Featured Stories / News

SHIRIKA LA COMPASSION MARSABIT LAWATUNUKU WANAFUNZI WALIOFANYA VYEMA KATIKA MTIHANI WA KCPE MWAKA JANA, HUKU WITO UKITOLEWA KWA WAWAZI KUWAPELEKEA WANAO SHULENI.

Na Isaac Waihenya, Wazazi wametakiwa kuwapeleka watoto shuleni bila kuwabagua ili wapate elimu itakayowafaidi katika siku za usoni. Haya ni kwa mujibu wa msimamizi wa shirika la Compassion tawi la Marsabit mchungaji Joseph Diba. Akizungumza wakati wa sherehe za kuwatunuku wanafunzi waliofanya vyema katika mtihani wa kitaifa wa KCPE mwaka[Read More…]

HOFU YASHUHUDIWA ENEO LA BALESA SARU, DUKANA – MARSABIT BAADA YA MAJAMBAZI WASIOJULIKA KUVAMIA ENEO HILO USIKU WA KUAMKIA LEO.

Na Grace Gumato Hali ya wasiwasi inaendelea kushuhudia katika eneo la Qonye katika kata ndogo la Balesa Saru baada ya majambazi wasiojulika kuvamia eneo hilo usiku wa kuamkia leo na kujaribu kuiba ngamia. Akizungumza na shajara ya Jangwani Katana Charo ambaye ni naibu kamishna wa Dukana amesema wajambazi hao walikuwa[Read More…]

MAHAKAMA YA MARSABIT IMEMUHUKUMU KIFUNGU CHA MIAKA MIWILI GEREZANI MWANAUME MMOJA MWENYE UMRI WA MAKAMU KOSA LA KUPIGA MTU NA KUUMIZA.

Na Grace Gumato  Mahakama ya Marsabit imemuhukumu kifungu cha miaka miwili gerezani mwanaume mmoja mwenye umri wa makamu kwa kosa la kupiga na kuumiza mtu. Mshukiwa Kamau Kamotho anadaiwa kuwa mnamo tarehe 18 mwezi huu almjeruhi vibaya mlalamishi Adan Isaak wakiwa mjini Marsabit eneo bunge la Saku kaunti ya Marsabit.[Read More…]

BARAZA LA WAZEE WA JAMII YA GABRA LAITAKA SEREKALI KUHARAKISHA UCHUNGUZI KUHUSIANA MAUAJI YA ENEO LA ELLE-DIMTU AMBAPO WATU WANANE WALIUWAWA NA KISHA KUTEKETEZWA.

NA ISAAC WAIHENYA Baadhi ya wazee wa baraza la wazee wa jamii ya Gabra wamemtembea mmoja wa walionusurika katika kisa cha mauaji yaliyotekelezwa wiki jana na watu wasiojulikana katika eneo la Elle-Dimtu ambapo watu wanane waliuwawa na kisha kuteketezwa. Wakiongozwa na mwenyekiti wa baraza hilo Shama Boy Wario wazee hao[Read More…]

VIJANA WAWILI WAJERUHIWA KWA RISASI NA WATU WASIOJULIKANA ENEO LA KARANTINA, SAKU KAUNTI YA MARSABIT.

Na Talaso Huka Vijana wawili wamejeruhiwa usiku wa kuamkia leo baada ya kushambuliwa kwa risasi na watu wasiojulikana. Tukio hilo lilitokea eneo la Karantina, Saku kaunti ya Marsabit. Akidhibitisha kisa hicho kamanda wa polisi kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo amesema kuwa uchunguzi unaendelea huku akibainisha kuwa lengo la mavamizi hayo[Read More…]

VIONGOZI WA KISIASA NA WA KIJAMII KUTOKA MAENEO YA DUKANA, TURBI, MAIKONA NA NORTH HORR WAMEPEWA HAMASA KUHUSIANA NA NAMNA NA FAIDA ZA KUSAJILI ARDHI YA JAMII.

Na Isaac Waihenya, Viongozi wa kisiasa na wa kijamii kutoka maeneo ya Dukana, Turbi, Maikona na North Horr wamepewa hamasa kuhusiana na namna na faida za kusajili ardhi ya jamii katika kaunti ya Marsabit. Kwenye mkao ulioandaliwa hii leo na mashirika yasiyoyakiserekali ya IREMO na PISP ambao umewalata pamoja, MaMCAs wa[Read More…]

KAUNTI YA MARSABIT KUKUMBWA NA UHABA WA CHAKULA KATIKA KIPINDI CHA MIEZI MITATU IJAYO.

Na Grace Gumato, Mkurugenzi wa mamlaka ya kupambana na majanga NDMA kaunti ya Marsabit, Guyo Golicha amewathahadharisha wanaMarsabit kuhusiana na hatari ya uhaba wa chakula katika kipindi cha miezi mitatu ijayo. Akizungumza na idhaa hii afisini mwake Golicha amekariri kuwa kaunti hii itaweza kushuhudia hali ya ukame ambayo itasababisha upungufu wa[Read More…]

SEREKALI YATAKIWA KUINGILIA KATI,KUTATUA MASWALA YALIYOIBULIWA NA WALIMU ILI KUZUIA MGOMO ULIORATIBIWA KUFANYIKA MWANZONI MWA MUHULA UJAO.

Na Talaso Huka na Elias Jalle,  Serekali imetakiwa kuingilia kati na kutatua maswala yaliyoibuliwa na walimu ili kuzuia mgomo ulioratibiwa kufanyika mwanzoni mwa muhula ujao. Kwa mujibu wa katibu mtendaji wa Chama cha walimu ya KNUT tawi la Marsabit Rose Mary Talaso ni kuwa hilo litahakikisha kwamba wanafunzi wataendelea na[Read More…]

Subscribe to eNewsletter