Local Bulletins

regional updates and news

Samburu/Maasai Radio Presenter Required

Samburu/Maasai Radio Presenter Required Radio Jangwani 106.3fm is owned by Catholic Diocese of Marsabit registered as Diocese of Marsabit registered trustees, which transforms lives through radio programs by evangelizing, informing, educating and entertaining since 2016. We are looking for a qualified journalist to help fill one vacant position of a Samburu[Read More…]

Read More

Uchunguzi waanzishwa kuhuisiana na kifo cha balozi wa Amani kaunti ya Isiolo Bi.Elizabeth Ibrahim.

Na Silvio Nangori, Polisi katika kaunti ya Isiolo wameanzisha uchunguzi kufuatia kisa ambapo balozi wa amani bi.Elizabeth Ibrahim ameuawa eneo la Kambi Garba kaunti ya Isiolo. Imeripotiwa kwamba Elizabeth Ibrahim alivamiwa na jirani yake ambaye alimdunga kwa kisu mara kadhaa na kufariki papo hapo. Wakaazi wa eneo hilo walikuwa wamejawa[Read More…]

Read More

Mtu mmoja ameuawa kufuatia shambulizi la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabaab katika eneo la Bobo-Hindi kaunti ya Lamu.

  Na Samwel Kosgei, Mtu mmoja ameuawa kufuatia shambulizi la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabaab katika eneo la Bobo-Hindi kaunti ya Lamu. Kulingana na ripoti za polisi, watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo walimteketeza John Moji hadi kutotambulika na baadaye kubomoa nyumba yake usiku wa kuamkia leo. Akithibitisha kisa hicho,[Read More…]

Read More

Polisi wameanzisha msako dhidi ya majambazi waliovamia kituo cha polisi cha Lerata kaunti ya Samburu na kumuua afisa wa polisi.

Na Waihenya Isaac, Polisi katika kaunti ya Samburu wameanzisha msako dhidi ya majambazi waliovamia kituo cha polisi cha Lerata karibu na kituo cha kibiashara cha Archers na kumuua afisa wa polisi mnamo siku ya jumapili. Afisa huyo konstebo Moses Mwambia alipigwa risasi alipokuwa akichota maji. Inaarifiwa kuwa genge hilo lilienda[Read More…]

Read More

Aden Duale si msemaji wa wafugaji asema Mbunge Alois Lentoimaga wa Samburu Kaskazini

Na Silvio Nangori Aliyekuwa kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale ameonywa dhidi ya kuzungumza kwa niaba ya wafugaji humu nchini. Akizungumza na wanahabari Mbunge wa Samburu Kaskazini Alois Lentoimaga na ambaye ni wenyekiti ya jamii ya wafugaji amesema kwamba Duale amekosea heshima jamii za wafugaji kwa kuwajumlisha katika mazungumzo yake.[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter