Zaidi ya washukiwa 300 wakamatwa huku bunduki haramu zaidi ya 200 zikinaswa kufuatia oparesheni Ondoa Jangili Marsabit, Isiolo
May 15, 2025
Na Adano Sharamo
Serikali imetangaza Jumatano wiki hii kuwa sikukuu ya kuadhimisha Eid-ul adha.
Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ametoa tangazo hilo kupitia notisi ya gazeti la serikali.
Eid-Ul-Adha hutumika kuashiria kilele cha hijja ya kila mwaka kwa mahujaji wanaoenda Mecca, mji mtakatifu wa waislamu.