WAUGUZI KATIKA KAUNTI YA MARSABIT WAMEAPA KUENDELEA NA MGOMO WAO HADI PALE SERIKALI YA KAUNTI YA MARSABIT ITAKAPOSHUGHULIKIA MATAKWA YAO YOTE.
September 19, 2024
By Machuki Dennson Majambazi wamevamia shule ya upili ya Bishop Cavallera hapa Marsabit usiku wa kuamkia leo Ijumaa na kuiba ng’ombe kutoka shuleni humo. Kulingana na mwalimu mkuu wa shule hiyo mtawa Sr. Regina Mutuku wezi hao walivamia shule hiyo mwendo wa saa mbili unusu wakiwa wamejihami na bunduki. Sr.[Read More…]
By Machuki Dennson The former Marsabit County Commissioner Evans Achoki has been promoted to be the Regional Commissioner for Eastern. The current Eastern Regional Commissioner Isaiah Aregai Nakoru has been transferred to Western region. The Rift Valley where George Natembeya was serving until his resignation has been given to Mohamed[Read More…]
Samburu/Maasai Radio Presenter Required Radio Jangwani 106.3fm is owned by Catholic Diocese of Marsabit registered as Diocese of Marsabit registered trustees, which transforms lives through radio programs by evangelizing, informing, educating and entertaining since 2016. We are looking for a qualified journalist to help fill one vacant position of a Samburu[Read More…]
Na Silvio Nangori, Polisi katika kaunti ya Isiolo wameanzisha uchunguzi kufuatia kisa ambapo balozi wa amani bi.Elizabeth Ibrahim ameuawa eneo la Kambi Garba kaunti ya Isiolo. Imeripotiwa kwamba Elizabeth Ibrahim alivamiwa na jirani yake ambaye alimdunga kwa kisu mara kadhaa na kufariki papo hapo. Wakaazi wa eneo hilo walikuwa wamejawa[Read More…]
Na Silvio Nangori, Kaunti ya Marsabit yaweza kushamiri amani endapo viongozi wa kisiasa wataongea kwa sauti moja. Hayo ni kwa mujibu wa mwenyekiti wa Interfaith jimbo la Isiolo Ahmed Sett. Ahmed Sett ambaye pia ni mweka hazina la baraza kuu la wazee nchini ametoa wito huo kwa viongozi wa kisiasa[Read More…]
Na Samwel Kosgei, Mtu mmoja ameuawa kufuatia shambulizi la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabaab katika eneo la Bobo-Hindi kaunti ya Lamu. Kulingana na ripoti za polisi, watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo walimteketeza John Moji hadi kutotambulika na baadaye kubomoa nyumba yake usiku wa kuamkia leo. Akithibitisha kisa hicho,[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Shughuli za masomo zinarejelewa kote nchini kwa muhula wa tatu wa mwaka 2021. Kulingana na Kalenda ya masomo ni kwamba shule zote zitafunguliwa wiki hii, wiki moja tu baada ya kufungwa kwa likizo za Krisimasi na mwaka mpya. Ikumbukwa kwamba Waziri wa Elimu Profesa George Magoha, alikataa[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Polisi katika kaunti ya Samburu wameanzisha msako dhidi ya majambazi waliovamia kituo cha polisi cha Lerata karibu na kituo cha kibiashara cha Archers na kumuua afisa wa polisi mnamo siku ya jumapili. Afisa huyo konstebo Moses Mwambia alipigwa risasi alipokuwa akichota maji. Inaarifiwa kuwa genge hilo lilienda[Read More…]
Na Silvio Nangori Idara ya polisi imewataka wakenya kukoma kuenbdeza uvumi usio na msingi kuhusiana na madai ya utekajinya kwa mwanablogi na mshirika wa karibu wa naibu rais William Ruto Dennis Itumbi. Itumbi ambaye amepatikana jana usiku akiwa hai anadaiwa kutekwa nyara jana Alhamisi alipokuwa akitoka kwenye kinyozi. Katika taarifa[Read More…]
Na Silvio Nangori Spika wa Bunge la Kitaifa Justin Muturi ameitisha kikao maalumu bungeni December tarehe 29, 2021 kuhusiana na mswada wa vyama vya kisiasa. Katika notisi ya hapo jana Muturi amewataka wabunge wote kuhudhuria vikao vyote vya bunge kama ilivyotajwa na Kiongozi wa wengi Bungeni Dr. Amos Kimunya. Kikao[Read More…]