Featured Stories / News

WAKAAZI WA MARSABIT WATOA HISIA ZAO KUHUSIANA NA KIONGOZI WA WIPER KALONZO MUSYOKA KUWA KINARA WA UPINZANI NCHINI.

Na Ebinet Apiyo, Baada ya kinara wa upinzani nchini Raila Odinga kuonekana kufanya kazi na serekali na baadhi ya wanachama wa ODM kuteuliwa kama mawaziri, wakaazi wa kaunti ya Marsabit wametoa hisia zao kuhusiana na iwapo kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka anatosha kushikilia wadhifa wa kinara wa upinzani nchini. Baadhi[Read More…]

DHULMA ZA KIJINSIA NA MASWALA YA UNYANYAPAA YATAJWA KUWA SABABU KUU ZINAPELEKEA WATOTO KATIKA KAUNTI YA MARSABIT KUADHIRIKA KIAKILI.

Na JB Nateleng Dhulma za kijinsia na maswala ya unyanyapaa yametajwa kuwa sababu kuu inapelekea watoto wengi katika kaunti ya Marsabit kuweza kuadhirika kiakili. Kulingana na Victor Karani ambaye ni afisa anayeshughulikia maswala ya afya ya akili katika hospitali ya rufaa ya Marsabit ni kuwa watoto wengi jimboni wanakataa kuripoti[Read More…]

SHUGHULI ZA KAWAIDA ZIMEREJEA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA MARSABIT BAADA YA MAAFISA WA KLINIKI KUREJEA KAZINI.  

 Na Isaac Waihenya & Ali Ibrahim Shughuli za kawaida zimerejea katika hospitali ya rufaa ya Marsabit baada ya maafisa wa kliniki kurejea kazini. Baadhi ya wananchi waliozungumza na Radio Jangwani wameeleza kwamba kwa sasa hali imeimarika na wamapata huduma za afya kama inavyaostahili. Wametaja kurejea kwa maafisa hao kama afueni[Read More…]

MAAFISA WAKLINIKI KAUNTI YA MARSABIT WAREJEA KAZINI BAADA YA KUTIA SAINI MAKUBAILIANO YA KURUDI KAZI NA IDARA YA AFYA.

Na Isaac Waihenya & Ali Ibrahim  Maafisa wakliniki katika kaunti ya Marsabit wamerejea kazini baada ya kutia saini makubailiano ya kurudi kazi na idara ya afya. Kwa mujibu wa katibu wa muungano wa maafisa wa kliniki katika kaunti ya Marsabit Abdi Shukri ni kuwa maafisa hao wa kliniki wamesitisha mgomo[Read More…]

ULIMWENGU WAADHIMISHA SIKU YA MAAFISA WA SHIRIKA LA WANYAMAPORI: WITO UKITOLEWA KWA KUWEPO KWA USHIRIKIANO MWEMA KATI YA MAAFISA HAO NA WANANCHI WA MARSABIT.

Na Isaac Waihenya & Ali Ibrahim Huku ulimwengu ukiadhimisha siku ya maafisa wa shirika la wanyamapori hii leo, wito umezidi kutolewa wa kuwepo kwa ushirikiano mwema kati ya maafisa hao na wananchi. Kwa mujibu wa naibu mkurugenzi wa hifadhi ya wanyamapori katika kaunti ya Marsabit Collins Omondi ni kuwa ushirikiano[Read More…]

IDADI YA DHULMA ZA KINJISIA KATIKA KAUNTI YA MARSABIT VINAZIDI KUONGEZEKA MARADUFU HAYA YAKI CHANGIWA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI.

NA GRACE GUMATO Idadi ya dhulma za kinjisia katika kaunti ya Marsabit Vinazidi kuongezeka maradufu haya yaki changiwa na mabadiliko ya tabia nchi. Idadi hiyo katika mwaka iliyopita ilikuwa visa 14 ilhali ya mwaka huu kutoka Januari hadi mwezi uliopita ilikuwa ni visa 19 huku kaunti ndogo ya Laisamis ikiongoza[Read More…]

WATU WAWILI KATI YA ISHIRINI KAUNTI YA ISIOLO WAPO KWENYE HATARI YA KUHUSISHWA KWENYE BIASHARA HARAMU YA ULANGUZI WA BINADAMU.

Watu wawili kati ya 20 kaunti ya Isiolo wapo kwenye hatari ya kuhusishwa kwenye biashara haramu ya ulanguzi wa binadamu. Haya ni kwa mujibu wa Titi Martin ambaye ni afisa wa programu ya Simba inayotekelezwa na kanisa la Salvation Army. Martin aliweka haya wazi wakati wa maadhimisho ya siku ya kitaifa ya[Read More…]

Subscribe to eNewsletter