National News

Serikali Yatangaza Jumatano Kuwa Sikukuu Kuadhimisha Eid al-Adha

PICHA | KWA HISANI

Na Adano Sharamo

Serikali imetangaza Jumatano wiki hii kuwa sikukuu ya kuadhimisha Eid-ul adha.

Waziri wa usalama wa ndani ya nchi Prof. Kithure Kindiki ametoa tangazo hilo kupitia notisi ya gazeti la serikali.

Eid-Ul-Adha hutumika kuashiria kilele cha hijja ya kila mwaka kwa mahujaji wanaoenda Mecca, mji mtakatifu wa waislamu.

Subscribe to eNewsletter