Featured Stories / News

WAKAAZI WA KARGI WATAKA SERIKALI KUFIDIA FAMILIA ZA WATU WALIOKUFA AU KUPATA UGONJWA WA SARATANI KUFUATIA MABAKI YA NYUKLIA KUTUPWA HUKO.

NA JOHN BOSCO NATELENG Wakazi wa Kargi Eneo bunge la  Laisamis, Kaunti ya Marsabit wametaka serekali kuchunguza kisa na ambacho watu zaidi ya 500 katika eneo hilo wanaripotiwa kuugua ugonjwa wa saratani. Wakizungumza na wanahabari, wakati wa kuanzishwa kwa mswada wa kuhoji serikali juu ya ongezeko la visa vya saratani[Read More…]

SHIRIKA NRT LATOA TENKI 120 KWA MAKUNDI YA KUHIFADHI MAENEO YA WANYAMA ILI KUDHIBITI UKOSEFU MAJI WAKATI WA KIANGAZI

. Na Samuel Kosgei Mkurugenzi shirika la hifadhi ya wanyama NRT ukanda huu kaskazini ya juu Dida Fayo amesema kuwa shirika hilo linazidi kujitolea kukabili changamoto ya mabadiliko ya tabia-nchi katika kaunti ya Marsabit haswa katika maeneo ambayo kuna hifadhi za shirika hilo. Fayo akizungumza katika hafla ya kuwapa tenki[Read More…]

SHIRIKA LA LAKE TURKANA WIND POWER (LTWP) LAZINDUA KISIMA CHA MAJI KWA WAKAAZI DAKAYE-MOITE, LOIYANGALANI.

Na Ambassador Kontoma Wakaazi wa Dakaye-Moite katika wadi ya Loiyangalani wanasababu ya kutabasamu baada shirika la Lake Turkana Wind Power(LTWP) kuwachimbia kisima cha maji. Kisima hicho kitawafaidi wakaazi takriban nyumba elfu tatu katika wadi ya Loiyangalani kwa maji Safi ya kunywa. Katibu kutoka Idara ya Maji Rob Galma aliongoza hafla[Read More…]

WAKAAZI WA MARSABIT WATAKIWA KUPEA KIPAUMBELE SUALA LA ELIMU WAKATI WA KUTOA MAONI KWENYE PUBLIC PARTICIPATION.

Na Samuel Kosgei Wakaazi wa Marsabit wametakiwa kupea kipaumbele masuala ya elimu wakati zoezi la kutoa maoni kwenye mchakato wa kushirikisha umma yaani public participation katika wadi zao. Afisa kwenye wizara ya elimu jimboni Marsabit Boru Godana Guyo akizungumza wakati idara yake ilipopokea viti na meza itakayotumiwa na watoto wa[Read More…]

MAANDAMANO YA GEN Z KAUNTI YA MARSABIT YAKOSA KUFANYIKA KUTOKANA NA MPANGO WA WAHUNI KUINGILIA KATI ZOEZI HILO.

Na Caroline Waforo Maandamano ya Gen Z kaunti ya Marsabit yalikosa kufanyika hii leo kutokana na taarifa za kuingiliwa na wahuni kwa nia ya kusababisha uharibifu wa mali. Kulingana na Kamanda wa kaunti ya Marsabit Leonard Kimaiyo kunao wahuni waliopanga kuvuruga maandamano hayo na kusababisha uharibifu. Kamanda Kimaiyo anasema kuwa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter