JAMII YA MARSABIT IMETAKIWA KUTOWAFICHA WATOTO WANAOUGUA UGONJWA WA KUPOOZA KWA UBONGO MAARUFU CEREBRAL PALSY NA BADALA YAKE KUWAPELEKA HOSPITALI WAPATA MSAADA.
September 18, 2024
Na Adano Sharawe. Rais Kenyatta,ambaye ni mwenyekiti wa sasa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki aliwasili nchini humo Jumamosi asubuhi akiwa ameandamana na waziri wa mashauri ya kigeni Raychelle Omamo. Viongozi wengine wanaohudhuria sherehe hiyo ni waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed, rais Muse Bihi Abdi wa Somaliland na waziri mkuu[Read More…]
Na Silvio Nangori, Aliyekuwa Mbunge wa Samburu Mashariki Job Kasaine Lalampaa amezikwa hii leo nyumbani kwake katika kijiji cha Ldupai Samburu mashariki. Kasaine alikuwa Mbunge wa Samburu Mashariki Tangu mwaka wa 1979 Hadi 1992. Alikuwepo miongoni mwa viongozi walitajwa kufanya Maendeleo mengi katika kaunti hiyo. Kasaine alichaguliwa kama Mbunge wa[Read More…]
By Radio Jangwani President Uhuru Kenyatta and his Tanzania counterpart President Samia Suluhu Hassan have the leaders reassured the business community of their commitment to the removal of all barriers limiting cross-border trade and investments. President Kenyatta challenged the region’s private sector to take advantage of the opportunities presented by[Read More…]
By Waihenya Isaac, Kitendawili cha kutoweka kwa watu wanne baada ya kuhudhuria Mkutano wa pamoja Katika kilabu kimoja mjini kitengela huenda kikachukua muda zaidi kuteguliwa. Hii ni baada ya familia ya Jack Onyango mmoja wa wale waliodaiwa maiti yake ilipakana kando ya mto Mathioya kaunti ya Muranga, kukanusha kuwa maiti[Read More…]
By Waihenya Isaac, Bunge la kitaifa litampiga msasa jaji Martha Koome tarehe 13 mwezi Mei mwezi mwaka huu, baada ya Jaji Koome kupendekezwa na tume ya huduma za mahakama JSC kuwa jaji mkuu. Koome anatarajiwa kufika mbele ya kamati ya mbunge Kuhusu sheria kwa Mahojiano. Aidha Umaa umetakiwa kuwasilisha maoni[Read More…]
Detectives based at DCI-Kilimani, have in the wee hours of today morning, discovered fake currencies totalling to hundreds of millions of shillings, at a house in Makaazi apartments, in the upmarket Kilimani neighborhood. A total of 6.8Million fake US dollars, 490,000 fake Euros, and 6.4 Million Kenya Shillings was recovered[Read More…]
Na Adano Sharawe, Mahakama ya Runyejes imefungwa kuanzia leo baada ya wafanyakazi wake 18 kupatikana kuugua virusi vya corona. Kwenye taarifa, naibu jaji mkuu Philomena Mwilu amesema kuwa uamuzi huo umefuatia mapendekezo ya maafisa wa wizara ya afya na kamati ya watumiaji mahakama katika mahakama hiyo ya Runyenjes kufuatia kuthibitishwa[Read More…]
Na Waihenya Isaac, Shughuli ya kutafuta jaji mkuu nchini imeingia siku yake ya tatu, huku leo ikiwa ni zamu ya Jaji Martha Koome. Koome aliyeteuliwa Jaji wa Mahakama ya rufaa mnamo Januari 2012, ana uzoefu wa miaka ishirini na sita kama mtaalam wa sheria,Jaji wa Mahakama Kuu na kama Jaji wa[Read More…]
By Samuel Kosgei, Mahakama ya Machakos imemhukumu mwanaume mmoja kifungo cha miaka 44 kwa kosa la kumdhulumu mpwa wake 10 kigono mwaka wa 2017. Mahakama awali iliambiwa kuwa Mvulana huyo aliaga dunia baadaye alipofikishwa katika makao ya kunusuru watoto mjini Machakos. Nicholas Kioko Mutisya alipatwa na kosa la kumdhulumu[Read More…]
By Waihenya Isaac, Rais Uhuru Kenyatta anatarajiwa kuhutubia taifa hii leo kuhusu hali ya maambukizi ya korona na mikakati mipya ambayo serikali inaweka kudhibiti maambukizi zaidi. Hata Hivyo upo uwezekano kwamba Rais huenda akakaza kamba kwenye masharti ya kuzuia msambao wa virusi hivyo. Hotuba ya rais inajiri wakati taifa[Read More…]