Author: Sharawy Adano

Askofu Peter Kihara Apiga Marufuku Mikutano Yote ya Kisiasa Katika Uwanja na Ukumbi wa Kanisa Katoliki Mjini Marsabit

  Na Samuel Kosgei Askofu wa kanisa katoliki jimbo la Marsabit Peter Kihara amepiga marufuku mikutano yote ya kisiasa kufanyika katika uwanja na ukumbi wa kanisa Katoliki mjini Marsabit. Akizungumza alipoongoza misa ya sherehe ya Maria Consolata katika kathidrali ya Marsabit, Askofu Kihara alisema kuwa wema na ukarimu ambao umefanyiwa[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter