Hakimu wa Marsabit aonywa wananchi dhidi ya kutoa hongo ili kusaidiwa kupata bondi.
NA Samuel Kosgei HAKIMU mkuu wa mahakama ya Marsabit Christine Wekesa ametahadharisha wananchi wanaosaka haki…
Seneta wa Marsabit Mohammed Chute ataka uchunguzi wa haraka kufuatia mauaji ya Liban Charfi
NA JB Nateleng Seneta wa kaunti ya Marsabit Mohamed Chute ameitaka Wizari ya Usalama wa…
Wakazi wa Moyale na Dukana wanufaika na msaada wa chakula kutoka serikali kuu
NA Nyabande Orwa Serikali kuu imetoa chakula cha msaada kwa wakazi wa eneo bunge la…
Jamii za wafugaji Marsabit zahimizwa kuasi ukeketaji na badala yake kuwapa wasichana elimu
NA Sabalua Moses Jamii za wafugaji katika kaunti ya Marsabit zimeendelea kuhimizwa kuasi ukeketaji wa…
Wanasiasa Marsabit watakiwa kuepuka kuingilia masuala ya elimu
NA JB Nateleng. Wanasiasa katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kujiepusha kuingilia masuala ya elimu ili…
Wakaazi wa Bori, moyale washutumu viongozi wao kwa kufumbia jicho mahangaiko yao.
Na Samuel Kosgei Wakaazi wa eneo la Bori eneobunge la Moyale wamefanya maandamano kulalamikia ukosefu wa…
Wahamiaji 15 raia wa Eritrea wakamatwa NorthHorr kwa kuwa nchini kinyume na sheria
NA Caroline Waforo Wahamiaji 15 raia wa Eritrea wamekamatwa katika lokesheni ya Saru eneo bunge…
Kaunti ya Marsabit kuendelea kushuhudia vipindi vya jua na ukavu sawa na upepo mkali Loiyangalani.
NA Samuel Kosgei Utabiri wa hali ya hewa katika kipindi cha siku saba zijazo kuanzia…
Serikali kusambaza chakula cha mifugo kukabili ukame Kaskazini Mashariki asema waziri Ruku.
NA Nyabande Orwa Serikali imeanzisha mchakato wa kusambaza chakula cha mifugo katika maeneo yaliyoathirika pakubwa…
NCCK Marsabit yalaani mashambulizi ya nyumba za ibada.
NA Joseph Muchai Uongozi wa muungano wa makanisa nchini (NCCK) katika kaunti ya Marsabit umekemea vikali mashambulizi…
Ukame waathiri watoto na wazee Laisamis, Marsabit
NA Nyabande Orwa Watoto walio chini ya miaka mitano pamoja na wazee wanaendelea kuathirika pakubwa…
Ipoa yaanzisha uchunguzi wa kisa cha kushambuliwa kwa mtoto loiyangalani.
NA JB Nateleng/Nyabande Orwa Familia ya kijana wa miaka 13 anayedaiwa kujeruhiwa kwa risasi wakati…