social media as the video below show courtesy of Midwest Concert Collections Youtube page. “That was delicious,” Swift joked[Read More…]
Nicki Minaj is set to release her first album in five years on October 20. The rapper took to Twitter to announce the release date but didn’t give away any further details, such as the title and track listing. She tweeted “10/20/23. The Album.” 10/20/23The Album 💿🎀 — Nicki Minaj[Read More…]
Burna Boy made history over the past weekend June 3rd, 2023 by selling out 80,0000 capacity London Stadium, in the United Kingdom. The Nigerian artist becomes the first African artist to sell out a stadium in the United Kingdom after 60,000 fans came out to see him perform at the[Read More…]