Featured Stories / News

WATOTO 10 WALIODAIWA KUTEKWA NYARA MWANZONI MWA MWAKA HUU NA MHUBIRI MOJA KATIKA ENEO LA PARKISHON KAUNTI YA MARSABIT WAREJESHWA KWA FAMILIA ZAO.

Na Carol Waforo, Watoto 10 waliodaiwa kutekwa nyara mwanzoni mwa mwaka huu na mhubiri moja katika eneo la Parkishon kaunti ya Marsabit wamerejeshwa kwa familia zao. Akizungumza na shajara ya Radio Jangwani kwa njia ya simu afisa wa watoto hapa katika eneo bunge la Saku Medina Doko amesema kuwa watoto[Read More…]

WAKAAZI WA MARSABIT WATOA HISIA ZAO KUHUSIANA NA MAADAMANO YA VIJANA WA GEN ZS (NANENANE)

Na Ebinet Apiyo, Baadhi ya wakaazi mjini Marsabit wamewataka vijana wa Gen Zs kusitisha maadamano yao yaliyopangwa kufanyika hapo kesho na badala yake kumpa rais muda wa kufanya kazi haswa baada ya kutekeleza mageuzi kadhaa serekali. Baadhi ya waliozungumza idhaa hii wameyataja maadamao ya hapo kesho yaliyopewa jina NANENANE kama yanayolenga[Read More…]

WAFUGAJI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAHIMIZWA KUKUMBATIA KILIMO BIASHARA KAMA NJIA MOJA WAPO YA KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI.

Na Grace Gumato, Wafugaji katika kaunti ya Marsabit wamehimizwa kukumbatia kilimo Biashara kama njia moja wapo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza na idhaa hii ofisi mwake afisa wa kilimo katika eneo bunge la Saku Dub Nura ametaja kuwa wafugaji wanafaa kuwa na mfumo mbadala ya kijikumu kimaisha[Read More…]

WATU 25 WAMEAGA DUNIA MWAKA HUU, HUKU 32 WAKISALIA NA MAJERAHA KUTOKANA NA WIZI WA MIFUGO KAUNTI ZA SAMBURU, ISIOLO,MARSABIT NA MERU.

Na Silvio Nangori Watu 25 wameaga dunia mwaka huu huku 32 wakisalia na majeraha kutokana na wizi wa mifugo kati ya wafugaji wa Kaunti za Samburu,Isiolo,Marsabit na Meru. Akizungumza katika hafla iliyowaleta pamoja jamii mbali mbali katika hifadhi la NRT kutoka kaunti hizo, meneja wa masuala ya amani katika shirika[Read More…]

ONYO KALI LATOLEWA KWA VIJANA WANAOENDELEZA WIZI KATIKA BOMA ZA WATU HAPA MJINI MARSABIT NA VYUNGA VYAKE.

Na Isaac Waihenya & Naima Abdulahi, Onyo kali limetolewa kwa vijana wanaoendeleza wizi katika boma za watu hapa mjini Marsabit na vyunga vyake. Akitoa onyo hilo chifu wa Marsabit mjini Hussein Charfi amewatahadharisha vijana waneoenedeleza kasumba hiyo kuwa watachukuliwa hatua kali za kisheria. Chifu Charfi aliyezungumza na shajara ya Radio[Read More…]

SERIKALI YA MARSABIT YAPANGA MASHINDANO YA KIDIGITALI MAARUFU HACKATHON NA KUELIMISHA VIJANA KUHUSU MASWALA YA KIDIGITALI

Na huku vijana wakiendelea kujipanga kwa ajili maadhimisho ya siku ya kimataifa ya vijana serikali ya kaunti ya Marsabit kupitia idara ya michezo na maswala ya vijana imesema kuwa imepanga hafla mbalimbali kwa ajili ya siku hiyo. Akizungumza na shajara ya radio Jangwani afisini mwake kaimu mkurugenzi wa idara hiyo Daud[Read More…]

VIONGOZI WA KIDINI MARSABIT WAOMBA VIJANA WA GEN Z KUSITISHA MAANDAMANO NA KUIPA MUDA SERIKALI KUTEKELEZA MAGEUZI.

Na Samuel Kosgei Viongozi wa kidini bado wanarai vijana kote nchini wametakiwa kusitisha mpango wao wa maandamano uliopangiwa kufanyika Alhamisi ya tarehe 8 mwezi huu ikiwa ni shinikizo ya kumtaka rais Ruto kujiengeua mamlakani. Viongozi hao wa kidini wakiongozwa na imam wa Msikiti wa Jamia hapa mjini Marsabit Mohammed Noor[Read More…]

Subscribe to eNewsletter