Author: Isaac Waihenya

Visa vya talaka kati ya wanandoa wa jamii zinazoishi katika kaunti ya Marsabit viongezeka. – Asema Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Marsabit Ibrahim Tullu.

  By Samuel Kosgei, Kadhi Mkuu wa Mahakama ya Marsabit Ibrahim Tullu ameonesha masikitiko yako kutokana na ongezeko la visa vya talaka kati ya wanandoa wa jamii zinazoishi jimbo hili. Kadhi Tullu akisema na shajara ya jangwani amekiri kuwa tangu ajiunge na idara ya mahakama ktk kaunti ya Marsabit September[Read More…]

Read More

Serikali Kuwachukulia Hatua Kali Viongozi Waliohusika Katika Kupanga Na Kufadhili Mapigano Ya Kikabila Kaunti Ya Marsabit. – Asema Waziri Matiangi

By Adano Sharawe, Serikali itawachukulia hatua kali za kisheria viongozi waliohusika katika kupanga na kufadhili mapigano ya kikabila yaliyoshuhudiwa kaunti ya Marsabit. Waziri wa Usalama wa Kitaifa Dkt Fred Matiangi amesema serikali inaendelea kuwachunguza viongozi ambao wamekuwa wakiwapa silaha wenyeji kuiba mifugo na kutekeleza mauaji jimboni. Akifika mbele ya Kamati[Read More…]

Read More

Kaunti Ya Marsabit Ni Baadhi Ya Kaunti Zilizotumia Vyema Fedha Za Umaa Katika Mwaka Wa Kifedha Wa 2019/20 Kwa Aslimia 44.1.

By Jillo Dida Jillo, Gavana wa zamani wa Nairobi Mike Sonko anaongoza orodha ya magavana wenye utendakazi duni kwa msingi wa namna walitumia pesa za maendeleo kulingana na taarifa ya bajeti mwaka 2021 iliyotolewa na Hazina ya Taifa. Ripoti hiyo ilifichua kuwa kaunti zenye asilima ndogo ya rekodi ya maendeleo[Read More…]

Read More

Vyama Vya ODM, KANU, NARC Na PNU Katika Kaunti Ya Isiolo Kufanya Kazi Kwa Umoja Ili Kuhakikisha Ripoti Ya BBI Inapata Uungwaji Mkono.

By Samuel Kosgei, Vyama vinne katika kaunti ya Isiolo kikiongozwa na chama cha ODM, KANU, NARC na PNU wamejitokeza na kudokeza kwamba watafanya kazi kwa umoja ili kuhakikisha ripoti ya BBI inapata uungwaji mkono kutoka kwa wakaazi wa kaunti ya Isiolo. Wakiongea na vyombo vya habari katika afisi za ODM[Read More…]

Read More

Wakazi Wa Kaunti Ya Samburu Waamrishwa Kuwasilisha Bunduki Haramu Ambazo Wanamiliki Kama Njia Moja Ya Kuimarisha Usalama Katika Kaunti Hiyo.

By Waihenya Isaac, Wakazi wa kaunti ya Samburu waamrishwa kuwasilisha bunduki haramu ambazo wanamiliki kama njia moja ya kuimarisha usalama Katika kaunti hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa polisi Katika kaunti ya samburi Samson Ogelo amesema kuwa Bunduki haramu kumi na saba zimetolewa mikononi mwa raia katika kipindi[Read More…]

Read More

Marehemu Simeon Nyachae Kupumuzishwa Katika Hafla Ya Siri Mnamo Siku Ya Jumatatu Feb 15 Mwaka Huu Nyumbani Mwake Nyosia Kijijini Nyaribari Chache Katika Kaunti Ya Kisii.

By Jillo Dida Jillo, Aliyekuwa waziri Marehemu Simeon Nyachae atapumuzishwa katika hafla ya siri mnamo siku ya Jumatatu Feb 15 mwaka huu nyumbani mwake Nyosia kijijini Nyaribari Chache katika kaunti ya Kisii. Haya ni kulingana na Taarifa kutoka kamati na Familia lake ikiongozwa na mwanawe Charles Nyachae. Aidha ibada ya[Read More…]

Read More

Asilimia 70 Ya Vijana Nchini Watapiga Kura Kuangusha Mpango Mzima Wa (BBI) Ikiwa Ingefanyika Leo Huku Asilimia 30 Wakiunga Mkono.

By Samuel Kosgei, Utafiti mpya uliofanywa sasa unaonesha kuwa asilimia 70 ya vijana nchini watapiga kura kuangusha mpango mzima wa (BBI) ikiwa ingefanyika leo huku asilimia 30 wakiunga mkono. Utafiti huo uliotolewa na Taasisi ya Emerging Leaders Foundation (ELF) Afrika, umefichua kuwa asilimia 40 wavulana wataipinga huku asilimia 21 wakiunga[Read More…]

Read More

Wabunge Sylvanus Osoro Na Simba Arati Waorodheshwa Katika Orodha Ya Aibu Iliyotolewa Na Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC.

By Waihenya Isaac, Tume ya uiano na utengamano Nchini NCIC imetoa onyo kwa wanasiasa wanaotumia mazishi kama jukwa la kueneza chuki baina ya wananchi. Akizungumza na vyombo vya habari mwenyekiti wa tume hiyo Samuel Kobia amesema kuwa NCIC itahakikisha kuwa wananchi wanadhibitiwa ili kuzuia mgawanyiko Nchini. Kadhalika Tume hiyo imetoa[Read More…]

Read More

Viongozi Wa Kidini Jimboni  Marsabit  Watoa Wito Wa Kutafutwa Kwa Suluhu La Utovu Wa Nidhamu Shuleni

Picha;Hisani   By Samuel Kosgei, HUKU utovu wa nidhamu shuleni ukizidi kushuhudiwa na shule kadhaa kuteketezwa na wanafunzi nchini, wito wa suluhu kupatikana unazidi kutolewa na viongozi wa kidini. Kufikia sasa shule zaidi ya 10 zimeteketezwa na wanafunzi kote nchini. Akizungumza na shajara ya radio jangwani, askofu wa kanisa la[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter