Featured Stories / News

Wizara Ya Afya Yaomba Shilingi Bilioni 1.4 Kutoka Wizara Ya Fedha Kupanua Vituo Vya Kuhifadhi Chanjo

By Adano Sharawe, Wizara ya Afya imeomba Shilingi bilioni 1.4 kutoka Wizara ya Fedha kupanua vituo vya kuhifadhi chanjo kote nchini na kununua vifurushi ambavyo vinaweza kuhifadhi chanjo hizo katika kiwango cha nyuzi kinachokubalika. Mkuu wa jopo la kusambaza chanjo za kukabiliana na maradhi ya Corona Willis Akhwale, amesema vituo[Read More…]

Waakilishi Wadi Kaunti Ya Isiolo Waliounga Mkono Ripoti Ya BBI Wametaja Ongezeko La Mgao Wa Kaunti Na Kutambuliwa Kwa Jamii Za Wafugaji Kama Sababu Ya Kuupitisha.

By Samuel Kosgei, Waakilishi wadi kaunti ya Isiolo waliounga mkono ripoti ya BBI wametaja ongezeko la mgao wa kaunti kutoka asilimia 15 hadi asilimia 35 na kutambuliwa kwa jamii ya wafugaji kama sababu kuu za wao kupitisha mswada wa BBI hapo jana Waakilishi wadi hao wameunga mkono mswada huo licha[Read More…]

Subscribe to eNewsletter