Author: Isaac Waihenya

KWS Marsabit Yatoa Wito Wa Uwepo Amani Ili Utalii Uimarike Jimboni.

By Mark Dida, Naibu  mkurugenzi wa shirika la kuhifadhi wanyama pori kaunti ya Marsabit Robert Obran amesema kuwa wanaendelea kufanyia tafiti pembe za ndovu zilizopatikana na majangili waliotiwa mbaroni na maafisa wa kulinda msitu KWS ili mahakama  kufanya maamuzi. Hata hivyo Obran ametoa uwito kwa wakaazi wa Marsabit kuchukua jukumu[Read More…]

Read More

Michuano Ya Kuwania Kombe La Ligi Kuu Nchini Uingereza Kuendelea Usiku Wa Leo.

By Waihenya Isaac, Michuano Ya Kuwania Kombe La Ligi Kuu Nchini Uingereza Inatarajiwa Kuendelea Usiku Wa Leo Huku Mechi Tano Zikiratibiwa Kugaragazwa. Saa Tatu Usiku Burnley Ya Kocha Sean Dyche Itasaka Kuendeleza Matokeo Bora Mwaka Huu,Baada Ya Kushinda Mechi Mbili Za Mwisho Walizocheza,Itakapoikaribisha AstonVilla  Ugani Tuff Moor. Aidha Chelsea Itaialika[Read More…]

Read More

Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC Imewaonya Wanasiasa Dhidi Ya Kutumia Matamshi Ya Hustler Na Dynasty.

By Waihenya Isaac, Tume Ya Uiano Na Utengamano Nchini NCIC Imewaonya Wanasiasa dhidi Ya Kutumia matamshi ya walala hoi na walala hai kwenye kampenzi zao kwa sababu yanalenga kuwagawanya wakenya. Kwenye Kongamano la kuwahamasisha wanahabari Makamishna wa  tume hiyo Philip Okundi Na Dorcas Kidogo wamesema kuwa matamshi hayo yatawagawanya wakenya[Read More…]

Read More

Zaidi Ya Vijana 2,000 Katika Kaunti Ya Marsabit Walijitokeza Kwenye Zoezi La Kusajiliwa Kama Vibarua Katika Shirika La Huduma Kwa Wanyamapori Nchini KWS.

By Mark Dida, Zaidi Ya Vijana 2,000 Katika Kaunti Ya Marsabit Walijitokeza Kwenye Zoezi La Kusajiliwa Kama Vibarua Katika Shirika La Huduma Kwa Wanyamapori Nchini KWS. Naibu Mkurugenzi Mkuu Wa KWS Kaunti Ya Marsabit Robert Obrein Amesema Wamesajili Vijana 93 Kutoka Kaunti Zote Ndogo Jimboni Kati Ya Vijana Zaidi Ya[Read More…]

Read More

Klabu Ya Watford Imemsajili Kiungo Wa Kenya Henry Ochieng.

  By Waihenya Isaac, Klabu Ya Watford Nchini Uingereza Imemsajili Kiungo Wa Kenya Henry Ochieng. Kupitia Mtandao Wa Twitter Watford Imedhibitisha Kumsajili Mchezaji Huyo Atakayejiunga Na Kikosi Cha Wachezaji Wasiozidi Umri Wa Miaka 23. http://https://twitter.com/WatfordFC/status/1353725259317436418?s=19 Ochieng mwenye umri wa miaka 22 amekuwa akisoma katika vyuo vikuu vya West Ham na[Read More…]

Read More

Waziri wa Fedha Ukur Yattani atishia kuwashtaki mbunge wa Saku Dido Rasso na mwakilishi wa kike katika kaunti ya Isiolo Rehema Jaldesa kwa kumchafulia jina.

Waziri Wa Fedha Ukur Yattani. Picha; Hisani. By Adano Sharawe, Waziri wa Fedha Ukur Yattani amewapa muda wa siku 3 Mbunge wa Saku Dido Ali Rasso na Mwakilishi wa Wanawake katika kaunti ya Isiolo Rehema Jaldesa, kumuomba msamaha kwa njia rasmi. Hatua hii inafuatia baada ya wawili hao kudai Yattani[Read More…]

Read More

Wasomi kutoka kaunti ya Marsabit watoa wito kwa Rais Kenyatta Kuingilia kati kumaliza kero la utovu wa usalama.

  By Adano Sharawe, Wasomi wa Jamii ya Borana kutoka Kaunti ya Marsabit na Isiolo wametoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta kuingilia kati na kumaliza hali ya utovu wa usalama katika eneo la Kaskazini ambao wanasema imechochewa na migogoro juu ya mipaka na rasilimali mbalimbali. Wakihutubia wanahabari jijini Nairobi, wasomi[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter