JAMII YA MARSABIT IMETAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO WANAOUGUA UGONJWA WA KUPOOZA KWA UBONGO MAARUFU CEREBRAL PALSY NA BADALA YAKE KUWAPELEKA HOSPITALI WAPATA MSAADA.
September 18, 2024
By Samuel Kosgei, Wabunge wanaoegemea mrengo wa naibu wa rais William Ruto wameendelea kuukosa namna serikali inavyowabagua wabunge hao kwa kutowapa ulinzi kwenye mikutano yao na hata wakiwa kwenye shughuli zao za kawaida. Wakizungumza katika makao ya naibu wa rais mtaani Karen wabunge hao Zaidi za 130 wamedai kuwa[Read More…]
By Waihenya Isaac, Wawakilishi wadi Kutoka kaunti ya Kisumu,Homabay na kaunti ya Migori wameahidi kupitisha mswada wa marekebisho ya Katiba BBI. Kwenye Mkutano ulioandaliwa Katika kaunti Ya Kisumu wajumbe hao walitaja kuwa watafuata mfano wa bunge la kaunti ya Siaya kwa kupitisha mswaada huo kabla ya wiki hii kukamilika. Akizungumza[Read More…]
By Waihenya Isaac, Mitihani ya kitaifa itaendelea kama ilivyopangwa. Kwa mujibu wa waziri wa elimu Nchini Profesa George Maghoha ni kuwa serekali haipanii kuahirisha mitihani hiyo hata licha ya washikadao Katika sekta elimu kutaka mitihani hiyo kuahirishwa kwa vigezo kuwa watahiniwa hajajiandaa kikamilifu. Akizungumza Katika shule yamsingi ya Mwiki Katika[Read More…]
By Radio Jangwani, Watu wanaopanga kuwania nyadhfa mbalimbali za kisiasa katika uchaguzi mkuu mwaka ujao wameonywa vikali dhidi ya kutumia stakabadhi gushi za masomo. Tume ya Uchaguzi IEBC imesema inashirikiana kwa karibu na Mamlaka ya Kitaifa ya Kuhitimu Kenya National Qualifications Authority ili kutambua stakabadhi gushi zitakazowasilishwa na wawaniaji mbalimbali. Mwenyekiti[Read More…]
By Samuel Kosgei, Jamii ya wasomali ya Harti na Issack inaoishi katika kaunti hii ya Isiolo wameelezea dhulma ya kihistoria waliopitia mwaka 1965 iliowaacha umasikini. Dhulma hizo ni zikiwemo kunyanyaswa na hata kupokonywa ardhi walizokuwa wanamiliki wakati huo. Kulingana na jamii hiyo ni kuwa walipitia hali ngumu kwa kupoteza mali[Read More…]
By Adano Sharawe, Shirika la utetezi wa haki za kibinadamu nchini Haki Afrika linaitaka Tume ya uiano na utangamano wa kitaifa-NCIC kufunganya virago vyake iwapo haitawajibika katika kudhibiti mihemko ya kisiasa na malumbano makali nchini. Afisa wa maswala ya dharura wa Shirika hilo Mathias Shipetta amesema Tume hiyo imeshindwa kuwakabili[Read More…]
By Waihenya Isaac, Serekali itaendelea kuwandama na kuchukuliwa hatua imesisitiza kuwa viongozi wachochezi humu nchini kwa kueneza siasa chafu. Haya kwa mujibu wa msemaji wa serekali kanali Cyrus Oguna. Akizungumza na wananshi wa habari akiwa mjini kilifi alipozuru kukagua miradi ya serekali, Oguna amesema kuwa serekali haitamsaza yeyote akaye chochea[Read More…]
By Samuel Kosgei, Vyama vinne katika kaunti ya Isiolo kikiongozwa na chama cha ODM, KANU, NARC na PNU wamejitokeza na kudokeza kwamba watafanya kazi kwa umoja ili kuhakikisha ripoti ya BBI inapata uungwaji mkono kutoka kwa wakaazi wa kaunti ya Isiolo. Wakiongea na vyombo vya habari katika afisi za ODM[Read More…]
By Waihenya Isaac, Bunge la Kaunti ya Siaya limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Katiba BBI ambao utanatajiwa fungua njia kwa kura ya maoni nchini. Bunge hilo limekuwa la kwanza kuidhinisha mwaada huo uliowasilishwa kwa mabunge ya kaunti na tume huru ya uchaguzi na mipaka Nchini IEBC baada ya kusanifisha Zaidi[Read More…]
By Waihenya Isaac, Wakazi wa kaunti ya Samburu waamrishwa kuwasilisha bunduki haramu ambazo wanamiliki kama njia moja ya kuimarisha usalama Katika kaunti hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa polisi Katika kaunti ya samburi Samson Ogelo amesema kuwa Bunduki haramu kumi na saba zimetolewa mikononi mwa raia katika kipindi[Read More…]