Author: Sharawy Adano

Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM, Laendelea Kusisitiza kwa Serikali Kutojihusisha na Taasisi za Kidini

  Na Samuel Kosgei Baraza Kuu la Waislamu Kenya SUPKEM limeendelea kusisitiza kwamba serikali isijihusishe na taasisi za kidini ikizingatia kuwa Kenya ni nchi ya kidemokrasia. Badala yake, SUPKEM imependekeza kuundwa kwa makosa ya kidini ambayo yatatumiwa kutambua watu wanaokwenda kinyume na mafundisho na ambao watakabiliwa na adhabu kulingana na[Read More…]

Read More

Mbunge wa Moyale Profesa Waqo Jaldesa Adhibitisha Mpango wa Kutoa Basari Kufikia Sh100,000 Kwa Baadhi ya Wanafunzi, Moyale

Na Isaac Waihenya Mbunge wa Moyale Profesa Guyo Wako Jaldesa amedhibitisha kuwa ni kweli kuna baadhi ya wanafunzi katika eneo bunge lake wanaopewa hadi shilingi elfu 100,000 fedha za busari ya CDF. Akizungumza na Radio Jangwani kwa njia ya Simu, mtunga sheria huyo alitaja kuwa hilo liliafikiwa kati yake na[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter