Author: Sharawy Adano

Wakaazi wa El Gadhe Wataka Viongozi Kuwasaidia Kusafirisha Chakula cha Msaada kilichokwama Maikona

Na Isaac Waihenya Wakaazi wa kijiji cha El-Ghadhe eneo bunge la NorthHorr wamewataka viongozi eneo hilo kuingilia kati na kuwasaidia kusafirisha chakula cha msaada ambacho wanasema kimekwama katika eneo la Maikona. Wakizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu wakaazi hao walisema kuwa wamefahamishwa na DCC wa Maikona[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter