Kijusi chapatikana kimetupwa ndani ya kisima katika lokesheni ya Saru
NA Caroline Waforo Mwili wa Kijusi umepatikana ukiwa umetupwa ndani ya kisima katika lokesheni ya…
Idara ya maji Marsabit yasema inashughulikia malalamishi ya wakaazi wa Bori
NA Caroline Waforo Baada ya wakaazi wa eneo la Bori eneobunge la Moyale kaunti ya…
Hakimu wa Marsabit aonywa wananchi dhidi ya kutoa hongo ili kusaidiwa kupata bondi.
NA Samuel Kosgei HAKIMU mkuu wa mahakama ya Marsabit Christine Wekesa ametahadharisha wananchi wanaosaka haki…
Seneta wa Marsabit Mohammed Chute ataka uchunguzi wa haraka kufuatia mauaji ya Liban Charfi
NA JB Nateleng Seneta wa kaunti ya Marsabit Mohamed Chute ameitaka Wizari ya Usalama wa…
Wakazi wa Moyale na Dukana wanufaika na msaada wa chakula kutoka serikali kuu
NA Nyabande Orwa Serikali kuu imetoa chakula cha msaada kwa wakazi wa eneo bunge la…
Jamii za wafugaji Marsabit zahimizwa kuasi ukeketaji na badala yake kuwapa wasichana elimu
NA Sabalua Moses Jamii za wafugaji katika kaunti ya Marsabit zimeendelea kuhimizwa kuasi ukeketaji wa…
Wanasiasa Marsabit watakiwa kuepuka kuingilia masuala ya elimu
NA JB Nateleng. Wanasiasa katika kaunti ya Marsabit wametakiwa kujiepusha kuingilia masuala ya elimu ili…
Wakaazi wa Bori, moyale washutumu viongozi wao kwa kufumbia jicho mahangaiko yao.
Na Samuel Kosgei Wakaazi wa eneo la Bori eneobunge la Moyale wamefanya maandamano kulalamikia ukosefu wa…
Wahamiaji 15 raia wa Eritrea wakamatwa NorthHorr kwa kuwa nchini kinyume na sheria
NA Caroline Waforo Wahamiaji 15 raia wa Eritrea wamekamatwa katika lokesheni ya Saru eneo bunge…
Kaunti ya Marsabit kuendelea kushuhudia vipindi vya jua na ukavu sawa na upepo mkali Loiyangalani.
NA Samuel Kosgei Utabiri wa hali ya hewa katika kipindi cha siku saba zijazo kuanzia…
Serikali kusambaza chakula cha mifugo kukabili ukame Kaskazini Mashariki asema waziri Ruku.
NA Nyabande Orwa Serikali imeanzisha mchakato wa kusambaza chakula cha mifugo katika maeneo yaliyoathirika pakubwa…
NCCK Marsabit yalaani mashambulizi ya nyumba za ibada.
NA Joseph Muchai Uongozi wa muungano wa makanisa nchini (NCCK) katika kaunti ya Marsabit umekemea vikali mashambulizi…