County Updates

County updates, notifications, news from the Marsabit County

Wafanyibiashara Katika Kaunti Ya Marsabit Walalamikia Hatua Ya Mamlaka Ya Kudhibiti Kawi Nchini EPRA Ya Kuongeza Bei Ya Mafuta.

By Silivio Nangori, Wafanyibiashara katika sekta ya Uchukuzi kaunti ya Marsabit walalamikia hatua ya Mamlaka ya kudhibiti kawi nchini EPRA ya kuongeza bei ya Mafuta. Wakizungumza na Idhaa hii wafanyanyibiashara hao wamelalamikia kuongezeka kwa gharama ya Maisha wakidai kwamba itaongeza mzigokwa  mwananchi wa kawaida. Kwa sasa wanaomba serikali kushukisha bei[Read More…]

Read More

Shughuli Ya Kuwasajili Makurutu Wa Kujiunga Na Kikosi Cha Jeshi, KDF Imeendelea Leo Katika Kaunti Ya Marsabit Eneo Bunge La Sakuu.

By Adano Sharawe, Shughuli ya kuwasajili makurutu wa kujiunga na kikosi cha jeshi, KDF imeendelea leo katika kaunti ya Marsabit eneo bunge la Sakuu, huku vijana wengi wakikosa nafasi ya kujiunga na kikosi hicho licha ya kuwa na vyeti vinavyohitajika. Luteni Kanali Martin Maluki ambaye ndiye msimamizi wa zoezi hilo[Read More…]

Read More

Polisi Wamtia Mbaroni Mhalifu Mmoja Na Kufanikiwa Kuwarejesha Zaidi Ya Mifugo 29 Walioibiwa Katika Eneo La Mata Arba Hapa Jimboni Marsabit.

By Mark Dida, Idara ya polisi haitalegeza kamba Katika juhudi za kukabiliana na wezi wa mifugo hapa jimboni Marsabit. Hayo ni kwa mujibu wa OCPD wa Marsabit ya kati Johnstone Wachira. Wachira ameyataja hayo baada ya maafisa wa polisi kufanikiwa kuwarejesha zaidi ya mifugo 29 walioibiwa jana jioni katika eneo la Mata[Read More…]

Read More

Vyombo Vya Usalama Jumanne Vilifanikiwa Kulizima Jaribio La Shambulizi Dhidi Ya Kituo Cha Polisi Cha Turbi Eneo Bunge La North Horr Katika Kaunti ya Marsabit.

By Adano Sharawe, Vyombo vya Usalama Jumanne vilifanikiwa kulizima jaribio la shambulizi dhidi ya Kituo cha Polisi cha Turbi eneo bunge la North Horr katika Kaunti ya Marsabit. Hii ni kulingana na Kaimu Mkuu wa Polisi eneo la Turbi David Muthure aliyefichua kwamba watu wanne waliwafyatulia risasi maafisa wa kituo[Read More…]

Read More

Mbunge Wa Moyale Qalicha Gufu Aitaka Tume Ya NCIC Kumkamata Na Kumshtaki Aliyekuwa Mwakilishi Wa Wadi Ya Torbi, Pius Yatani Kwa Kutoa Matamshi Ya Uchochezi.

By Jillo Dida Jillo, Mbunge wa Moyale Qalicha Gufu   ameiomba serikali na tume ya maridhiano ya kitaifa NCIC kumkamata na kumshtaki aliyekuwa mwakilishi wa wadi ya Torbi, Pius Yatani kwa kutoa matamshi ya uchochezi ya kijamii katika kaunti ya Marsabit miaka miwili iliyopita. Mbunge huyo ameteta kuwa licha ya agizo la polisi kumkamata mwanasiasa huyo, bado[Read More…]

Read More

Wakazi Wa Turbi Watoa Changamoto Kwa Serikali Kumaliza Kero La Utovu Wa Usalama Unaoshuhudiwa Jimboni.

By Adano Sharawe, Wakazi wa Turbi eneo bunge la North Horr wametoa changamoto kwa serikali kumaliza kero la utovu wa usalama unaoshuhudiwa jimboni, hasa kwenye mpaka wa Sololo na Turbi. Wakiongozwa na Roba Bonaya, wenyeji waliozungumza na idhaa hii wameelezea kuhofia usalama wao kwani sasa majambazi wenye silaha hatari wanaonekana[Read More…]

Read More

Mwakilishi Wa Wadi Ya Uran Eneo Bunge La Moyale Kaunti Ya Marsabit, Halkano Konso Akamatwa Na Makachero Wa DCI Hii Leo Asubuhi Mjini Marsabit .

By Jillo Dida , Mwakilishi wadi ya Uran eneo bunge la Moyale kaunti ya Marsabit, Halkano Konso amejiwasilisha ktk afisi za makachero wa DCI mjini Marsabit leo asubuhi. Duru inaarifu kuwa Halkano alisafirishwa baada ya kumaliza kuandikisha taarifa hadi eneo ambalo halijajulikana ambapo pia wanahabari walizuiliwa kuzungumza naye. Inaarifiwa kuwa[Read More…]

Read More

Mwanamke Mmoja Auwawa Huku Mbuzi Wake 40 Wakiibwa Na Majangili Waliojihami Kwa Bunduki Katika Lokesheni Ya Jirime Eneo La Milima Mitatu Usiku Wa Kuamkia Leo.

By Mark Dida, Mwanamke mmoja ameuwawa huku mbuzi wake 40 wakiibwa na majangili waliojihami kwa bunduki katika lokesheni ya Jirime eneo la Milima Mitatu usiku wa kuamkia leo. Kwa mujibu wa kamishina wa kaunti ndogo ya Sakuu Peter Mureira, uvamizi huo ulitekelezwa na idadi isiyojulikana ya majangili waliojihami mwendo wa[Read More…]

Read More

Ulimwengu waadhimisha siku ya kimataifa ya saratani hii leo -kauli mbiu wa mwaka huu ikiwa ni ushirikiano kati ya wagonjwa na wahudumu katika kukabili saratani.

By Jillo Dida Jillo Kaunti ya Marsabit imeungana na wakenya wengine kusheherekea juhudi zake za kukabiliana na ugonjwa wa saratani huku Ulimwengu ukiadhimisha siku ya kimataifa ya saratani hii leo -kauli mbiu wa mwaka huu ikiwa ni ushirikiano kati ya wagonjwa na wahudumu katika kukabili saratani hapa nchini. Maadhimisho ya[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter