Featured Stories / News

Wizara Ya Afya Yaomba Shilingi Bilioni 1.4 Kutoka Wizara Ya Fedha Kupanua Vituo Vya Kuhifadhi Chanjo

By Adano Sharawe, Wizara ya Afya imeomba Shilingi bilioni 1.4 kutoka Wizara ya Fedha kupanua vituo vya kuhifadhi chanjo kote nchini na kununua vifurushi ambavyo vinaweza kuhifadhi chanjo hizo katika kiwango cha nyuzi kinachokubalika. Mkuu wa jopo la kusambaza chanjo za kukabiliana na maradhi ya Corona Willis Akhwale, amesema vituo[Read More…]

Subscribe to eNewsletter