Featured Stories / News

SEREKALI IMEJITOLEA KUPAMBANA NA VITA DHIDI YA UTUMIZI WA MIHADARATI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT. – ASEMA DCC DAVID SARUNI.

NA ISAAC WAIHENYA Serekali imejitolea kupambana na vita dhidi ya utumizi wa mihadarati katika kaunti ya Marsabit. Kulingana na DCC wa Marsabit Central David Saruni ni kuwa ni swala la mihadarati ni swala linalofaa kuangaziwa kwa undani ili kuhakikisha kwamba linakomeshwe. Akizungumza na Shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya[Read More…]

Vijana jimboni Marsabit watakiwa kutumia vipaji vyao kukabiliana na swala la ukosefu wa ajira.

  Na Isaac Waihenya, Wito wa vijana kutumia vipaji vyao kukabiliana na swala la ukosefu wa ajira umezidi kutotewa huku vijana wakihimizwa kukubatia ajira kidijitali. Kwa mujibu wa waziri wa elimu katika kaunti ya Marsabit Ambaro Abdulahi ni kuwa kaunti ya Marsabit ina vipaji mbalimbali ambavyo bado havijatambuliwa. Akizungumza wakati[Read More…]

WAKAAZI WA HULAHULA MARSABIT WASHABIKIA KISIMA KIPYA CHA KDEF WAKITAJA KUWAPUNGUZIA SAFARI NDEFU YA KUSAKA MAJI.

Wakaazi wa Hulahula Marsabit washabikia kisima kipya cha KDEF wakitaja kuwapunguzia safari ndefu ya kusaka maji. Na JB Nateleng  Ni afueni kwa wakazi wa Hulahula, eneo bunge la Saku baada ya shirika lisilo la Kiserekali la Kenya Dryland Education Fund kuwekeza kwenye mradi wa kuwajengea kisima cha maji karibu na[Read More…]

ASILIMIA 74.2 YA WANAWAKE WANAOJIFUNGUA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT HUNYONYESHA WATOTO CHINI YA SAA MOJA.

Na Grace Gumato Janga la ukame limetajwa kama mojawapo ya changamoto ambayo inachangia kina mama kutonyonyesha watoto wao  katika kaunti ya Marsabit. Akizungumza na idhaa hii  afisini mwake David Buke  Halakhe afisa naye simamia lishe katika kaunti ya Marsabit amesema uwepo wa ukame umechangia akina mama wengi kukosa lishe bora[Read More…]

MSAKO WA NYAVU HARAMU MOITE, LOIYANGALANI WAENDELEA.

Na JB Nateleng Kama njia moja wepo ya kutunza na kuhifadhi mazingira ya ziwa Turkana, viongozi wa Kitengo cha Usimamizi wa Ufuo (BMU) ya Moite Eneo wadi ya Loiyangalani kaunti ya Marsabit wameanzisha zoezi la kusaka nyavu ambazo zilikuwa zimeharamishwa kutumika katika ziwa hiyo.. Kulingana na Andrew Dokoya ambaye ni[Read More…]

VIONGOZI WA KIDINI MARSABIT WAZIDI KUKASHIFU ONGEZEKO LA MAPENZI YA JINSIA MOJA NCHINI.

Na Lelo Wako Viongozi wa kidini mjini Marsabit wamekashifu kuenea kwa  uhusiano wa mapenzi ya jinsia moja na visa vya ukahaba haswa miongoni mwa vijana. Msimamizi wa kanisa la katoliki parokia ya cathedral, Padri Tito Makhoha amekashifu uhusiano aina hiyo huku akiwaomba vijana wasishinikizwe katika kushiriki uhusiano wa jinsia moja.[Read More…]

NTERNS’ WA MARSABIT WAENDELEA KUSHINIKIZA SERIKALI YA KAUNTI KUWALIPA MARUPURUPU YA ZAIDI YA MIEZI SITA.

 Na Samuel Kosgei Vijana wanagenzi walioajiriwa na serikali ya kaunti kwa kandarasi ya mwaka mmoja wameendelea kutoa lalama zao ya kutolipwa marupurupu ya zaidi ya miezi sita. Wanagenzi hao ambao leo wamefanya kikao na kamati ya bunge la Marsabit kuhusu utawala wamerai wawakilishi wadi wao kuwasaidia kusukuma serikali kuwapa malipo[Read More…]

Subscribe to eNewsletter