Local Bulletins

regional updates and news

Shirika la Human Rights Watch lasema Mahitaji ya Chanjo Yanakiuka Haki za Kenya.

Na Samuel Kosgei, SHIRIKA la haki za kibinadamu la Human Rights Watch imeedelea kushutumu hatua ya serikali ya Kenya kulazimishia wakenya kupokezwa chanjo ili kupokea huduma za kiserikali. Masharti hayo ya kuzuia wakenya kupokea huduma za kiserikali yataanza kutekelezwa tarehe 21 Desemba 2021. Kufikia mwishoni mwa mwezi Disemba takriban asilimia 10 ya[Read More…]

Read More

Wanyamapori waathirika na makali ya kiangazi Kaskazini na Mashariki mwa nchi

Na Silvio Nangori Wanyamapori wameripotiwa kuathirika Zaidi kufuatia Kiangazi kinachoendelea kushuhudiwa katika maeneo ya kaskazini mwa nchi na kulemaza shughuli ya Shirika la kulinda wanyamapori. Ukosefu wa mvua katika maeneo mengi kama vile kaunti ya Marsabit, Isiolo Wajir na Garissa, kumeripotiwa kuaga dunia kwa wanyama pori.   Hali hiyo inadaiwa[Read More…]

Read More

Mwalimu wa chuo cha kati akamatwa baada ya kukosa kuwasajili wanafunzi kwa mitihani ya kitaifa Isiolo

Na Emmanuel Amalo Mwalimu mkuu wa chuo cha kati cha mafunzo ya ualimu Maria consolata katika jimbo Katoliki la isiolo Lmoti Emmanuel Ekisa amekamatwa kwa kukosa kulipia wanafunzi 30 usajili wa mitihani ya ECDE ambao ingeanza siku ya jumanne. Inaaminika kuwa Mwalimu Mkuu huyo amepokea pesa shilingi 300,000 katika usajili wa wanafunzi[Read More…]

Read More

15 Women travellers forced to cancel their flights at JKIA as KRA intercepts undeclared Jewellery worth over kshs 31 Million on the way to India

By Radio Jangwani The Kenya Revenue Authority (KRA) Customs Officers on Tuesday night intercepted approximately 4.88 kilogram of gold and jewellery that was being smuggled through the Jomo Kenyatta International Airport (JKIA). This was after Customs Officers stationed at JKIA identified a group of approximately 30 female Kenyan travellers who[Read More…]

Read More

Subscribe to eNewsletter