Featured Stories / News

Mahakama Ya Runyejes Imefungwa Kuanzia Leo Baada Ya Wafanyakazi Wake 18 Kupatikana Kuugua Virusi Vya Corona.

Na Adano Sharawe, Mahakama ya Runyejes imefungwa kuanzia leo baada ya wafanyakazi wake 18 kupatikana kuugua virusi vya corona. Kwenye taarifa, naibu jaji mkuu Philomena Mwilu amesema kuwa uamuzi huo umefuatia mapendekezo ya maafisa wa wizara ya afya na kamati ya watumiaji mahakama katika mahakama hiyo ya Runyenjes kufuatia kuthibitishwa[Read More…]

Subscribe to eNewsletter