Matata’s Hit Song “Not today” Becomes Soundtrack To New EA Sports FC 24.
September 22, 2023
Na Adano Sharamo
Serikali imetangaza Jumatano wiki hii kuwa sikukuu ya kuadhimisha Eid-ul adha.
Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ametoa tangazo hilo kupitia notisi ya gazeti la serikali.
Eid-Ul-Adha hutumika kuashiria kilele cha hijja ya kila mwaka kwa mahujaji wanaoenda Mecca, mji mtakatifu wa waislamu.